Je, Mange kachukua pesa za Samia?

Je, Mange kachukua pesa za Samia?

Kabisa. Hata mimi nimemwambia awe na heshima na Mange. Mange ndio jemedari wa hii vita
Mange ameibua mambo mengi sana mazito na amerisk maisha yake amepoteza maokoto ya biashara yake ya umbea....na alishasema walitaka wampe kibunda ila kagoma leo mjinga mmoja anakuja kubeza kizembe.

Ukute hakuandamana leo wa October 29 kazi porojo tu humu ndani.
 
Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa

Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?

Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?

Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.

Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.

Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu

Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.
Maandamano yana takiwa siku za kazi na yaanzie katikati ya mji kisha ndiyo nje ya mji kuja katikati ya mji ...hivyo yanatakiwa kuanzia KATIKATI YA MJI KISHA NDIYO YA NJE YA MJI KUELEKEA KATIKATI YANAFUATIA ...hapo hakuna polisi wala FFU anaye weza kuzuia ....haya maandamano kama ya d9 yana fanya kuwa rahisi kuwa kamata na kuwaumiza waandamanaji maana wanakuwa ni cream ya waandamanaji peke yao barabarani...ila yaki fanyika siku za kazi ni tofauti ...hata wale mashekh ubwabwa wanao wadanganya waislamu wasishiriki Maandamano kanuni yao inakuwa mfu kwa aina hii ya maandamano ..
 
Nawashaur tutafuteni konekshen na pesa...haya mengine hayana msaada leo mange tena kala pesa za Samia? Si mnaona hata hamna na hamjui mnachokisimamia
 
Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa

Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?

Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?

Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.

Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.

Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu

Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.
Mkuu wangu mimi sina tatizo na tarehe au siku tatizo langu unasherehekea nini chini ya utawala dhalimu unaongozwa na rais haramu?
 
Maandamano yanatakiwa diku za kazi na yaanxie katikati ya mji diyo nje ya mji...hivyo yanatakiwa kusnzia KATIKATI YA MJI KISHA NDIYO YA NJE YA MJI KUELEKEA KATIKATI YANAFUATIA ...hapo hskuna polisi wala FFU anaye weza kuzuia ....hsya maandamano ksma ya d9 ysnafanya kuwa rahisi kuwakamata waandamanaji maana wanakuwa ni cream ya waandamanaji peke yso barabarani...ila yskifanyika siku za kazi ni tofauti ...hata wale mashekh ubwabwa wanao wadanganya waislamu wasishiriki Maandamano ksnuni yao inskuwa mfu kwa ains hii ya maandamano ..
Hata hayo hayawezi kufanikiwa zaidi ya watu kuumia tu na kufariki

Maandamano ambayo at least yanaweza kufanikiwa ni yale ambayo yatafanyika wakati ambao raia wote tunaongea lugha moja

Sasa hivi makundi makundi yapo mengi ndo mana kila siku wale wanaharakati wanapost zaidi hata ya mara 100 kuwakumbusha watu tu sasa ile haihitajiki
 
Nabold kwa herufi kubwa.

"POLENI SANA MNAOTAKA MABADILIKO KWA SABABU MANGE ALIHAMASISHA/KUSEMA"

Awepo au asiwepo reforms ni muhimu.
 
Hata hayo hayawezi kufanikiwa zaidi ya watu kuumia tu na kufariki

Maandamano ambayo at least yanaweza kufanikiwa ni yale ambayo yatafanyika wakati ambao raia wote tunaongea lugha moja

Sasa hivi makundi makundi yapo mengi ndo mana kila siku wale wanaharakati wanapost zaidi hata ya mara 100 kuwakumbusha watu tu sasa ile haihitajiki
Basi wewe akili yako ni finyu asilimia 80 ya watanzania awamtaki kahaba na sisiemu yake .. sasa lugha gani hiyo unayo izungumzia wewe na ilitokea nchi gani kuwa raia wote wakawa na lugha moja kuliko tulivyo tz kwa sasa ....maandamano yote yaliyo fanikiwa yaliungwa mkono na watu chini ya asilimia 60 tu na yakafanikiwa .. wewe unadhani samia na Rostam azizi na kikwete na abdul na mafwele watakuja kuunga mkono maandamano ya kuwaondoa wao wenyewe 🙄🙄🙄ili hiyo asilimia 100% itokee ...primitive sense
 
Wewe gaidi mwenye sigda ya kuinamishwa umekimbilia huku?

Pumbav, rudi kwenye uzi niendelee kukupelekea moto.
Nilikwambia huko nyuma sikujua najadili na mtoto wa kike aliyevunja ungo juzi. Nadhani kosa sio lako.
Mama Texas Tiger alikosea kukuzaa bila kujua babako ni nani
Na hii ndio changamoto kubwa mtoto wa kike kukosa malezi ya baba .

Sasa wewe unarusha mipasho toka asubuhi .
Jana ulidai utaandamana
Leo unasema uko mkuranga safari. 🤣
Wewe gaidi mwenye sigda ya kuinamishwa umekimbilia huku?

Pumbav, rudi kwenye uzi niendelee kukupelekea moto.
We binti nilishakwambia sikujua najadili na mtoto wa kike ambae ndio kwanza anajifunza kufua chupi.
Nimeligundua hilo ulinambia nikukome 🤣.
Na mimi kwa sababu ni mzee mwenye wajukuu km nimeona ni kosa kubwa kujadili na vitoto vya zinaa humu.
Ni kupoteza muda na kujaza server za JF .
Wewe kwanza muombe mama Texas Tiger akusaidie kumtambua baba aliyechangia mbegu.
Kisha usije kujidanganya kufuata waandamanaji haramu. Watakunajisi hatari . Hao sio kaka zako .
Shauri yako.
 
Wanataka tufungiwe ndani Christmas hawajui watu tumejipanga mwaka mzima , atakae andamana tunamteka wenyewe
 
Uzuri wa hizo shaba wanakula hadi watu wasiohusika.
Sio uzuri. Sema ubaya.
Hao majambazi na wezi ndio sababu kubwa ya watu wasio husika kuuawa na hilo limesababisha wananchi wengi kujenga chuki na jeshi la Polisi.
Lkn nina imam mtu yyt angekuwa askari asingechagua nani wa kupiga. Manake wote walioko mitaani walijichanganya na majizi na wauwaji .
Ukia askari kisha ukaingia kwenye kundi kisha lisikutenge au kukukamata basi wote mnahusika.
 
Iwe kesho iwe mwakani mkiweka tu pua barabarani mama zenu watalia sana.
Upumbavu wenu mwaka huu utaisha rasmi
lazima tuwamalize nyie wauaji,kwanza mmelaaniwa kwa kuua watanzania ovyoovyo hata mama yenu anajua muda wake umeisha lazima aondoke
 
Basi wewe akili yako ni finyu asilimia 80 ya watanzania awamtaki kahaba na sisiemu yake .. sasa lugha gani hiyo unayo izungumzia wewe na ilitokea nchi gani kuwa raia wote wakawa na lugha moja kuliko tulivyo tz kwa sasa ....maandamano yote yaliyo fanikiwa yaliungwa mkono na watu chini ya asilimia 60 tu na yakafanikiwa .. wewe unadhani samia na Rostam azizi na kikwete na abdul na mafwele watakuja kuunga mkono maandamano ya kuwaondoa wao wenyewe 🙄🙄🙄ili hiyo asilimia 100% itokee ...primitive sense
Fuatilia kuhusu Nepal na Madagascar asilimia kubwa ya Raia walikuwa wanaongea lugha moja almost kila mtu ameguswa

Huku kwetu bado haijawa hivyo ndiyo maana hata wewe leo umeshinda chumbani na majority ya Watanzania hawajaguswa directly na udhalimu wa hii serikali

Ndo ukweli huo watu hawako tayari ndiyo maana kila siku humu watu walikuwa wanaanzisha nyuzi za kuhamasisha, huko mitandao mingine wale wanaharakati kila dakika wanakuja na post mpya ya kuhamasisha zikiwemo post za kutunga uongo kutia hasira wananchi
🤣🤣🤣
Mtu kama wewe utaamini hii taarifa
1765304232739.jpg
 
Nilikwambia huko nyuma sikujua najadili na mtoto wa kike aliyevunja ungo juzi. Nadhani kosa sio lako.
Mama Texas Tiger alikosea kukuzaa bila kujua babako ni nani
Na hii ndio changamoto kubwa mtoto wa kike kukosa malezi ya baba .

Sasa wewe unarusha mipasho toka asubuhi .
Jana ulidai utaandamana
Leo unasema uko mkuranga safari. 🤣

We binti nilishakwambia sikujua najadili na mtoto wa kike ambae ndio kwanza anajifunza kufua chupi.
Nimeligundua hilo ulinambia nikukome 🤣.
Na mimi kwa sababu ni mzee mwenye wajukuu km nimeona ni kosa kubwa kujadili na vitoto vya zinaa humu.
Ni kupoteza muda na kujaza server za JF .
Wewe kwanza muombe mama Texas Tiger akusaidie kumtambua baba aliyechangia mbegu.
Kisha usije kujidanganya kufuata waandamanaji haramu. Watakunajisi hatari . Hao sio kaka zako .
Shauri yako.
Wewe gaidi acha porojo.

Weekend tunakuja hapo Kinondoni kukukamata tukurudishe nyumbani, mzee unalaana wewe 😁

Haiwezekani tukuone unazidi kuharibikiwa.
 
Fuatilia kuhusu Nepal na Madagascar asilimia kubwa ya Raia walikuwa wanaongea lugha moja almost kila mtu ameguswa

Huku kwetu bado haijawa hivyo ndiyo maana hata wewe leo umeshinda chumbani na majority ya Watanzania hawajaguswa directly na udhalimu wa hii serikali

Ndo ukweli huo watu hawako tayari ndiyo maana kila siku humu watu walikuwa wanaanzisha nyuzi za kuhamasisha, huko mitandao mingine wale wanaharakati kila dakika wanakuja na post mpya ya kuhamasisha zikiwemo post za kutunga uongo kutia hasira wananchi
🤣🤣🤣
Mtu kama wewe utaamini hii taarifa
View attachment 3513671
Kama Tanzania hatuongei lugha moja!?🙄🙄🙄🙄 niambie mbona samia na ccm awakupigiwa kura hata na mikoa yenye waislamu wengi. Vituo vyote vilibaki vyeupe hata hapa dar es salaam nionyeshe video hata moja ya foleni watu wakipiga kura ...tumia akili sisi tupo pamoja kuliko hizo nchi ulizo taja sema kitu kinacho tatiza ni STATE CAPTURE YA RAIA FEKI KINA ROSTAM AZIZI NA UZANZIBAR NA UARABU ..wazanzibari wanafanya juu chini wambakishe samia kwa maslai yao
 
Kabisa. Hata mimi nimemwambia awe na heshima na Mange. Mange ndio jemedari wa hii vita
Unamuita huyo mwanamke asie na heshima Jemedari?
Jemedari wa kutoa siri za chumbani za watu?

Vipi mtu mshenzi asie na adabu wa namna hii wala asiejali kuporomoka kwa familia za watu umuite Jemedari!
Huyu akijua kutoa siri ya mama yako mzazi itampa kick na more followers hatijali wewe nani au kutatokea athari gani.

Sio huyu aliepiga picha na Samia akimsifu? We unajua huyu Malaya ananunuliwa kwa pesa tu?

Leo siasa zetu zikikosa kick anahamia kwenye maisha ya watu. Huo ndio ujemedari?
Ametamka wazi kuwa kazi yake ni Udaku. Yaani FITNA..
Hio sifa unaweza kujisifia mbele ya waungwana?

Huyo mange kimavi sio yule aliyedanganya wananchi kuwa anaongea na wanajeshi na wamemwambia kuwa wananchi watoke wao watawalinda? kiko wapi leo?
Wazazi wamepoteza watoto wao kwa UONGO wa huyo KIMAVI .
Bado unamuita Jemedari.?

Huyu siku zake haziko mbali. Mzungu hajali wate wake bila maslahi flani.
Atajali ngozi nyeusi iliokaa pale kama mkimbizi?
Mpe muda.
What goes around always comes around
 
Basi wewe akili yako ni finyu asilimia 80 ya watanzania awamtaki kahaba na sisiemu yake .. sasa lugha gani hiyo unayo izungumzia wewe na ilitokea nchi gani kuwa raia wote wakawa na lugha moja kuliko tulivyo tz kwa sasa ....maandamano yote yaliyo fanikiwa yaliungwa mkono na watu chini ya asilimia 60 tu na yakafanikiwa .. wewe unadhani samia na Rostam azizi na kikwete na abdul na mafwele watakuja kuunga mkono maandamano ya kuwaondoa wao wenyewe 🙄🙄🙄ili hiyo asilimia 100% itokee ...primitive sense
Achana na huyu jobless Foffana hana elimu na amejaa ujinga kichwani
 
Kwa hyo tutakuwa nchi ya maandamano tu🤔🤔🤔.
Ila ujumbe umefika Kuna kaheshima Fulani hivi kapo.
Hata ukiwasikiliza viongozi Leo walikuwa wanaongea Kwa adabu sana na tahadhari
 
Back
Top Bottom