Je, Mange kachukua pesa za Samia?

Je, Mange kachukua pesa za Samia?

Kama Tanzania hatuongei lugha moja!?🙄🙄🙄🙄 niambie mbona samia na ccm awakupigiwa kura hata na mikoa yenye waislamu wengi. Vituo vyote vilibaki vyeupe hata hapa dar es salaam nionyeshe video hata moja ya foleni watu wakipiga kura ...tumia akili sisi tupo pamoja kuliko hizo nchi ulizo taja sema kitu kinacho tatiza ni STATE CAPTURE YA RAIA FEKI KINA ROSTAM AZIZI NA UZANZIBAR NA UARABU ..wazanzibari wanafanya juu chini wambakishe samia kwa maslai yao
We muefeso Usilete udini wa kijinga hapa. Moto ukiwaka Vatican iko mbali sana.
Samia mtukane unavyotaka ila usiwajadili waislamu na huu upuuzi wenu.
Unataka kusema waliogomea uchaguzi walikuwa wagalatia peke yao? Umesikia hotuba ya sheikh ponda na kile alichofanyiwa kwenye uchaguzi jimbo la temeke?

Ulaji wa viti moto na viroba mnavyoita divai vinavuruga vichwa mkapagawa.
Bloody cucumber
 
Unamuita huyo mwanamke asie na heshima Jemedari?
Jemedari wa kutoa siri za chumbani za watu?

Vipi mtu mshenzi asie na adabu wa namna hii wala asiejali kuporomoka kwa familia za watu umuite Jemedari!
Huyu akijua kutoa siri ya mama yako mzazi itampa kick na more followers hatijali wewe nani au kutatokea athari gani.

Sio huyu aliepiga picha na Samia akimsifu? We unajua huyu Malaya ananunuliwa kwa pesa tu?

Leo siasa zetu zikikosa kick anahamia kwenye maisha ya watu. Huo ndio ujemedari?
Ametamka wazi kuwa kazi yake ni Udaku. Yaani FITNA..
Hio sifa unaweza kujisifia mbele ya waungwana?

Huyo mange kimavi sio yule aliyedanganya wananchi kuwa anaongea na wanajeshi na wamemwambia kuwa wananchi watoke wao watawalinda? kiko wapi leo?
Wazazi wamepoteza watoto wao kwa UONGO wa huyo KIMAVI .
Bado unamuita Jemedari.?

Huyu siku zake haziko mbali. Mzungu hajali wate wake bila maslahi flani.
Atajali ngozi nyeusi iliokaa pale kama mkimbizi?
Mpe muda.
What goes around always comes around
Kwa hiyo unataka abdul aendelee kuifisadi nchi? Samuya endelee kuhonga mabilioni wakina mafwele na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama? Kwa hiyo unataka watanganyika waendelee kutekwa na kuuawa?
 
Kama Tanzania hatuongei lugha moja!?🙄🙄🙄🙄 niambie mbona samia na ccm awakupigiwa kura hata na mikoa yenye waislamu wengi. Vituo vyote vilibaki vyeupe hata hapa dar es salaam nionyeshe video hata moja ya foleni watu wakipiga kura ...tumia akili sisi tupo pamoja kuliko hizo nchi ulizo taja sema kitu kinacho tatiza ni STATE CAPTURE YA RAIA FEKI KINA ROSTAM AZIZI NA UZANZIBAR NA UARABU ..wazanzibari wanafanya juu chini wambakishe samia kwa maslai yao
Issue ya kupiga kura inaeleweka

Cha kwanza ile kasi ya watu kujiandikisha pamoja na kwenda kupiga kura ilikuwa inapungua siku hadi siku haijaanza kwa SSH tu na ni kwa sababu fulani

Hiyo siku ya tarehe 29 kumbuka ilitangazwa pia kama siku ya maandamano na Gen Z so watu wengi walikuwa na hofu juu ya usalama wao ikapelekea kuwa idadi ya wapiga kura kuwa wachache hata hivyo pia kutokana na zile vurugu baadhi ya vituo havikuendelea na shughuli ile huku pia watu wakizidi kujifungia majumbani mwao hata yule aliyekuwa na mpango wa kutoka hakutoka

Na wala sio tafsiri ya kwamba Rais hapendwi na wananchi wake au ni vipi kama unavyodai
 
Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa

Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?

Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?

Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.

Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.

Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu

Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.
Kwa hiyo Leo uliandamana barabara ipi kamanda? Au ulikuwa sofa to sofa midfielder? Acha basi watu wale matunda ya project zao Kwa amani 🤣🤣🤣 kwani haukujua kwamba nyie nyumbu ni project ya mtu?
 
Achana na huyu jobless Foffana hana elimu na amejaa ujinga kichwani
Mkuu umejuaje kama sina elimu 😅

Hata kama ni kweli sina sasa si unisaidie nipate hiyo elimu ili niondoe ujinga

Sisi ni ndugu Mkuu
 
Kwa hiyo unataka abdul aendelee kuifisadi nchi? Samuya endelee kuhonga mabilioni wakina mafwele na wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama? Kwa hiyo unataka watanganyika waendelee kutekwa na kuuawa?
Hayo umesema wewe.
Na usiulize maswali ya kijinga kwa mtu ambae anachukia hao mafisadi siku zote.
Hakuna siku nimetetea hawa walafi mafisadi na wezi wa taifa hili hata siku moja. Kauli zangu ziko pale pale . Hatuwezi kutumia excuse ya kupambana na mafisadi kwa kuharibu nchi na kuiba mali za watu.
Haya maandamano uchwara yamesababisha vifo vya wanyonge wengi na yametia umaskini watanzania wengi wasio husika. Na HAKUNA CHOCHOTE KILICHO BADILIKA bali ni hasara tupu. Na maskini kuzidi.

Watu wenye busara hawatumbukii shimo moja mara 2.
Kama watu hawamtaki kiongozi au katiba kuna njia mbadala nyingi tu.

Chadema wanadai wana mawakili wazuri. Kwanini wasilalamikie OAU au UN Na kuona wanafikia wapi .
Kwanini wahamasishe watu kuua ASKARI?
Haya wameua Askari na askari wamejihami wameua Raia. TANZANIA imepata nini?
 
Issue ya kupiga kura inaeleweka

Cha kwanza ile kasi ya watu kujiandikisha pamoja na kwenda kupiga kura ilikuwa inapungua siku hadi siku haijaanza kwa SSH tu na ni kwa sababu fulani

Hiyo siku ya tarehe 29 kumbuka ilitangazwa pia kama siku ya maandamano na Gen Z so watu wengi walikuwa na hofu juu ya usalama wao ikapelekea kuwa idadi ya wapiga kura kuwa wachache hata hivyo pia kutokana na zile vurugu baadhi ya vituo havikuendelea na shughuli ile huku pia watu wakizidi kujifungia majumbani mwao hata yule aliyekuwa na mpango wa kutoka hakutoka

Na wala sio tafsiri ya kwamba Rais hapendwi na wananchi wake au ni vipi kama unavyodai
Maandamano ysliyo tokea tanzania yalikuwa ni ya nguvu kuliko hayo ya hizo nchi ulizo taja tatizo lako wewe ni kushindwa kujua nini kiko nyuma ya Serikali ya samia mauaji yaliyo fanyika na vikosi vya mauaji vilivyo toka Zanzibar na waarabu ...hata wakenya wamekili kuwa maandamano ya vijana wa tz yalikuwa ni ya hali ya juu ndiyo maana unaona Samia anaelekea kufunguliwa kesi ICC je Rais wa Madagascar kafunguliwa kesi ? Yule aliye pinduliwa ? Je maandamano ya kenya Rais wao kafunguliwa kesi ICC je madagasca kulikuwa na vikosi vya kijeshi vya mauaji kama hapa tz ambapo KMKM NA VIKOSI VINGINE NA MAKAMPUNI YA WAARABU NA UVCCM WAOVU WALIPEWA MAVAZI NA BUNDUKI KUUA
 
Sio uzuri. Sema ubaya.
Hao majambazi na wezi ndio sababu kubwa ya watu wasio husika kuuawa na hilo limesababisha wananchi wengi kujenga chuki na jeshi la Polisi.
Lkn nina imam mtu yyt angekuwa askari asingechagua nani wa kupiga. Manake wote walioko mitaani walijichanganya na majizi na wauwaji .
Ukia askari kisha ukaingia kwenye kundi kisha lisikutenge au kukukamata basi wote mnahusika.
Kwamba hasira dhidi ya jeshi la polisi ilianza juzi baada ya mauji, na sio muda wote walipokuwa wakiteka na kufira watu?
 
Tunacho mdai Samia mpaka Sasa niahakikishe mange anatiwa kwenye mkono wa sheria 🙏 🙏
 
Kwamba hasira dhidi ya jeshi la polisi ilianza juzi baada ya mauji, na sio muda wote walipokuwa wakiteka na kufira watu?
Tatizo ni radio vifua.
Nani kaleta ushahidi usio na shaka yyt kuwa askari wetu waneteka wananchi?

Dr Slaa kwa kauli yake amesema CHADEMA wamekuwa wanatekana wao kwa wao na yeye ni shuhuda. Km kasema uongo au ni kada wa CCM kwanini CHADEMA wasimfungulie mashtaka ya deformation of character) kuharibu jina na sifa ya chama chao?

Lissu si mwanasheria? Kwanini alikaa kimya zaidi ya kutoa kashfa tu.?

Hapo ndio utafahamu kuwa hata hao CHADEMA wana machafu mengi ambayo yaliwazuia kumshtaki DR SLAA.
Kama kuna mwananchi yyt mwenye ushahidi Usio na shaka kuwa mtu wake ALITEKWA NA POLISI mahakama za kimataifa zipo. Km DR Slaa ni muongo basi Tuone km kweli hawatekani wao kwa wao wamfungulie kesi.

Tuache jazba tu na kukurupuka. Ndio maana hawa mafisadi wanashinda wapinzani hata kwenye majukwaa ya kimataifa.
 
Tatizo ni radio vifua.
Nani kaleta ushahidi usio na shaka yyt kuwa askari wetu waneteka wananchi?

Dr Slaa kwa kauli yake amesema CHADEMA wamekuwa wanatekana wao kwa wao na yeye ni shuhuda. Km kasema uongo au ni kada wa CCM kwanini CHADEMA wasimfungulie mashtaka ya deformation of character) kuharibu jina na sifa ya chama chao?

Lissu si mwanasheria? Kwanini alikaa kimya zaidi ya kutoa kashfa tu.?

Hapo ndio utafahamu kuwa hata hao CHADEMA wana machafu mengi ambayo yaliwazuia kumshtaki DR SLAA.
Kama kuna mwananchi yyt mwenye ushahidi Usio na shaka kuwa mtu wake ALITEKWA NA POLISI mahakama za kimataifa zipo. Km DR Slaa ni muongo basi Tuone km kweli hawatekani wao kwa wao wamfungulie kesi.

Tuache jazba tu na kukurupuka. Ndio maana hawa mafisadi wanashinda wapinzani hata kwenye majukwaa ya kimataifa.
Yaani cdm wakafungue kesi kwenye hizi mahakama za simu moja dhidi ya mtu mwenye backuo ya ccm na serekali? Kama alichosema Slaa ndio ukweli wenyewe, si ilikuwa sehemu ya jamuhuri kuweka ushahidi kuwa cdm nao wanafanya ukatili? Kama mnaweza kuwabambikia cdm kesi, hapo si ndio ilikuwa ushahidi wa wazi?
 
Yaani cdm wakafungue kesi kwenye hizi mahakama za simu moja dhidi ya mtu mwenye backuo ya ccm na serekali? Kama alichosema Slaa ndio ukweli wenyewe, si ilikuwa sehemu ya jamuhuri kuweka ushahidi kuwa cdm nao wanafanya ukatili? Kama mnaweza kuwabambikia cdm kesi, hapo si ndio ilikuwa ushahidi wa wazi?
Think before making comments.
Yaani Dr slaa katamka wazi tena kwenye TV nyingi tu kwa CHADEMA wameteka watu wao mbele yake halafu unataka CCM ikaonyeshe kuwa CHADEMA wanatekana? 🤣
Nani ana wajibu wa kumshtaki Dr slaa kwa kauli hio ? CCM AU CHADEMA?
Hata km kesi hio ingefutwa au wasingeshinda at least wananchi tungeona kuwa kweli CHADEMA wamechukua hatua ya maana japo mahakama iko chini ya CCM imetupilia mbali kesi.

Kukaa kwako kimya bila kuchukua hatua hio ni wazi kabisa kwa Ni kweli wanatekana.
Hapo hamna tafsiri ingine hata ukilazimisha
 
Think before making comments.
Yaani Dr slaa katamka wazi tena kwenye TV nyingi tu kwa CHADEMA wameteka watu wao mbele yake halafu unataka CCM ikaonyeshe kuwa CHADEMA wanatekana? 🤣
Nani ana wajibu wa kumshtaki Dr slaa kwa kauli hio ? CCM AU CHADEMA?
Hata km kesi hio ingefutwa au wasingeshinda at least wananchi tungeona kuwa kweli CHADEMA wamechukua hatua ya maana japo mahakama iko chini ya CCM imetupilia mbali kesi.

Kukaa kwako kimya bila kuchukua hatua hio ni wazi kabisa kwa Ni kweli wanatekana.
Hapo hamna tafsiri ingine hata ukilazimisha
Ww utakuwa bonge la kilaza, anayetaja uhalifu ndio ana wajibu wa kudhibitisha, cdm wakafungue kesi kwa mtu aliyepangwa kuwachafua? Hiyo ni kesi ya jamuhuri na sio ya cdm, ama hujui kesi za aina hiyo nani muhusika?
 
Ww utakuwa bonge la kilaza, anayetaja uhalifu ndio ana wajibu wa kudhibitisha, cdm wakafungue kesi kwa mtu aliyepangwa kuwachafua? Hiyo ni kesi ya jamuhuri na sio ya cdm, ama hujui kesi za aina hiyo nani muhusika?
Yaani aje jirani aseme mkeo malaya na yeye amelala nae tena mbele ya ummah. Wewe usubiri jirani huyo huyo athibitishe kuwa kweli kalala na mkeo ? 🤣

Kujadili na watu wenye IQ Sampuli yako ni kupoteza wakati tu.
I rest my case.
 
Hayo umesema wewe.
Na usiulize maswali ya kijinga kwa mtu ambae anachukia hao mafisadi siku zote.
Hakuna siku nimetetea hawa walafi mafisadi na wezi wa taifa hili hata siku moja. Kauli zangu ziko pale pale . Hatuwezi kutumia excuse ya kupambana na mafisadi kwa kuharibu nchi na kuiba mali za watu.
Haya maandamano uchwara yamesababisha vifo vya wanyonge wengi na yametia umaskini watanzania wengi wasio husika. Na HAKUNA CHOCHOTE KILICHO BADILIKA bali ni hasara tupu. Na maskini kuzidi.

Watu wenye busara hawatumbukii shimo moja mara 2.
Kama watu hawamtaki kiongozi au katiba kuna njia mbadala nyingi tu.

Chadema wanadai wana mawakili wazuri. Kwanini wasilalamikie OAU au UN Na kuona wanafikia wapi .
Kwanini wahamasishe watu kuua ASKARI?
Haya wameua Askari na askari wamejihami wameua Raia. TANZANIA imepata nini?
Kwa nini usiwashauri ccm waachie madaraka badala ya kuwaua waandamaji?
 
Back
Top Bottom