Je, Mange kachukua pesa za Samia?

Je, Mange kachukua pesa za Samia?

Kuwa na heshima hata kidogo na Mange mdau.
Mange komavi Anastasia heshima gani yule mwanamke aliekosa mafunzo ya wazazi wake.?.
Huyo mshenzi kesho Tanzania ikitulia ataanza kutafuta siri za vyumbani mwa watu. Na ikiwa story ya chumbani kwako ina maslahi na yeye hatokuacha wala kujali wewe utaathirika vipi .
Huyu si alipiga picha na Samia ? Si huyu huyu alipokea pesa kutoka CCM?
Leo wamemkaushia ati analilia watoto wetu waliouawa

Huyu anapata pesa za matumizi kwa kazi ya unafiki.
Imagine hio sifa uwe nayo wewe kweli utastahiki kupewa heshima ya aina yyt?
 
Tatizo ni radio vifua.
Nani kaleta ushahidi usio na shaka yyt kuwa askari wetu waneteka wananchi?

Dr Slaa kwa kauli yake amesema CHADEMA wamekuwa wanatekana wao kwa wao na yeye ni shuhuda. Km kasema uongo au ni kada wa CCM kwanini CHADEMA wasimfungulie mashtaka ya deformation of character) kuharibu jina na sifa ya chama chao?

Lissu si mwanasheria? Kwanini alikaa kimya zaidi ya kutoa kashfa tu.?

Hapo ndio utafahamu kuwa hata hao CHADEMA wana machafu mengi ambayo yaliwazuia kumshtaki DR SLAA.
Kama kuna mwananchi yyt mwenye ushahidi Usio na shaka kuwa mtu wake ALITEKWA NA POLISI mahakama za kimataifa zipo. Km DR Slaa ni muongo basi Tuone km kweli hawatekani wao kwa wao wamfungulie kesi.

Tuache jazba tu na kukurupuka. Ndio maana hawa mafisadi wanashinda wapinzani hata kwenye majukwaa ya kimataifa.
Kumbe wewe ni mpumbavu eeh? Haya mambo ya kutekana yalivyo obvious mhusika wake unataka uletewe ushahidi? Rasmi you deserve to be in a trash
 
Kumbe wewe ni mpumbavu eeh? Haya mambo ya kutekana yalivyo obvious mhusika wake unataka uletewe ushahidi? Rasmi you deserve to be in a trash
Mpumbavu babako.
Obvious to who?
Mnadhani watanzania wooote wapumbavu wabebe kila uharo mnaomwaga mitandaoni?

Kutekana ipo toka wakati wa nyerere tena sana tu
Swali nawauliza nyie vichwa maji! Mna jina la hao watekaji au ushahidi usio na shaka?

Majitu mengine kamasi tupu kichwani.
 
Yaani aje jirani aseme mkeo malaya na yeye amelala nae tena mbele ya ummah. Wewe usubiri jirani huyo huyo athibitishe kuwa kweli kalala na mkeo ? 🤣

Kujadili na watu wenye IQ Sampuli yako ni kupoteza wakati tu.
I rest my case.
Yaani jirani akisema ndii ukweli? Naona umeishiwa na mifano hadi unakuja na mifano irrelavant.
 
Mpumbavu babako.
Obvious to who?
Mnadhani watanzania wooote wapumbavu wabebe kila uharo mnaomwaga mitandaoni?

Kutekana ipo toka wakati wa nyerere tena sana tu
Swali nawauliza nyie vichwa maji! Mna jina la hao watekaji au ushahidi usio na shaka?

Majitu mengine kamasi tupu kichwani.
You belong to the trash bin you motherfvcker
 
Kama Tanzania hatuongei lugha moja!?🙄🙄🙄🙄 niambie mbona samia na ccm awakupigiwa kura hata na mikoa yenye waislamu wengi. Vituo vyote vilibaki vyeupe hata hapa dar es salaam nionyeshe video hata moja ya foleni watu wakipiga kura ...tumia akili sisi tupo pamoja kuliko hizo nchi ulizo taja sema kitu kinacho tatiza ni STATE CAPTURE YA RAIA FEKI KINA ROSTAM AZIZI NA UZANZIBAR NA UARABU ..wazanzibari wanafanya juu chini wambakishe samia kwa maslai yao
Wenzetu pia walipata saport ya jeshi sisi tumekosa saport hiyo
 
Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa

Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?

Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?

Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.

Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.

Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu

Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.
Tar 25 haijakaa vizuri coz ni xmas ambayo wanaosherehekea ni wakristo hivyo waislamu haitowahusu ,ni kupanga siku ambayo serikali haiwezi kuzuia ,kuna mdau ameshauri siku ambayo wana event kwenye public ndiyo Gen nao wanapanga yao.
 
Wenzetu pia walipata saport ya jeshi sisi tumekosa saport hiyo
Jamaa ajui yote hayo ...ndiyo maana kwa akili zake finyu anabeza nguvu za maandamano ya 29 ...wenzetu walipata saport ya jeshi pia awakuwa na vikosi vya mauaji vya kutoka nje au vya kukodi au vya ndani ...pia awakupewa amri ya kuua kutoka kwa Rais ...sisi ni tofauti kabisa ndiyo maana samia kakataliwa na jumuia za kimataifa na kufunguliwa kesi ICC
 
Nina wasiwasi na huyu mdada inawezekana kashachukua pesa

Analeta story za maandamano tarehe 25 yaani siku ya Christmas?

Serious? Yaani watu waache kusherekea sikukuu za mwisho wa mwaka wafungiwe Tena ndani?

Hapana me nakataa maandamano yaendelee kesho mpaka kueleweke
Na kila msaliti yeyote atakaye kula pesa umma kwa kuhongwa hazitapike au aende CCM tujue kwamba sio mwenzetu.

Watu wetu washakufa eti tuendelee kusubiri tarehe 25.

Kesho tukutane mnazi mmoja uelekeo Ikulu

Mange Kama umekula pesa za walipa Kodi utazitapika acha utapeli.
Yasni mpambsne kupiga ban acc yake ndo achukue hela?
Anyway alikuwa live insta hawezi chukka hela ya huyo mtu wenu
 
Tar 25 haijakaa vizuri coz ni xmas ambayo wanaosherehekea ni wakristo hivyo waislamu haitowahusu ,ni kupanga siku ambayo serikali haiwezi kuzuia ,kuna mdau ameshauri siku ambayo wana event kwenye public ndiyo Gen nao wanapanga yao.
Ni non stop protest so hakuna kliichoharibika ,serikali km inaweza iendelee na lockdown tu plus road block
 
Jamaa ajui yote hayo ...ndiyo maana kwa akili zake finyu anabeza nguvu za maandamano ya 29 ...wenzetu walipata saport ya jeshi pia awakuwa na vikosi vya mauaji vya kutoka nje au vya kukodi au vya ndani ...pia awakupewa amri ya kuua kutoka kwa Rais ...sisi ni tofauti kabisa ndiyo maana samia kakataliwa na jumuia za kimataifa na kufunguliwa kesi ICC
Tarehe 29 kama tunhepata saport ya wanajeshi hata 10 tu tungekuwa tushakomboa inchi yetu

Lakin sisi tulipambana wananchi kama wananchi na hapo hapo tukaanza kuuliwa na watu wenye silaha kutoka nje , sasa hapo unazani tungefanyeje

Ninachokiomba mimi tuendelee hivi hivi ijumaa tena tukiwashe tusitoe gap la mbali sana sijui mpaka Christmas hapana huko mbali sana
 
You belong to the trash bin you motherfvcker
Teh teh teh.
I love my country son so much so I can take on any nicompoop in this forum who's trying to mess with her.
 
Kama kunamtu yuko very strategically ni Dada Mange ,usimchukulie poa ,lengo hapa nikuendelea kuutingisha utawala , na hadi sasa tumefanikiwa sana .

Unadhani kila siku zikitangazwa tarehe za maandamano kunamtalii atatia pua huko? Unadhani biashara zitaendeka ?

Unadhani shughuli za ujenzi wa uchumi zitafanyika? Unadhani wafadhiri watatoa hela kwenye Taifa la namna hiyo ? Ngoma iendelee hivyo hivyo .

Najua tutapata tabu ya kuwatumia pesa nyumbani ili waweze kumudu gharama za maisha ila nimbinu nzuri ya kulazimisha utawala warejee kwenye mstari na wakiwa wabishi tunakwenda hatua ya pili ya kupigana vyuma tu mamamamaaaeee
 
Yaani unajikusanya miaka unafungua kiduka chako anakuja mpuuzi mmoja kuvunja na kuiba anasema anaandamana?
Safari hii hakuna kusubiri polisi atakaethubutu kuvunja tunadili nae hata sura haitatambulika.
Sasa mbona ata Leo ulijichimbia uvunguni hukuthubutu kutoka kwenda kulinda icho kiduka chako
 
Maandamano yanapaswa kufanyika tarehe 5 Feb siku ya kuzaliwa ccm.
 
Back
Top Bottom