GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,890
- 109,609
- Thread starter
- #21
Akili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani.Kwani wewe una akili sawasawa?
Akili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani.Kwani wewe una akili sawasawa?
Wewe ni mchumba tu subiri tulete barua ya posa tukuweke ndani rasmiAkili unayo Wewe Juha Mkomavu usiyejua Kiswahili badala ya kuandika Unadhani Wewe ukaandika Unazani.
Hoja hujibu kwa hojaHopeless.
Hawa wanaojiita wahubiri wakubwa hawapendi kuwa na maeneo yao yaani wapo juu juu tu.
Huyo ni niguse ninuke maana bahasha huwa zinaelekezwa kwake.
Hata huyu msafisha jiji ni mwanakwaya wake.
Ngoja tuone.
Waalim vipi, ume surrender?