Je, Mamlaka iliyomuhamishia Mwamposa nyuma ya Shule za Feza, Ukwamani Secondary na Kawe B ina Akili sawa sawa?

Hawa wanaojiita wahubiri wakubwa hawapendi kuwa na maeneo yao yaani wapo juu juu tu.

Huyo ni niguse ninuke maana bahasha huwa zinaelekezwa kwake.

Hata huyu msafisha jiji ni mwanakwaya wake.

Ngoja tuone.

Waalim vipi, ume surrender?

Upepigaje hapo
 
Back
Top Bottom