"Ushujaa" nadhani hata Makonda alidhani hivyo..,,anzia kwa Kabwe.....ngoja nikueleze Makonda angekuwa shujaa Kama angesema hayo katika hali gani...
1. Mpinzani wa serikali.
2. Angekuwa Na cheo cha chini kabisa nje ya kamati ya ulinzi Na Usalama.
3. Angekuwa yeye Mwenyewe Ni polisi...
Neno "Shujaa" lingefi"t Sana hapo
Kwa ujumla, Makonda sio "Shujaa" na huwezi kuwa "shujaa" kwa kusema Tu, Na kitafuta umaarufu hewa.....
Ngoja nikwambie baadhi ya mashujaa WA siasa za Bongo baada ya uchaguzi mkuu hadi Leo Nov. 2016.
1.Bashe
2.Lema
3.Lissu
4.NA wengine wengi...
AMEWEZA KUWA WA KWANZA KUWA NA UJASIRI WA KUWAPIGA WATU WAZIMA-------- cc WariobaAfrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.
Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.
Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.
Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.
Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.
Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.
Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.
Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?
Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?
Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.
Kwani makonda na sirro nani mkubwa? Yaani ni km baba amshitaki mtt huyo ni kama wendawazimuMakonda anastahili pongezi tena hakuangalia ukubwa wa mtu na kitengo chake,
Lazima tuache unafiki
Penye ukweli pawekwe wazi
Tunahitaji Tanzania yenye viongozi wasio wanafiki
Wafanye kazi kulingana na kiapo chake ,
Umeapa kuwatumikia Watanzania sio vitu vingine.
= nafikiri
Polisi wanapaswa kufuata sheria.Hii imetokea wakati muafaka kutuma meseji kwa polisi kuwa wasikubali kufanya kazi kwa utashi wa wanasiasa!
Wewe bibi unaumwa ugonjwa flani unaitwa PTSD hima fika pale Regency Hospital kwa msaada zaidi.
Zingatia Dunia nzima polisi hajawahi kupendwa na raia kwa kipindi kirefu, kwa hapa Tanzania jeshi la mkoloni ndio lilikuwa tatizo kuliko hili la wakina Mura kabla na baada ya hilo azimio lako. Kama well trained police wa US hapendwi itakuwa wa Bongo anaefanya crash programme!?
Matter of fact, nimemuona Kamanda Sirro akiwa Kamanda wa mikoa kadhaa hapa Tanzania na sijawahi kusikia wala kuwa na mashaka na utendaji wake..ana busara, hekima, jasiri, na pia ni mtu anaejituma saana n.k kwa huyu kijana kumdhalilisha kamanda mbele ya kadamnasi ili apate cheap popularity haikubaliki hata kidogo.
Kamanda halali usiku wote anaita radio call na kuhakikisha mkoa huko salama na mkuu wa mkoa kalala salama then from nowhere mkuu huyo huyo wa mkoa ambae kwa umri ni kama mtoto wa kamanda anatomboka maneno mbofu. Pole saana kamanda watu hawajui na hawathamini kazi unayowafanyia..umetoa kafara usingizi wako..kwenye press conference macho ni mekundu..kwa kukosa usingizi ukiwa umekesha vikindu kwenye oparesheni za ngumu. Then kijana mmoja ambae anaamka saa moja na kufika kazini SAA mbili anaamua tu kukudhalilisha.
Imbecillic!
Wengine wengi kina nani"Ushujaa" nadhani hata Makonda alidhani hivyo..,,anzia kwa Kabwe.....ngoja nikueleze Makonda angekuwa shujaa Kama angesema hayo katika hali gani...
1. Mpinzani wa serikali.
2. Angekuwa Na cheo cha chini kabisa nje ya kamati ya ulinzi Na Usalama.
3. Angekuwa yeye Mwenyewe Ni polisi...
Neno "Shujaa" lingefi"t Sana hapo
Kwa ujumla, Makonda sio "Shujaa" na huwezi kuwa "shujaa" kwa kusema Tu, Na kitafuta umaarufu hewa.....
Ngoja nikwambie baadhi ya mashujaa WA siasa za Bongo baada ya uchaguzi mkuu hadi Leo Nov. 2016.
1.Bashe
2.Lema
3.Lissu
4.NA wengine wengi...
Okay, embu niambie inabidi uwe Na sifa gani Ili uwe mkuu wa mkoa? Alafu linganisha na huyo unaemuita ""sho.g.a"Hivi anatafuta umaarufu ili awe nani? kwani ana cheo gani?? ni cheo rahisi rahisi tu hicho??
wivu unawasumbua sana
mpaka shoga Lema unamwita shujaa, mziraji wa chakula
Afrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.
Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.
Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.
Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.
Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.
Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.
Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.
Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?
Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?
Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.
Zilizotolewa ni tuhuma tu na tayari uchunguzi umeshaanza tusubiri taarifa kamili na sio kuanza kuwapa sifa na kuwavimbisha mabichwa wahusika wakati ukweli bado haujabainika.Salaam.
Hapa hatuongeleai wala hatuchambui kama kuna ukweli au uongo kwa aliyosema Makonda, hapa tunaongelea ile kuweza kutamka tu aliyoyatamka, kwangu mimi ni ushujaa tosha.
Mweeeh kipigo utakachokula hutasahau maisha yako yote.Hapana, haukuwepo ukoloni, nami nimeongelea polisi hata baada ya ukoloni, from experience au unachokisoma hukielewi?
US nimefika mara kadhaa, si mara moja wala mbili na huwezi nidanganya kuhusu Police wa US. Police wa US hajawahi kuogopwa na wasiovunja sheria.
Police wa Tanzania unaweza mfanyia hivi, hususan FFU?:
![]()
![]()