mwanamichakato
JF-Expert Member
- Mar 20, 2015
- 1,208
- 1,109
Polisi ni wanadamu wa kawaida,
ni watoto wetu,baba zetu,wake zetu,waume zetu,wajukuu zetu,wakwe zetu..
tumewalea,somesha,wakuza..tunaishi nao,tushiriki nao ktk mambo ya kijamii..
wanastahili heshima,utu,haki,usawa...tuwapende,tuwajali,tuwakosoe,tuwaelimishe,tuwashirikishe,tuwasaidie...
ni watoto wetu,baba zetu,wake zetu,waume zetu,wajukuu zetu,wakwe zetu..
tumewalea,somesha,wakuza..tunaishi nao,tushiriki nao ktk mambo ya kijamii..
wanastahili heshima,utu,haki,usawa...tuwapende,tuwajali,tuwakosoe,tuwaelimishe,tuwashirikishe,tuwasaidie...