Je, Makonda kavunja mwiko?

Je, Makonda kavunja mwiko?

Afrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.

Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.

Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.

Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.

Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.

Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.

Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.

Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?

Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?

Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.
@FaizaFox ndio unaandika hoja mufilisi kiasi hiki? Du! Umeniangusha sana.

Anachokifanya Makonda ni kupiga umbea ili aonekane anafanya kazi na wenzake wanazembea wafukuzwe. Ndivyo alivyomfanyia Wilson Kabwe akasimamishwa hadharani na Rais bila kufuata taratibu za Utumishi.

Bahati nzuri juzi Waziri Mkuu Majaliwa kamshushua palepale.
 
Jamaa anatakiwa kwenda kidogo kwa babu au bibi akasalimie huenda kuna jambo haliko sawa huko kwao.
 
Ushujaa ni ishu kuwa proved na si vinginevyo ulishajiuliza iwapo atashindwa kuthibitisha hizo tuhuma hali itakuwaje kwenye vikao vya kamati ya ulinzi na usalama ya mkoa usipende kupongeza bila kuangalia madhara yatayopatikana mbeleni
 
Hapo kwa bibie FF anaweza akawa kamlenga baba wa taifa na azimio la Arusha.

Mkuu umengonga msumari, hicho kibibi lengo lake ni kumshambulia baba wa Taifa, kama ilivyo kawaida yake, alio andika hayana ukweli hata kidogo, in fact Kipindi cha mwalimu na azimio la Arusha hata police na wanajeshi waliitwa ndugu neno afande lilipotea.
 
Afrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.

Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.

Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.

Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.

Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.

Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.

Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.

Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?

Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?

Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.

mtazamo wenu
mashuleni
majeshi ya polisi

Teacher leo umepotoka:-
 
Kwahiyo Lema huwa halali? Umejuaje kuwa halali?
Nani kasema kuwa halali? Nimejuaje?? Mzima kweli wewe?? Soma comment yangu tena kisha kula ushibe utanielewa, usijaze tumbo tu, kula ushibe yawezekana una njaa ndo maana hujaelewa.
Kwa nini unaniuliza kitu ambacho sijakizungumzia mimi??
 
Alichofanya Makonda ni kujifunga mabomu na kupuliza kipyenga,wenye akili wamemuelewa.
 
Mimi naona kama ni utovu wa nidhamu, kimaadili ya kazi hakutakiwa kujimbizana na wakubwa zake hadharani.

PM na Sirro wana hadhi zao angewafuata ofisini au angesubiri vikao husika.



Sitetei upande kwa vile binafsi sina imani na jeshi la polisi wala Makonda mwenyewe kutokana na tabia zake.

Ila nachoweza kusema tabia hii ikiachwa isiendelee kuna siku atamtuhumu hadharani Mkuu wa Majeshi kuwa anashirikiana na nchi jirani kuhujumu nchi na kuleta taharuki.

..mimi simsikitii kamanda sirro.

..wakati mwingine anaegemea waziwazi upande wa CCM.

..Rejea wakati wa vuguvugu za
maandamano ya ukuta.

..sasa ndiyo maana Makonda amemzoea. Na hivyo kumchukulia na kumtendea kama mwanasiasa
mwenzake.
 
Afrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.

Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.

Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.

Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.

Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.

Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.

Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.

Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?

Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?

Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.
Mbona ile ya Mbowe ya kuhongwa 10 ml kwa wabunge wenu hukuchangia?
 
Huyo mtoto ametumwa kama kawaida yake anatumika! Anawaharibia wasifikirie au kulalamika wakikosa ma vyeo jeshini....ambayo yako wazi! Anatafutwa kanda maaarum mmoja awekwe palem...saasa utampitishaje? Tengeneza kashfa kwa anastahili ili akipewa mwingine lawama zisiwepo!! Namponegza sana alielaumiwa maana ana busara sana na ameshajua kuwa kuna watu wanamtuma kumvuruga!! Achana na siasa kabisa!! Awamu hii ya kanda maarum!!! Subiri uone ataewekwa pale....palipo wazi na pengine pale juu zaidi......atapotolewa kafara(sare geshi na lugumi).....time....tik tak
Afrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.

Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.

Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.

Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.

Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.

Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.

Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.

Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?

Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?

Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.
 
Afrika kwa ujumla na hususan Tanzania (baada ya Uhuru) Polisi wamekuwa ni watu wa kuogopewa na jamii kama vile nyoka.

Nnakumbuka miaka ya mwanzoni mwa nchi yetu kupata Uhuru Polisi walikuwa ni watu wanaopendwa na jamii, enzi hizo ilikuwa utawakuta polisi wa Kizungu, Kihindi, Kiarabu na Kiafrika.

Kama watoto, kila mmoja wetu alikuwa anatamani siku moja awe askari Polisi. Kilichotupelekea kuwa hivyo ni jinsi enzi hizo polisi walivyokuwa na upole kwa watoto, nnakumbuka wakija mashuleni kutupa mafunzo ya kila aina na kutueleza vipi tuwe raia wema wenye kusaidia wengine. Nnakumbuka pia polisi wakituvusha barabara kwa upole na ingawa magari yalikuwa si mengi.

Nnachokikumbuka zaidi kwa polisi wa siku hizo ni tabasamu zao, awe wa kiume au wa kike (wa kike walikuwa wachache sana), ilikuwa siku zote nikiwaona polisi amma njiani amma wakija mashuleni walikuwa na tabasamu lisilokwisha na wenye nyuso za furaha kiasi cha kukufanya uliye karibu nao uwe na amani.

Hayo yaliisha mara tu baada ya kutangazwa azimio la Arusha.

Baada ya hapo mpaka hii leo, Polisi wamekuwa ni watu wasiocheka na watu, polisi imekuwa ndiyo tishio kwa watoto, mtoto wako akikosa ukimtajia polisi basi anaingiwa na uoga.

Jee, tumejiuliza kwanini? Mimi nna-majibu mengi sana kuhusu hilo lakini nnawaachia wachangia mada nanyi mjinafasi na kutoa dukuduku lenu kwa mtazamo wenu.

Paul Makonda, ameweza kuwasema polisi hadharani, tena kinaga ubaga. Mwiko ambao hata wakubwa zaidi ya Makonda kwenye uongozi wameshindwa kuuvunja kwa hapa kwetu Tanzania na nchi nyingi za Kiafrika kwa ujumla. Jee, kwanini?

Binafsi nnaona kitendo cha Makonda ni cha kishujaa sana. Wewe jee?

Nnaomba tuchangie hii mada huku tukielekeza maoni yetu kwa viongozi wa nchi pamoja na viongozi wa majeshi ya polisi kwa nia ya kuitaka polisi iwe rafiki zaidi wa wananchi na iwe ni kwa ajili ya wananchi na si kwa ajili ya viongozi wa nchi au watawala wa nchi pekee.
Azimio la Arusha -Nyerere
Kilembwe Bin Ajuza

Makondakta kawa Bi Mdogo wa GSM, kasilimu kimya kimya..
 
Unatoa tabasamu kwa mswahili mvivu asiyependa kufanya kazi? Wewe unafahamu chanzo cha vita ya majimaji?mjerumali aliwaletea wamatumbi mbegu za pamba walime ili wapate nguo.wakakataa kwamba kulima shambani ni utwana.
 
Makonda Hana Polite, inakuwaje mkuu was mkoa MTU anakuahidi rushwa halafu humkamatishi mayo Ili aadhibiwe. Makonda awataje waliomwambia watamhonga I'll wakamatwe mbona anaweka siri Kama vile uhalifu walioufanya kwake ni was ubakaji?
 
Salaam.

Hapa hatuongeleai wala hatuchambui kama kuna ukweli au uongo kwa aliyosema Makonda, hapa tunaongelea ile kuweza kutamka tu aliyoyatamka, kwangu mimi ni ushujaa tosha.

Sioni mantiki katika hoja yako hii.Kama ni hivyo unaweza ukamwita Lema naye ni Shujaa.
Kwa wanaokujua na kufatilia hoja zako lazima wajue kwa nini unachukia Jeshi la Polisi.
 
Rushwa polisi ni nafikiri wote tunafahamu hotuba moja ambapo walifiwa ns rushwa ikahalalishwa kama vihela vya vocha
 
Heshima yako mkuu.

Kwa sasa ni vigumu sana kwa polisi kuwa rafiki kwa raia kwasababu;
1: Serikali haiwajali kwenye maslahi ya yao(mishahara, nyumba za kuishi, usalama wao na mazingira mazuri ya kazi.). Hiyo imepelekea pokisi kujiingiza kwenye rushwa ili kujikimu ki mahitaji. So uzalendo na urafiki kwa raia haupo tena.

2: Ugumu wa maisha unaopelekea kuongezeka kwa uharifu mfano majambazi,wizi na vikundi viovu mfano panya road. Hupelekea polisi kuto kuwa na imani na upendo kwa raia. Miaka ya nyuma matukio ya kuuawa kwa polisi yalikuwa machache lakini sasahivi hali ni tofauti. Hii inawafanya polisi kuondoa ukaribu na raia kwa sababu raia wenyewe kwa asilimia kubwa ni wahalifu.
MAONI YANGU:
serikali ijali na kutatua kero na matatizo ya polisi kwa kuwapa haki zao za msingi.
Pili, serikali itengeneze ajira kwa wananchi ili kupunguza wimbi la uhalifu unaohatalisha usalama wa nchi.

Maoni kuntu.
 
Back
Top Bottom