Jamaa yangu ananiambia wameambiwa inakuja mitihani baada ya training na ukifeli unapigwa chini.Bado, kuna wale wengine walioitwa kazini ndo kwanza wapo training
Hakuna upuuzi kama huo.Jamaa yangu ananiambia wameambiwa inakuja mitihani baada ya training na ukifeli unapigwa chini.
Mi siamini kama utumishi wanaweza kufanya hivi
mbona itakuwa ni gharama mara mbiliHakuna upuuzi kama huo.
Tutawaita next week,ila mjiandae kisaikolojia
Kwanini mkuuTutawaita next week,ila mjiandae kisaikolojia
Huyo hajui chochote asikutishe,pitia kwenye nyuzi zake alikuwa anaomba kazi piaKwanini mkuu
kampa muongozo tu Wala hajamtishaHuyo hajui chochote asikutishe,pitia kwenye nyuzi zake alikuwa anaomba kazi pia
Ndivyo walivyokua wanafanya hivyo, Training ilikua inachukua mwaka mzima pale ITA then wanapiga pepa ukifeli ndio imeisha hivyo.Magu alivyokuja nadhani huo mfumo ulibadilishwa.Jamaa yangu ananiambia wameambiwa inakuja mitihani baada ya training na ukifeli unapigwa chini.
Mi siamini kama utumishi wanaweza kufanya hivi
sasa mwaka mzima,kama nilikua nakazi nikaacha then mkanichukua mnanidump ntaenda wapi sasa,waache ubabaifuNdivyo walivyokua wanafanya hivyo, Training ilikua inachukua mwaka mzima pale ITA then wanapiga pepa ukifeli ndio imeisha hivyo.Magu alivyokuja nadhani huo mfumo ulibadilishwa.
They give you an offer you can't refuse.sasa mwaka mzima,kama nilikua nakazi nikaacha then mkanichukua mnanidump ntaenda wapi sasa,waache ubabaifu
Training mwaka mzima!? are you kidding, waache dharau wengine tulishaingia darasan imetosha, come on halafu ni TRA na sio CIANdivyo walivyokua wanafanya hivyo, Training ilikua inachukua mwaka mzima pale ITA then wanapiga pepa ukifeli ndio imeisha hivyo.Magu alivyokuja nadhani huo mfumo ulibadilishwa.
Training mwaka mzima!? are you kidding, waache dharau wengine tulishaingia darasan imetosha, come on halafu ni TRA na sio CIA
Sasa hivi training ni miezi miwiliTraining mwaka mzima!? are you kidding, waache dharau wengine tulishaingia darasan imetosha, come on halafu ni TRA na sio CIA
OkSasa hivi training ni miezi miwili
Hakuna kitu kama hicho mkuusasa mwaka mzima,kama nilikua nakazi nikaacha then mkanichukua mnanidump ntaenda wapi sasa,waache ubabaifu
Kuna malipo?Sasa hivi training ni miezi miwili