Je Mafwele ni Mtanzania?

Je Mafwele ni Mtanzania?

Kwako ni wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza na kabila lake ni Mkerewe
Yep, ni jina la Kikerewe hilo!

Mimi nadhani kuna haja ya kuja na mpango wa kushughulika na immediate families za hawa wanaojifanya hamnazo na kumwaga damu za Watanzania wasiokuwa na hatia. Inabidi familia zao nazo zipate experience ya maisha ya hell wanayopitia watu wa familia zingine!
 
Huyu mtu ni Mtanzania

Kwao niwapi? Mwenye CV yake atupe Ila Nina mashaka na uraia wake

Kama alivyosema CDF
Tanzania ni nchi ya ajabu kweli kweli kweli. Huyu mtu katajwa siku nyingi lakini huwezi kukuta sehemu ambayo mtu/watu wamefanya juhudi kujua maisha yake kwa undani. Tumekosa umakini na udadishi kweli kweli.
 
Huyu mtu ni Mtanzania

Kwao niwapi? Mwenye CV yake atupe Ila Nina mashaka na uraia wake

Kama alivyosema CDF
Usiwazingatie kabisa watanzania. Huyo Mafwele tangu wameanza kumuimba yaani yupo tu mitaani anadunda hana noma na ana familia kabisa!?
Wanajua wanamsingizia ndiyo maana hawafanyi lolote, na yeye wala hana wasiwasi na Kanisani anaenda tena huingia mapema na kutoka mwishoni.
 
Back
Top Bottom