Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Wenye maswali kuhusu Mafia uliza hapa ujibiwe, niko Mafia kikazi.

Usafiri kuna meli Mv songosongo inamilikiwa na Jeshi ina uwezo wa kubeba abiria 200+. Kuna kivuko Mv Nyamisati kinamilikiwa na Serikali kinabeba abiria 200 na mizigo tani 100.

Barabara ya lami ipo kutoka bandarini hadi Utende, kuna nyingine inawekwa lami sasa.
1. Usafiri wa kuja Mafia unapatikana maeneo gani? namaanisha ule wa Meli.
2. Bei za lodge kwa Siku zikoje?
3. Kuna vivutio gani vya kupunguzia stress huko?

Nataka nije kutembea na Mke wangu huko walau nipate pumziko la siku 4.
 
Lami ipo airport tu, tena imewekwa majuzi, mwanzoni kulikuwa na kipande kidogo cha kama mita za mraba 25 hivi kwenye egesho la ndege, mwaka 2011 nilishuhudia Mwalimu mmoja amepeleka wanafunzi hapo kuwaonesha lami ilivyo
Hapana lami ipo Mafia kuanzia pale bandarini dukani kwa Dunia mpaka kule stand lami ipo
 
1. Usafiri wa kuja Mafia unapatikana maeneo gani? namaanisha ule wa Meli.
2. Bei za lodge kwa Siku zikoje?
3. Kuna vivutio gani vya kupunguzia stress huko?

Nataka nije kutembea na Mke wangu huko walau nipate pumziko la siku 4.
Umerukia kucomment ,rudia kusoma comments toka mwanzo utapata majibu
 
Kuna meli bora kabisa kama kilimanjaro ya kwenda Zenji unacheki mpaka movie pia kuna meli ya Jeshi hiyo ina huduma bora balaa, unasafiri kama upo mamtoni, huwezi linganisha na visiwa vingine kama Songosongo huko ni kupanda majahazi tu mkifika mnashukuru.

IMG_2944.jpg
 
Back
Top Bottom