Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,090
- 2,710
Mliofika Mafia. Mafia machoni pa watanzania wengi bado ni giza. Hata mtu ukimwambia ataje wilaya za Pwani angalabu sana kutaja Mafia!!
Kwa hali hii imenipasa kuuliza kama hata lami ipo???
Hutakaa usikie
Msanii
mchezaji
Mtu maarufu
Au chochote kutoka kisiwa hiki shida nn??
au ni kijiji sana
Pia unaweza pitia
Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?
Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?
APPRECIATION PIA KWA NYUZI HIZI
Wananchi wa Mafia tunahitaji usafiri wa uhakika na bei nafuu
Utajiri wa Magofu ya Rapta
Kisiwa cha Mafia, kwanini hatuambiwi historia ya ukweli?
Maajabu ya Kisiwa cha Jibondo
Je Kisiwani Mafia kuna viwanja vya michezo?
Mafia Kisiwani viwanja vinauzwaje?
Mafia Kisiwani viwanja vinauzwaje?
NOTABLE MEMBERS
[mention]jay-millions [/mention]
[mention]emmarki [/mention]
[mention]Faana [/mention]