Tuo Tuo
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 627
- 1,081
Mafia ndiyo kisiwa chetu, mkazo hakuna kabisa na kina advantage zote muhimu kitalii....!
--"Welcome to Mafia isles, enjoy clear & clean swimming,"--
mafia isles ndo nn
Mafia ndiyo kisiwa chetu, mkazo hakuna kabisa na kina advantage zote muhimu kitalii....!
--"Welcome to Mafia isles, enjoy clear & clean swimming,"--
Tatizo hasa hii mikoa ya Pwani wazawa wana misingi yao, ukijifanya wewe ndio unapiga sana kazi unataka maendeleo wanakupiga spidi gavanaSehemu zinazidiana, sehemu wanaoyoishi watu wa jamii moja bila kuchanganyikana inakuwa hatari tofauti na mchanganuiko hasa sehemu za mjini
Ningelikuwa kiongozi mwandamizi Mafia ningeitengeneza na kufanya kituo kikuu cha cruise ship destination,then ninge facilitate luxury boat ndogo ndogo na helkoptor za kufanya watalii baada ya kufika hapo waweze kwenda aidha mbugani au kufika zanzibar au dar kiwepesi,kutegemeana na matakwa yao.
Tatizo hasa hii mikoa ya Pwani wazawa wana misingi yao, ukijifanya wewe ndio unapiga sana kazi unataka maendeleo wanakupiga spidi gavana
Safi Sana, huu ni ushahidi toshaView attachment 2870757
Karibu...
Safi Sana, huu ni ushahidi tosha
Ningelikuwa kiongozi mwandamizi Mafia ningeitengeneza na kufanya kituo kikuu cha cruise ship destination,then ninge facilitate luxury boat ndogo ndogo na helkoptor za kufanya watalii baada ya kufika hapo waweze kwenda aidha mbugani au kufika zanzibar au dar kiwepesi,kutegemeana na matakwa yao.
@antonnia kwa nini umetajwa hapa?
NilifikanMafia mwaka 2020, kimsingi toka Kilindoni kuingia mjini mpaka roundabout niliona mkeka ila kuifikia maeneo kama airport yao hakukuwa na lami na maeneo mengi tu hayakuwa na lami.View attachment 2870790
Mliofika Mafia. Mafia machoni pa watanzania wengi bado ni giza. Hata mtu ukimwambia ataje wilaya za Pwani angalabu sana kutaja Mafia!!
Kwa hali hii imenipasa kuuliza kama hata lami ipo???
Hutakaa usikie
Msanii
mchezaji
Mtu maarufu
Au chochote kutoka kisiwa hiki shida nn??
au ni kijiji sana
Pia unaweza pitia
Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?
Kwanini Mafia isiwe mkoa wa 32 wa Tanzania?
APPRECIATION PIA KWA NYUZI HIZI
Wananchi wa Mafia tunahitaji usafiri wa uhakika na bei nafuu
Utajiri wa Magofu ya Rapta
Kisiwa cha Mafia, kwanini hatuambiwi historia ya ukweli?
Maajabu ya Kisiwa cha Jibondo
Je Kisiwani Mafia kuna viwanja vya michezo?
NOTABLE MEMBERS
[mention]jay-millions [/mention]
[mention]emmarki [/mention]
[mention]Faana [/mention]
@antonnia kwa nini umetajwa hapa?
Haijalishi, lami ipolami one way
NilifikanMafia mwaka 2020, kimsingi toka Kilindoni kuingia mjini mpaka roundabout niliona mkeka ila kuifikia maeneo kama airport yao hakukuwa na lami na maeneo mengi tu hayakuwa na lami.