ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,779
Nimejaribu Kujiuliza na kufikiria pengine Kwa akili yangu finyu kwamba inawezekanaje Kutenga zaidi ya Bilioni 800 Kwa Ajili ya kujenga Barabara za Mitaa za Jiji la Dar wakati Kuna Barabara Kuu za Kuunganisha Mikoa na Mikoa na Nchi na Nchi jirani Bado Zina mavumbi,Hii ni sawa? Haiwezi Kuwa ni Upendeleo?
Nafahamu Jiji la Dar linahitaji Barabara za mitaa lakini Kwa nini hatuna Vipaombele?
Swali la Kujiuliza ,Kipi kina impacts kubwa kwenye uchumi wa Nchi na Wananchi kati ya Barabara za mitaa za Dar na Barabara kuu baina ya Mikoa Kwa Mikoa na Nchi Kwa Nchi?
Bil.800 inaweza kujenga km 700 za Barabara za Lami za Mikoa na Kufungua uchumi mkubwa sana kuliko kutumia hizo pesa kuweka lami mitaa ya Dsm.
Mikoa Ifuatayo Haina Lami zinazounganisha Mkoa Kwa Mkoa licha ya
Morogoro -Songea/Ruvuma
Morogoro -Njombe
Mbeya -Tabora
Mbeya -Singida
Katavi-Rukwa
Mpanda/Katavi- Kigoma
Tabora-Kigoma
Kigoma -Kagera
Arusha-Mara
Singida-Simiyu
Tabora-Rukwa
Morogoro -Lindi
Tanga -Singida
My Take: Hivi kweli Watunga sera Wetu wako serious na Vipaombele vyenye maslahi Kwa Nchi?
Nafahamu Jiji la Dar linahitaji Barabara za mitaa lakini Kwa nini hatuna Vipaombele?
Swali la Kujiuliza ,Kipi kina impacts kubwa kwenye uchumi wa Nchi na Wananchi kati ya Barabara za mitaa za Dar na Barabara kuu baina ya Mikoa Kwa Mikoa na Nchi Kwa Nchi?
Bil.800 inaweza kujenga km 700 za Barabara za Lami za Mikoa na Kufungua uchumi mkubwa sana kuliko kutumia hizo pesa kuweka lami mitaa ya Dsm.
Mikoa Ifuatayo Haina Lami zinazounganisha Mkoa Kwa Mkoa licha ya
Morogoro -Songea/Ruvuma
Morogoro -Njombe
Mbeya -Tabora
Mbeya -Singida
Katavi-Rukwa
Mpanda/Katavi- Kigoma
Tabora-Kigoma
Kigoma -Kagera
Arusha-Mara
Singida-Simiyu
Tabora-Rukwa
Morogoro -Lindi
Tanga -Singida
My Take: Hivi kweli Watunga sera Wetu wako serious na Vipaombele vyenye maslahi Kwa Nchi?