Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

Je, Mafia Kisiwani kuna barabara za lami?

1. Usafiri wa kuja Mafia unapatikana maeneo gani? namaanisha ule wa Meli.
2. Bei za lodge kwa Siku zikoje?
3. Kuna vivutio gani vya kupunguzia stress huko?

Nataka nije kutembea na Mke wangu huko walau nipate pumziko la siku 4.
Usafiri wa meli bado tuna kivuko kimoja ambacho kinahudumia mafia kutoka nyamisati ambayo ipo kibiti. Ukitaka kuja mafia, chukua daladala mbaga ikufikishe mwandege stend, hapo utakuta daladala za kukufikisha nyamisati ndipo kivuko kinapatikana hapo.

Bei za lodge inategemeana na uclasic wa lodge, kuanzia elfu 20 per night zipo.

Vivutio vya majini, kuzamia, kuogelea, kufurahia natural beaches
 
Usafiri wa meli bado tuna kivuko kimoja ambacho kinahudumia mafia kutoka nyamisati ambayo ipo kibiti. Ukitaka kuja mafia, chukua daladala mbaga ikufikishe mwandege stend, hapo utakuta daladala za kukufikisha nyamisati ndipo kivuko kinapatikana hapo.

Bei za lodge inategemeana na uclasic wa lodge, kuanzia elfu 20 per night zipo.

Vivutio vya majini, kuzamia, kuogelea, kufurahia natural beaches
Mkuu, nataka nije huko siku 2.
 
Back
Top Bottom