Hebu angalia na hiyo, jee ndio mafanikio hayo?Ni fiti kwa Saccos sisi tunamwona msaliti tu aliyeshindwa! Vitu vyote alivyokuwa anapinga tumefanikiwa kuanzia Accacia hawapotena TZ na tumefikia makubaliano na Barrick na Kampuni mpya ya Twiga imeshaanzishwa! Hapa Kazi Tu! Pia hana tena Ubunge amebaki kiongozi kwenye Saccos inayokufa baada ya October 2020.
Viroboto hawatoacha kumpigia vigelegele kupe maana wazijua sababu.Uko mbali na dunia.Pole Sana
Kibumbu wewe!!!Viroboto hawatoacha kumpigia vigelegele kupe maana wazijua sababu.
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Mwandishi mwenyewe Materu!!Hebu angalia na hiyo, jee ndio mafanikio hayo?View attachment 1328737View attachment 1328738
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesoma Kahororo.
Usiishie kuulizia ya Lissu tu,ulizia na ya watanzania wengine
Sent from my TA-1024 using Tapatalk
Ndiyo au Mmawia!
Ndiyo au Mmawia!
Alikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.Lissu, vigogo Chadema wakutana Kenya
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu inasemekana amekutana na vigogo wa chama hicho katika kikao kilichofanyika jijini Nairobi nchini Kenya, Mwananchi limeelezwa.www.mwananchi.co.tz
Shida iko wapi? Nyie endeleeni kufanyia IkuluAlikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.Lissu, vigogo Chadema wakutana Kenya
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu inasemekana amekutana na vigogo wa chama hicho katika kikao kilichofanyika jijini Nairobi nchini Kenya, Mwananchi limeelezwa.www.mwananchi.co.tz
Wewe si umelikataa kabila lako la Wamakonde!?
Wewe si umelikataa kabila lako la Wamakonde!?
Mara Mkurya mara Ngosha mara Mchaga!Kamwe siwezi kulikataa kabila langu kisa kumsujudia au kujipendekeza kwa mtu fulani ili nipate kushiba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara Mkurya mara Ngosha mara Mchaga!
Babako anao huo ubunge! Mbona mamako alimsaliti babako ukazaliwa wewe na unadunda.Waumie kwa lipi? Huyo msaliti wakati hata ubunge hana tena!
Babako anao huo ubunge! Mbona mamako alimsaliti babako ukazaliwa wewe na unadunda.
Alikuja kuhudhuria kikao cha kamati kuu ya chadema kilichofanyika mjini Nairobi kwenye a 5 star hotel. Baada ya kikao alirejea kwao Ubeligiji. Kikao kijacho cha kamati kuu kifanyika nchini Ubeligiji.Lissu, vigogo Chadema wakutana Kenya
Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu inasemekana amekutana na vigogo wa chama hicho katika kikao kilichofanyika jijini Nairobi nchini Kenya, Mwananchi limeelezwa.www.mwananchi.co.tz