figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Watanganyika Waishio au wanaofanya kazi Zanzibar tunanyanyasika sana.
Hatuna Uhuru wa kuabudu, kufanya biashara, kujumuika na Jamii.
Watu tunapigwa na kudhalilishwa. Mengi yanafanywa na Wateuli wa Rais wa Zanzibar.
Watu wa Bara hatuajiriki, hatumiliki Ardhi.
Wafanyabiashara wakipeleka ndizi zinazamishwa baharini eti zina Mahonjwa, lakini wakija bara wanazila na kusema tamu.
Hata kwenye Karata ukiwa unacheza na Zanzibar, anajiona kama kakaa na Mkoloni.
Wanadai wao ni watumwa kwa watu wa Bara. Eti watu wa bara ni wakoloni na Zanzibar watumwa.
Uchaguzi wa Zanzibar unasimamiwa na tume yao ZEC. Sisi Bara tunahusikaje?
NAWAPA ANGALIZO SERIKALI YA ZANZIBAR
1. Mkivunja Muungano mtateseka sana. Mfano sasa hivi Zanzibar hamna sehemu ya kuchimba Mchanga. Mnajenga kwa kutegemea Mchanga wa Bara
2. Zanzibar hamna mifugo, Nyama, Ndizi, viazi, Mchele mnategemea Bara
3. Zanzibar Umeme mnategemea Tames
Dar Es Salaam inajaa Wazanzibar, wakifukuzwa watakaa wapi? Jambiani?
Zanzibar hamna Wasomi labda Masomo ya Quran.
Hivyo nawashauri kaeni kwa kutulia na mjipendekeze kwa Tanganyika.
Rais Hussein Mwinyi anafumbia mambo Maovu ya Viongozi wake, anahisi akikemea watamnyima Urais na kumuita Kafiri.
Serikali ya Zanzibar inayo Unga Mkono Ubaguzi ijitafakari.
Wakristo, Wamasai, wana Uhuru wa kuishi popote.
Unanilazimisha kifunga, Mimi Mpagani, dini yako inanihusu nini? Niache niende motoni kwani Moto siuogopi. Wewe inakuuma nini mimi nikihukumiwa kwenda Motoni?
HILI NI ONYO.
Rais Samia asiingilie kati. Na kuanza kutuaambia sijui R4. R4 huku wamasai Watanganyika tunaonewa?
Watanganyika Waishio au wanaofanya kazi Zanzibar tunanyanyasika sana.
Hatuna Uhuru wa kuabudu, kufanya biashara, kujumuika na Jamii.
Watu tunapigwa na kudhalilishwa. Mengi yanafanywa na Wateuli wa Rais wa Zanzibar.
Watu wa Bara hatuajiriki, hatumiliki Ardhi.
Wafanyabiashara wakipeleka ndizi zinazamishwa baharini eti zina Mahonjwa, lakini wakija bara wanazila na kusema tamu.
Hata kwenye Karata ukiwa unacheza na Zanzibar, anajiona kama kakaa na Mkoloni.
Wanadai wao ni watumwa kwa watu wa Bara. Eti watu wa bara ni wakoloni na Zanzibar watumwa.
Uchaguzi wa Zanzibar unasimamiwa na tume yao ZEC. Sisi Bara tunahusikaje?
NAWAPA ANGALIZO SERIKALI YA ZANZIBAR
1. Mkivunja Muungano mtateseka sana. Mfano sasa hivi Zanzibar hamna sehemu ya kuchimba Mchanga. Mnajenga kwa kutegemea Mchanga wa Bara
2. Zanzibar hamna mifugo, Nyama, Ndizi, viazi, Mchele mnategemea Bara
3. Zanzibar Umeme mnategemea Tames
Dar Es Salaam inajaa Wazanzibar, wakifukuzwa watakaa wapi? Jambiani?
Zanzibar hamna Wasomi labda Masomo ya Quran.
Hivyo nawashauri kaeni kwa kutulia na mjipendekeze kwa Tanganyika.
Rais Hussein Mwinyi anafumbia mambo Maovu ya Viongozi wake, anahisi akikemea watamnyima Urais na kumuita Kafiri.
Serikali ya Zanzibar inayo Unga Mkono Ubaguzi ijitafakari.
Wakristo, Wamasai, wana Uhuru wa kuishi popote.
Unanilazimisha kifunga, Mimi Mpagani, dini yako inanihusu nini? Niache niende motoni kwani Moto siuogopi. Wewe inakuuma nini mimi nikihukumiwa kwenda Motoni?
HILI NI ONYO.
Rais Samia asiingilie kati. Na kuanza kutuaambia sijui R4. R4 huku wamasai Watanganyika tunaonewa?