Je, kwa mshahara wa Shilingi 310,000 unaweza kuishi Dar es Salaam?

Habari wadau!

Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Maisha yako ndio yataamua.

Mimi kipato changu kwa mwezi hakizidi laki 3 kwasasa ila mahitaji yangu yote nafanya ikiwemo kumsaidia mama, kulipa kodi, kula, maji, nauli, SACCOS, kuwekeza, kuhonga, kuwapa wapiga mizinga.

Na hii ni kwasababu binafsi,
  • Sinywi pombe
  • Sivuti sigara wala chochote
  • siyo mtu wa mambo mengi sijui parties, birthday
  • Huwa natoka mara moja moja sana nikiwa stressed.
  • Mara nyingi mimi ni mtu wa kukaa ndani tu, na sio kwamba najitesa au najinyima hapana. I just enjoy being alone

Kwahiyo lifestyle yako ndio ita determine kama kipato hicho kinatosha amma la.
 
Hahahahaha we jamaa utakua mnoko sana home
awapi na bado wife anakula good time kama kawaida kuna siku naweza kumtoa tukala chakula cha maana na kinywaji ungekuwa dodoma ningekupa nafasi ya kuonana na mimi uone kama ni mnoko!
nidhamu ya matumizi inatakiwa.
na hii yote nasukumwa kutaka kitu kizuri lakini kwa kipato kidogo hivyo lazima niweke target
 
Maisha yako ndio yataamua.

Mimi kipato changu kwa mwezi hakizidi laki 3 kwasasa ila mahitaji yangu yote nafanya ikiwemo kumsaidia mama, kulipa kodi, kula, maji, nauli, SACCOS, kuwekeza, kuhonga, kuwapa wapiga mizinga.

Na hii ni kwasababu binafsi,
  • Sinywi pombe
  • Sivuti sigara wala chochote
  • siyo mtu wa mambo mengi sijui parties, birthday
  • Huwa natoka mara moja moja sana nikiwa stressed.
  • Mara nyingi mimi ni mtu wa kukaa ndani tu, na sio kwamva najitesa au najinyima hapana. I just enjoy being alone

Kwahiyo lifestyle yako ndio ita determine kama kipato hicho kinatosha amma la.
Utakuwa unaishi na mshikaji mnashare ghetto😂😂😂😂
 
Sema kweli bhana bado mnabebana ghetto na mshikaji.😂😂😂
Sina sababu ya kudanganya tena kupitia fake ID kama hii ili iweje.

Mimi sinaga shobo na kuogopa chochote.

Kuna uzi humu nilishaanzisha nafanya kazi ya ulinzi, sembuse jambo dogo kama hilo.
 
Hivi walinzi wa huko Dar wanalipwa shiilingi ngapi, secretaries, madereva, walimu wamsingi, wafanyakazi wa kima cha chini cha mshahara wanalipwa shilingi ngapi ? unaweza kuishi kama utaachana na maisha ya fake...itabidi uzoee sana maisha ya wali maharage nyama jumapili vinywaji visizidi fursana ...ogopa mitaa ya sinza..osterybay wala usijisumbue, ukiweza nunua baiskeli ukwepe nauli pia usisahau kununua jagi la kumcheshea maji ya kunywa pamoja na chupa yakubebea maji hayo. ukiyaweza hayo utakua uko mbali sana especially ki CV na exposure ya maisha compare na wengi wanaokwambia haiwezekani huku hawajui ilo kochi la shemeji waliokea mguu juu alinunua shemeji akiwa na mshahara wa shilingi ngapi!!
 
Hivi walinzi wa huko Dar wanalipwa shiilingi ngapi, secretaries, madereva, walimu wamsingi, wafanyakazi wa kima cha chini cha mshahara wanalipwa shilingi ngapi ? unaweza kuishi kama utaachana na maisha ya fake...itabidi uzoee sana maisha ya wali maharage nyama jumapili vinywaji visizidi fursana ...ogopa mitaa ya sinza..osterybay wala usijisumbue, ukiweza nunua baiskeli ukwepe nauli pia usisahau kununua jagi la kumcheshea maji ya kunywa pamoja na chupa yakubebea maji hayo. ukiyaweza hayo utakua uko mbali sana especially ki CV na exposure ya maisha compare na wengi wanaokwambia haiwezekani huku hawajui ilo kochi la shemeji waliokea mguu juu alinunua shemeji akiwa na mshahara wa shilingi ngapi!!
Dar es Salaam waajiriwa wengi mishahara yao haizidi Tsh 350,000

Na wengine waganga njaa ( wafanyabiashara ndogo ndogo ) wanaweza kupata mpaja Tsh 20,000 kwa siku ila wengi shughuli pevu.
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Eve kila mwezi unanunua gesi usikute mpaka maharage wanachemshia gas ebu kuwa mkali kwenye gas bwana
Hamna maharage sipikii
Ila mambo mengine yote ni gas, mtungi wa kg 15 natuma ya kila siku nyumbani inatakiwa walau ifike muda gani?
 
Iyo hela inatosha kabisa,kumbukeni kuwa kuna watu wanafanya kazi za usafi wanalipwa laki na bado wanatoboa,ukiweka mipango ya matumizi ya hela unatoboa kabisa
 
Maisha yako ndio yataamua.

Mimi kipato changu kwa mwezi hakizidi laki 3 kwasasa ila mahitaji yangu yote nafanya ikiwemo kumsaidia mama, kulipa kodi, kula, maji, nauli, SACCOS, kuwekeza, kuhonga, kuwapa wapiga mizinga.

Na hii ni kwasababu binafsi,
  • Sinywi pombe
  • Sivuti sigara wala chochote
  • siyo mtu wa mambo mengi sijui parties, birthday
  • Huwa natoka mara moja moja sana nikiwa stressed.
  • Mara nyingi mimi ni mtu wa kukaa ndani tu, na sio kwamba najitesa au najinyima hapana. I just enjoy being alone

Kwahiyo lifestyle yako ndio ita determine kama kipato hicho kinatosha amma la.
Kuna mambo yanawezekana Tz tu....kipato hiki unajenga kwako,kwenu na kwa wakwe!
 
Mmh mitatu? Asubuhi mchana na jioni inatumika au unakua na kitu kingine? Mkaa na umeme....
Labda nianze mahesabu upya kwenye matumizi ya gas
Kwani we ndio unapika kila siku nyumbani sio kwa mwezi mmoja gas kuisha mtungi wa kg 15
 
Kaka maisha ya sasa ni akili yako so kama wewe unaona ndogo wenzio ni kubwa sana.

Ninajua umeona zile post za kazi za DART ndio maana umesema.

Ila inatosha
Kumbuka kila kazi kunakuwa kuna vimichongo vidogovidogo,ambavyo kwa akili yako ya kawaida huwezi kuelewa,mie kuna dogo namfahamu yupo sehemu lakini kuna kila siku anafanya mishemishe ndogondogo ofisni kwa siku amekosa sana elfu 5 sasa mpaka hapo mtu kama huyo unaweza ukaamini kwa mshahara anaoupata
 
Kwani we ndio unapika kila siku nyumbani sio kwa mwezi mmoja gas kuisha mtungi wa kg 15
Sipiki kila siku mie (ila nyumbani panapikwa kila siku)....sijui nimejibu kwa ufasaha.
Matumizi yangu ni mwezi, yani bajeti ya gas ni kila mwezi
 
Kuna mchezo huwa unafanywa na wanaohusika kusambaza izo gas wanaweka nusu ya uzito unaotakiwa katika mtungi husika.wanaamini mteja hawezi ulizia swala la uzito kamili wa gas!
Ni ngumu, kufanya hivo inabidi mteja asiwe anajua matumizi ya ile pressure gauge.
 
Back
Top Bottom