Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Maisha yako ndio yataamua.Habari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Mimi kipato changu kwa mwezi hakizidi laki 3 kwasasa ila mahitaji yangu yote nafanya ikiwemo kumsaidia mama, kulipa kodi, kula, maji, nauli, SACCOS, kuwekeza, kuhonga, kuwapa wapiga mizinga.
Na hii ni kwasababu binafsi,
- Sinywi pombe
- Sivuti sigara wala chochote
- siyo mtu wa mambo mengi sijui parties, birthday
- Huwa natoka mara moja moja sana nikiwa stressed.
- Mara nyingi mimi ni mtu wa kukaa ndani tu, na sio kwamba najitesa au najinyima hapana. I just enjoy being alone
Kwahiyo lifestyle yako ndio ita determine kama kipato hicho kinatosha amma la.