Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 6,993
- 8,916
Mkuu gari ni ya kwako au ya boss?Mimi kama Taxi Driver kipato changu ni 250,000/= kwa mwezi na bado nipo Dar hii hii mkuu
Mkuu gari ni ya kwako au ya boss?Mimi kama Taxi Driver kipato changu ni 250,000/= kwa mwezi na bado nipo Dar hii hii mkuu
Hiyo ni pesa mingi sana mkuu, kuna baadhi ya wana jf kama mm hatuipati kwa mwezi lkn bado tupo dar tunalipa kodi, ada za shule kwa watoto, kodi ya meza na pia tunapendeza. PAMBANA.
Gari ni yangu kwa 50% sharing na bossMkuu gari ni ya kwako au ya boss?
kivipi mnashare?Gari ni yangu kwa 50% sharing na boss
Nimelinunua bado ananidai around 49% ya denikivipi mnashare?
Madereva wajanja sana nyie🙄🙄🙄Nimelinunua bado ananidai around 49% ya deni
Unaishi sema tu ustawi wa maisha utausikia redioni tuHabari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Hapo umeongopa. Tax driver hupata zaidi ya laki 7 kwa mwezi.Mimi kama Taxi Driver kipato changu ni 250,000/= kwa mwezi na bado nipo Dar hii hii mkuu
Gari la mjomba ninamlipa kidogo kidogo kila wikiMadereva wajanja sana nyie🙄🙄🙄
,au ni la mkataba!
Endelea kuamini unachoona kinakufaaHapo umeongopa. Tax driver hupata zaidi ya laki 7 kwa mwezi.
Sema wewe umehesabu hiyo 250k tu ambayo unaisevu.
wakati mwingine tusiogope.Habari wadau!
Ebu nisaidieni hivi kweli 310,000/= inatosha mtu kufanya kazi na kuishi DAR au unatakiwa kuwa na miundombinu mingine?
Kwan walimu wanalipwa hizo!?? Mbona unaropoka kama piapu imekukolea!?Inategemea na jinsi unavyotumia mshahara kujiendeleza. Mbona waalimu wanaishi?