Je, kuna umuhimu mume/mwanaume kumuachia mwanamke usukani wa gari? safari zote mwanamke afanye?

Ukifika Arusha kuna mademu wanapiga gia balaa. Wanasukuma Land cruiser mkonge za watalii manual kama wanafagia uwanja tu
Wakuu Habari,Niwasalimu.

Sijajua kama nimeeleweka

Ipo hivi,Je? Kuna umuhimu mke/mama watoto kumuendesha mumewe/Baba watoto kwenye gari?

Nikimaanisha mwanaume hana gari lakini amenunua gari kwa ajili ya mkewe + familia na mwanamke ndiye anayeshika usukani.

Mfano kama ni kuwasalimu marafiki/kwenda event/hata church...mwanamke awe anauchukua usukani.

Ifahamike kuwa kuna baadhi ya wanaume hawapendi usumbufu + shughuli nyingi.

Sasa ni zipi faida na hasara za kumwachia mke usukani...?

NAWASILISHA
 
Upo vizuri.

100 ni speed ya kati na ya kistaarabu pia, haiboi dereva, haiboi abiria na haiboi watumiaji wengine wa barabara, haisababishi ajali za 'overspeed' na humfanya dereva awe makini.

Mwendo mdogo wa kobe barabarani hausaidii kupunguza ajali bali husaidia kuleta ajali kwako na kwa wengine.

Maana unapotembea kikonokono, huleta hamu kwa walioko nyuma yako ya ku overtake kusikokuwa na ulazima kunakoweza kusababisha ajali.
Atleast ww umeelewa nashangaa mtu spidi ya 100 anashangaa jaman..waturuji wa sgr wametutengezea barabara vzr balaa ..
 
..tukiwa na safari za kifamilia namuachia mama usukani kwasababu nikiendesha mimi malalamiko yanakua mengi kuwa naendesha kwa spidi kubwa.
Wanaume tupo rough sana..alafu ukute bado na watoto pia wamo
 
Usifanye hilo kosa Mkuu.

Nunua gari kwa maana ya unajinunulia mwenyewe kwa ajili ya matumizi yako na ya familia.

Ila usinunue kwa kusema eti unamkabidhi mkeo ndo awe analiendesha.

Weka tu utaratibu ambao uko open, kwamba gari unaendesha wewe, ikitokea wife anahitaji kutoka na gari lipo anatakiwa kukuuliza kama anaweza kulitumia au la.

Na mnapotoka wote yeyote aendeshe kutegemea na mazingira.

Usifanye kosa la kutamka eti nimekununulia gari hili hapa uwe unaendesha, labda tu kama uko vizuri na unaweza kununua yako na yake.

Shukrani sana Boss..

Umeeleza vzr sana + ushauri muruaa kabisa!

Maoni yako nimeyabeba Chief
 
Shukrani sana Boss..

Umeeleza vzr sana + ushauri muruaa kabisa!

Maoni yako nimeyabeba Chief

Don’t buy that crap! Kwa maisha ya sasa ni muhimu sana, kama uwezo upo, wife wako pia kuwa na gari!

Gari ya wife ni ya familia na gari ya baba ni ya kazi za baba pekee!

Tatizo lolote kama la ugonjwa or any emergency inayohitaji usafiri wa haraka likijitokeza, it’s easy for the wife kulitatua haraka, especially kama wewe haupo karibu!

Kumnunulia mkeo gari sio ufahali, it’s almost a necessity!
 
Kuna Boss wangu mmoja alinunua gari akamwachia mkewe yeye akitaka kwenda mahali anapelekwa na mkewe,hata kuendesha hajui wala hana mpango wa kujifunza,anasema hapendi kuendesha,na akipakiwa anakaa siti ya katikati sio mbele.
 
Wakuu Habari,Niwasalimu.

Sijajua kama nimeeleweka

Ipo hivi,Je? Kuna umuhimu mke/mama watoto kumuendesha mumewe/Baba watoto kwenye gari?

Nikimaanisha mwanaume hana gari lakini amenunua gari kwa ajili ya mkewe + familia na mwanamke ndiye anayeshika usukani.

Mfano kama ni kuwasalimu marafiki/kwenda event/hata church...mwanamke awe anauchukua usukani.

Ifahamike kuwa kuna baadhi ya wanaume hawapendi usumbufu + shughuli nyingi.

Sasa ni zipi faida na hasara za kumwachia mke usukani...?

NAWASILISHA
kama ni highway anipishe kwenye starling kwakweli
 
Don’t buy that crap! Kwa maisha ya sasa ni muhimu sana, kama uwezo upo, wife wako pia kuwa na gari!

Gari ya wife ni ya familia na gari ya baba ni ya kazi za baba pekee!

Tatizo lolote kama la ugonjwa or any emergency inayohitaji usafiri wa haraka likijitokeza, it’s easy for the wife kulitatua haraka, especially kama wewe haupo karibu!

Kumnunulia mkeo gari sio ufahali, it’s almost a necessity!
Shukrani sana Mkuu...

Maoni mazuri + sahihi kabisa...

Kumbe ni vzr kununua gari kama gari ila kama wife anafanya mishe zake afanye lakini sio kumnunulia.. ...

Hiyo nimeielewa.Karibu
 
Kuna Boss wangu mmoja alinunua gari akamwachia mkewe yeye akitaka kwenda mahali anapelekwa na mkewe,hata kuendesha hajui wala hana mpango wa kujifunza,anasema hapendi kuendesha,na akipakiwa anakaa siti ya katikati sio mbele.

Mkuu Duniani humu ukipanda daraja kidogo tuu ukiwazidi wengine tayari unatengeneza chuki + mitafutano inaanza.

Yaani ajabu ni kuwa watu wanataka tuishi kama watakavyo au wote tuwe sawa.

Sasa huyo Boss kaona aepuke shari mapemaa....mpaka kaamua kabisa kukaa siti za kati si mchezo.
 
Back
Top Bottom