70/100
Changu chetu,chako chakomnoo..but the viceversa its not...
Nunua ngazi kabisa. Ili kumrahisishia kazi ya kukupanda kichwani kwa urahisi
Me wa Dar wanashangaza sana.Hiyo ni sawa na kuuza ramani ya vita kwa adui.
Depal kwan hamjuagi 😁70/100
Na akiona mahitaji yake unaya pangua kama unashuka mlima anaongeza mdg mdg mpka aone unaanza kutoa ulimi njeSuala la kujua kipato changu NO anachopaswa yeye ni kuniambia mahitaji yake .