Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Mm naegamia aisee..coz nna shida ya mgongo...ukiona mwanamke haegemei madhan hajamaster ...Ukaaji wa kuegamia siti vizuri na ukaaji wa kutokuegamia siti (wanawake wengi wako hapa)
Mm naegamia aisee..coz nna shida ya mgongo...ukiona mwanamke haegemei madhan hajamaster ...Ukaaji wa kuegamia siti vizuri na ukaaji wa kutokuegamia siti (wanawake wengi wako hapa)
Ndiyo hali halisi, anakuwa hajamaster...uoga mwingiMm naegamia aisee..coz nna shida ya mgongo...ukiona mwanamke haegemei madhan hajamaster ...
HanaHujakosea..upo sahihi Mkuu
Na hapo kumbuka mwanaume unakuwa huna gari.
Kwenye lami sawa...ila kwa rough roads unaua gari dada...na hata mtu akipanda kwa spidi hiyo anaweza vurugwa tumboYa kawaida tu...tunatumia mwendokasi road wenzako huku...barabara imenyooka ..
Mkuu hapo kwenye "kuvurugwa tumbo" umenifanya nicheke sanaa aisee.Kwenye lami sawa...ila kwa rough roads unaua gari dada...na hata mtu akipanda kwa spidi hiyo anaweza vurugwa tumbo
Ktk karne hii kuja na mada kama izi nahisi ni kuwa out datedWakuu Habari,Niwasalimu.
Sijajua kama nimeeleweka
Ipo hivi,Je? Kuna umuhimu mke/mama watoto kumuendesha mumewe/Baba watoto kwenye gari?
Nikimaanisha mwanaume hana gari lakini amenunua gari kwa ajili ya mkewe + familia na mwanamke ndiye anayeshika usukani.
Mfano kama ni kuwasalimu marafiki/kwenda event/hata church...mwanamke awe anauchukua usukani.
Ifahamike kuwa kuna baadhi ya wanaume hawapendi usumbufu + shughuli nyingi.
Sasa ni zipi faida na hasara za kumwachia mke usukani...?
NAWASILISHA
Sehem ambazo zimepita sgr kumetengenezwa barabara nzuri sana ...haina mabonde mkuu imenyooka safi...sisi tulikoswa koswa na bomoa bomoa ya mwendokasi..tuna barabara nzuri sana siwez kwenda taratib hata kdg...Kwenye lami sawa...ila kwa rough roads unaua gari dada...na hata mtu akipanda kwa spidi hiyo anaweza vurugwa tumbo
Lakini uendeshaji wake hauwezi kufanana na mwanaume....Kila kitu ni maamuzi tu mkuu, usicomplicate mambo, sio gari tu wee huoni hadi nchi ukimuachia anaiendesha?
🤣🤣🤣Naendesha zaidi kwakweli....!naona raha zaidi...mwenzangu anaenda spidi ndogo had unaboreka..niko speed na makini zaidi
🤣🤣🤣Kinacho niogopesha kwa wanawake wakati wa kuendesha gari ni kutokuegemea seat.
100kph ni spidi kali sana kwenye rough road hata iwe nzuri kiasi ganiMkuu hapo kwenye "kuvurugwa tumbo" umenifanya nicheke sanaa aisee.
Ila rough road nyingine zipo vizuri utadhani ni mkeka
Ok..safiHana
Kazini anaenda by ngoko na keshazoea mzee wa watu.
tupe ambazo sio outdated basi..kwa sabbu wewe inaonesha much know sanaKtk karne hii kuja na mada kama izi nahisi ni kuwa out dated
Vyombo vya moto mkuu..Hivi mnamaanisha kuendesha haya magari ya kawaida ya vyombo vya moto
Au magari haya chapa blankent manake nimesoma Mara mikao, Mara barabara ya vumbi
Una uzoevu wa uendeshaji,mwenyewe nimeshituka kwa speed ya 100 rough road.100kph ni spidi kali sana kwenye rough road hata iwe nzuri kiasi gani
Tatizo kubwa kwenye barabara hizo ni grip, gari haikamati vizuri barabara kama inavyofanya kwenye lami , unaweza kupata dharula ya breki , unakanyaga gari inazunguka na kuanguka hapo hapo. Hutaamini macho yako kuwa umekoga vumbi. Just miliseconds