Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Mkuu..ShukraniKwa local routes, poa tu. Kwa highway, sishauri.
Kwanini haushauri highway?Kwa local routes, poa tu. Kwa highway, sishauri.
Naendesha zaidi kwakweli....!naona raha zaidi...mwenzangu anaenda spidi ndogo had unaboreka..niko speed na makini zaidi
Kuna mwanamama mmoja nilimsikia akimlalamikia mwenzie eti kuna mtu amesema eti yeye gari anaendesha yna hakuna siku mumewe ameendesha wala kuonekana ndani ya hilo gari.
Na mimi nikavuta kumbukumbu kama nimewahi kumwona yule baba ndani ya gari lakini kama nimemwona ni mara chache sana.
Sijui ndio nimetoka nje ya mada
safi sana...nina imani na wanawakeNaendesha zaidi kwakweli....!naona raha zaidi...mwenzangu anaenda spidi ndogo had unaboreka..niko speed na makini zaidi
Hakika Mkuu...hata kama mwanaume ana stress inasaidia zaidi.Wanawake Ni madereva wazuri maana wapo makin zaidi kuliko wanaume.
Mwenzangu anaendaga na 20...mie 100 barabara ya vumbi..bas anamind balaa...sizidi 100...speed ya mwisho kufikisha ilikuwa ni ngapi??
Mwenzangu anaendaga na 20...mie 100 barabara ya vumbi..bas anamind balaa...sizidi 100...
Nakaa vizuri tu mkuu..kwan kuna ukaaji upiBasi uko vizuri, ila vipi kuhusu ukaaji wako??
100kph on rough terrain roads? Hiyo ni gari gani unaendesha?Mwenzangu anaendaga na 20...mie 100 barabara ya vumbi..bas anamind balaa...sizidi 100...
Ya kawaida tu...tunatumia mwendokasi road wenzako huku...barabara imenyooka ..100kph on rough terrain roads? Hiyo ni gari gani unaendesha?
Ukaaji wa kuegamia siti vizuri na ukaaji wa kutokuegamia siti (wanawake wengi wako hapa)Nakaa vizuri tu mkuu..kwan kuna ukaaji upi