luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,325
- 6,871
Usichukie ukiambiwa ukwelitupe ambazo sio outdated basi..kwa sabbu wewe inaonesha much know sana
Kule UAE mwana mfalme MBS alipo pewa tu utawala aliruhusu wanawake ku drive na MBS alisema kuzuiaa mwanamke kuendesha gari ktk karne hii ni OUT DATED