EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,187
- 20,639
Naam barabara!Kifo ni funga kazi katika umbile moja ila nifungua kazi katika umbile jingne la kinishati.
Naam barabara!Kifo ni funga kazi katika umbile moja ila nifungua kazi katika umbile jingne la kinishati.
Sasa jamaa aliamini Mungu hamuoni?Kwenye hizo ahadi za kwenye vitabu vya dini ,hazifariji chochote zaidi ya kukufanya uishi kwa mashaka, na kulia pilipili gizani unawashwa lakini hausemi.
Kuna fala moja lokole liliruka fensi kidogo lipasuke kichwa kisa alifumwa anakunywa bia.
Wewe umewahi kufa ukajua kuna maisha baada ya kifo?Tahadhari tu kwamba hao wanaowahakikishieni kwa ujasiri wote kwamba hakuna maisha baada ya mauti, hawajawahi kufa kamwe.
Akili na hisia zao zipo tofauti nadhani ni hofu tu ya kuogopa wakifa itakuaje.Sasa jamaa aliamini Mungu hamuoni?
Hapo ndipo utagundua hata hao wanaojinadi ulokole ndani kabisa hawaamini huyo Mungu yupo.
Unaoza unakua mbolea mimea inapata nishati inakua hai tenaNaam barabara!
Sawa bwana Jack sparrowUnaoza unakua mbolea mimea inapata nishati inakua hai tena
Naam.Akili na hisia zao zipo tofauti nadhani ni hofu tu ya kuogopa wakifa itakuaje.
Wanachelewesha tu mkuuNaam.
Wakifa wataoza na maisha yataendelea, watageuka funza na kurutubisha ardhi kama mbolea, mimea itapata rutuba.
Ila siku hizi, hususan Wakristo, wanazika kwenye mijeneza mikubwa sana, migumu sana, mikaburi inasilibwa kwa simenti na marumaru.
Wanazuia the cycle of life.
Ukishakufa unazikwa ardhini. Baada ya hapo utabakia tu kuwa skeleton. Hakuna maisha mengine baada ya kufa. Huwa tunafarijiwa tu na viongozi wetu wa dini.Hivi wakuu tukiacha hizi nadharia na dhana zingine za kufikirika kuhusu hatima yetu baada ya kifo.
Nataka tuongee kiume sasa.
Hivi ni kweli tukifa kuna mahali tunaenda au ni siasa na kufarijiana tu ilmradi maisha yasonge?
GoodUmewahi kuzimia? Uliota?
Tuachane na hilo, unapofananisha kufa na kulala, ukilala unaoza?
NATOKA KIDOGO🏃
: Supported by Poor BrainGood
Daaaah aiseeee...: Supported by Poor Brain
Pia nataka jamaa ajibu kwa ufasaha: Supported by Poor Brain
Nilijaribu kuwaza tu mkuuDaaaah aiseeee...
Nimesoma kwa makini mpaka nikasema good jua kwelii good kweli mkuu.. umetisha sana
Hats hao wanaosema kunamaisha baada ya kifo hawajawahi kufa piaTahadhari tu kwamba hao wanaowahakikishieni kwa ujasiri wote kwamba hakuna maisha baada ya mauti, hawajawahi kufa kamwe.
KarukaPia nataka jamaa ajibu kwa ufasaha
Tahadhari tu kwamba hao wanaowahakikishieni kwa ujasiri wote kwamba hakuna maisha baada ya mauti, hawajawahi kufa kamwe.