Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 891
- 4,150
Tumeanzisha mfuko wa kuchangia bima ya afya chanzo cha mapato yake ni kubeti.
Ni kweli kwamba wanaobeti wengi wana matatizo ya akili na hivyo kuwawekea kiasi cha fedha zao kwenye matibabu ya afya zao ni jambo jema.
Ni kweli kwamba wanaobeti wengi ni jobless hivyo kupata fedha za kujitibu ni kazi sana
Ila sasa kama mfuko huu itahudumia wote hata wasiopenda kubeti na wenye imani hasi juu ya kubeti, je watakubaliana na hali hiyo?
Ni kweli kwamba wanaobeti wengi wana matatizo ya akili na hivyo kuwawekea kiasi cha fedha zao kwenye matibabu ya afya zao ni jambo jema.
Ni kweli kwamba wanaobeti wengi ni jobless hivyo kupata fedha za kujitibu ni kazi sana
Ila sasa kama mfuko huu itahudumia wote hata wasiopenda kubeti na wenye imani hasi juu ya kubeti, je watakubaliana na hali hiyo?