Unakuta kuanzia Wazazi wako, Ndugu na hata Marafiki bila sababu yoyote au Kosa lolote lile Wanakudharau, Hawakuthamini na Wanskuona ni Kero, Mzigo na hata Takataka Kwao. Na hali hii inaweza kukuta ukiwa una Ajira yako na hata Pesa au huna Ajira na Pesa vile vile.
Na kama haitoshi pia hata ukiwa unamsimamisha Mdada ili umsalimie tu au mjuane au hata Umtongoze ukiongea nae tu hachukui hata Sekunde 10 anaondoka na hakupi Umuhimu wowote sana sana anakuwa kama vile anakudharau na anakushangaa.
Na unaweza kukuta hali hii imekutokea tu miaka ya karibuni kama 10 hivi iliyopita ila miaka ya nyuma zaidi hukuwahi kutokewa nayo na ulikuwa unapata Ushirikiano mkubwa sana kutoka kwa Makundi tajwa ya Watu.
Je, hali hii husababishwa na nini hasa? Kurogwa au Kutupiwa Kitu kibaya na Maadui zako kuanzia Wazazi, Ndugu na Jamaa au huwa unakuwa na Jini ndani yako linalokutesa hivyo Maishani? Na je, Dawa yake au Suluhisho lake huwa ni nini ili uwe vizuri?
Na kama haitoshi pia hata ukiwa unamsimamisha Mdada ili umsalimie tu au mjuane au hata Umtongoze ukiongea nae tu hachukui hata Sekunde 10 anaondoka na hakupi Umuhimu wowote sana sana anakuwa kama vile anakudharau na anakushangaa.
Na unaweza kukuta hali hii imekutokea tu miaka ya karibuni kama 10 hivi iliyopita ila miaka ya nyuma zaidi hukuwahi kutokewa nayo na ulikuwa unapata Ushirikiano mkubwa sana kutoka kwa Makundi tajwa ya Watu.
Je, hali hii husababishwa na nini hasa? Kurogwa au Kutupiwa Kitu kibaya na Maadui zako kuanzia Wazazi, Ndugu na Jamaa au huwa unakuwa na Jini ndani yako linalokutesa hivyo Maishani? Na je, Dawa yake au Suluhisho lake huwa ni nini ili uwe vizuri?