Je, kirusi 'Virus' ni kiumbe hai au la?

Je, kirusi 'Virus' ni kiumbe hai au la?

Sasa huyu Corona mbabe wa super power USA na dunia nzima chanzo chake ni nini? Yaani ametokana na nini? Ameingiaje kwa binadamu?
Kama ilivyo kwa viumbe hai hadi wanasayansi hawajui wametoka wapi. Ndivyo ilivyo kwa virusi, huwa wapo naturally tu lakini kuna muda wanasambaa sana. Huenda kuna virusi wakali zaidi ya corona lakini wako dormant. Virusi wengine hutokana na mutation ya virusi wengine. Mutation (kubadilika kwa data zilizo kwenye DNA na RNA zao) inapo tokea kwa kirusi mmoja huweza kuzalisha kirusi mwingine tofauti na kirusi wa kwanza kwa kila namna.
 
Kuna vitu vingi ambavyo binadamu hatuna majibu yake mpaka leo, naamini kimoja wapo ni "virus".
Maelezo yako yameweka hilo wazi.
Kwenye hizi nyanja uko vizuri mkuu.
Wanasema kutafsiri vizuri kirusi ni kama mbegu, Punje ya mahindi ikiwa mezani haiozi lakini haina madhara yeyote. Ikiwa ardhini itaota na kuongezeka.
 
Naamini kuna virusi hatari kuliko korona wako somewhere kutokana na uwezo wao mkubwa wa kubaki dormant. One day wataanza kazi tena kama corona
Wanasema kutafsiri vizuri kirusi ni kama mbegu, Punje ya mahindi ikiwa mezani haiozi lakini haina madhara yeyote. Ilias ardhini itaota na kuingezeka.
Wanasema kutafsiri vizuri kirusi ni kama mbegu, Punje ya mahindi ikiwa mezani haiozi lakini haina madhara yeyote. Ilias ardhini itaota na kuingezeka.
 
Naamini kuna virusi hatari kuliko korona wako somewhere kutokana na uwezo wao mkubwa wa kubaki dormant. One day wataanza kazi tena kama corona
Inawezekana ni kweli !! Ila mpaka wapate mazingira mazuri.

Ila kutokana na michango ya wadau hapo juu inaonyesha hii mili yetu kupitia chembe nyeupe za damu (white blood cells) huwa inatulinda sana dhidi ya uvamizi wa virusi wa aina nyingi sana (hata wasiofahamika) na tunabaki salama bila kuumwa na muda mwingine bila hata kuonyesha dalili ya kuumwa.

Muhimu ni kujali afya zetu kwa kula matunda, mboga za majani ili kuimarisha kinga ya miili yetu.
 
Kwa maelezo zaidi tembelea italy
 
Virus na magonjwa yanayosababishwa na virus hayana dawa, sababu imeshatolewa huko juu, wana-undergo mutation, au kwa Lugha nyepesi wanabadilika.

Kwahiyo; unaweza kutumia gharama kubwa kugundua dawa fulani ila baada ya muda ikawa haina kazi baada ya kirusi kubadili structure yake following mutation.

Kwahiyo, kama mtu ni mgonjwa; atapewa dawa za kutibu tu complications. Kama kirusi fulani atakuwa anasababisha homa, huyo mtu atafanyiwa management ya homa; kama kirusi anasababisha muwasho, mgonjwa atafanyiwa management ya muwasho; kama anasababisha shida ya kupumua, mgonjwa atafanyiwa management ya upumuaji, n.k.

Kwa magonjwa kama HIV, zile dawa huwa zinafubaza wale virusi na kuwazuia wasiongezeke. Halafu seli za mwili zinazohusika na ulinzi zinakuja kuwaua (clear out). Shida wale virusi huwa wanajificha kwenye organs nyingine ambazo hizo dawa haziwezi kwenda maana zinaweza kuua.

Virusi hupambana na chembechembe nyeupe za damu (white blood cells). Kwahiyo virusi huuliwa na at the same time white blood cells hufa. Shida hawa virusi ni wajanja huingia kwa haohao white blood cells a kujizalisha kwa wingi halafu wanaua hizo host white blood cells.

Nimejitahidi kufupisha. 😉
🙏🙏🙏
 
Naamini kuna virusi hatari kuliko korona wako somewhere kutokana na uwezo wao mkubwa wa kubaki dormant. One day wataanza kazi tena kama corona
Naomba niulize inakuaje virusi vinavyoleta shida kwa binadamu inakuwa tofauti kwa wanyama kama mmbwa, paka n.k, kwamaana kwann wanyama hawadhuriki na virusi hivyo japo wanaweza kuwa navyo?
 
Nimeona wagonjwa wakiwa wanasubiri ventilator ICU, yuko kwenye 15 litres za oxygen bado sats ni 82. Huu ugonjwa ni hatari sana.

Uliowaona wewe walikua wanaugua magonjwa mengine,sio hiyo corona uliyoambiwa...hahaaa nacheka kwa dharau na kejeli...hizi SINEMA sijui zitaisha lini...eti huu ugonjwa ni hatari sana...

1.Uhatari wake unatokea wapi wakati data zenu zinaonesha wazi kwamba unaua watu 3 tu kati ya 100? dont you have a brain to think about such a very vivid and simple data?

2.Unaweza kunipa jawabu hao watu 97 waliobaki wanaponaje corona wakati tumeambiwa haina kinga wala tiba wakati tumeambiwa corona ni hatari sana?

3.Unaijua TB wewe? TB ni ugonjwa hatari zaidi duniani unaoambukizwa kwa njia ya hewa...unajua TB inaua watu wangapi kwa siku na inaambukizwa kwa watu wangapi kwa siku ukilinganisha na hii SINEMA yenu ya corona?

Recent data inaonesha kwamba TB inaua watu 4000 kwa siku,narudia watu ELFU NNE wanakufa kila siku kwa TB ambao ni ugonjwa wenye kariba moja na huo upuuzi wenu wa corona...hiyo SINEMA yenu ya corona inaua wangapi kwa siku?

TB usipotumia dawa unakufa kifo kibaya sana,hiyo corona yenu hata usipotumia dawa unaponda maisha tu....dont you have a brain to think.....au unaendeshwa na MEDIA zinamilikiwa na magharibi?....ifike wakati tutumie akili zetu za asili au common sense,tusishikiwe akili na wazungu....

4.So far hakuna daktari yeyote wa kibongo aliyewahi kufanya uchunguzi wa kimaabara kuhusiana na kile tulichoambiwa kuhusu corona virus,tunachofanya ni kushabikia na kuongeza chumvi na kumpa sifa zisizostahili corona virus kwa kutumia akili za kuambiwa tu....

Hivi kwanza watu wanajua pia kama tumeambiwa kwamba corona virus si kitu kigeni?Tunaambiwa pia kwamba corona virus wamekuwepo kwa wanyama kama kuku nk tangu mwaka 1930,nani anajua hilo?

Tunaambiwa pia kwamba case ya kwanza corona kugundulika kuwepo ndani ya mwili wa mwanadamu ni mwaka 1960....nani anajua hilo,au mnafunika kombe?...kwanini sasa hatukua washambenga miaka ya 1960 kumshabikia corona virus na kumtangaza kwamba ni hatari miaka hiyo ya 1960?.....au corona virus huyu wa sasa amebadilika/sio sawa na yule wa mwaka 1960?...

Acheni kushabikia vitu msivyovijua undani wake.....hizi ni biashara na mipango ya watu,msidandie train kwa mbele.

Kama kuna mtu ana hoja kuthibitisha kwamba Corona ni hatari sana aruke mezani.
 
Mie nauliza tu hivi kwa mfano Tanzania hadi sasa tungekiwa hatupimi corona je,ina maana tungekuwa na vifo na maradhi yasiyojulikana?
 
Back
Top Bottom