Je, kirusi 'Virus' ni kiumbe hai au la?

Je, kirusi 'Virus' ni kiumbe hai au la?

Kirusi ni simple cell creature, mara nyingi kinga za mwili zinaua kirusi bila dawa. Kirusi cha HIV kinajiingiza latika kinga za mwili ndiyo maanda ni vigumu kuvidhibiti.
Mhh mama... haya yote yametoka wapi? Swali je ni non au living thing....

Form one tulifunzwa ni non na ni living thing kutegemea na condition fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mhh mama... haya yote yametoka wapi? Swali je ni non au living thing....

Form one tulifunzwa ni non na ni living thing kutegemea na condition fulani.

Sent using Jamii Forums mobile app
In an episode of the classic 1950s television comedy The Honeymooners, Brooklyn bus driver Ralph Kramden loudly explains to his wife, Alice, “You know that I know how easy you get the virus.” Half a century ago even regular folks like the Kramdens had some knowledge of viruses—as microscopic bringers of disease. Yet it is almost certain that they did not know exactly what a virus was. They were, and are, not alone.

For about 100 years, the scientifi c community has repeatedly changed its collective mind over what viruses are. First seen as poisons, then as life-forms, then biological chemicals, viruses today are thought of as being in a gray area between living and nonliving: they cannot replicate on their own but can do so in truly living cells and can also affect the behavior of their hosts profoundly. The categorization of viruses as nonliving during much of the modern era of biological science has had an unintended consequence: it has led most researchers to ignore viruses in the study of evolution. Finally, however, scientists are beginning to appreciate viruses as fundamental players in the history of life
 
Haya, tuwasikilize wataalamu wa bayoloji kutoka muhimbili!

Kumbe mna ujuzi na huyu virus kiasi hiki! Tanzania tuna "majiniazi" sana. Wow!

Kwahiyo dawa ya corona mnatengeneza lini?

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Treatment kubwa ni kuacha natural cause ifanye kazi. Sana sana watapewa IV antibiotics na Sodium chloride drips kwakua hawaezi kula. Kuangalia kama wanapata haja ndogo na kuangalia vital signs. Temperature ikizidi anapewa paracetamol.
Virusi wengi, kama wa tetekuwanga na mafua, ni self regulatory. Wanakushambulia ila baada ya siku kadhaa na wengine hadi miezi (akiwemo wa Hepatitis B - Hapa kuna msisitizo 😁) unapona hata usipotumia dawa. Lakini wengine, kama HIV (na Hepatitis B), ndio hivyo, akikukamata amekukamata.
 
Baada ya hapo unapona?
Kama unapona what happened to the viruses...
Virus wengi ni self regulatory. Hawana dawa ya kuwatibu.

Kwahiyo tunachokifanya ni kutibu au kufanya management ya complications tu. Then baada ya muda mwili unawa-clear na mtu anakuwa vizuri.

Ila kuna wengine wanazingua, ndio kama hao akina HIV ambao ukiugua mwili hauwezi kuwa-clear wote.
 
Kama sio kiumbe hai kwanini tunaambiwa tuoshe mikono kwa kutumia Hand sanitizing gel? hii sanitizer inawadhuru kivipi au inawaangamizaje nao sio viumbe hai?
Kirusi ana sifa mbili - kiumbe hai (akiwa kwenye seli hai) na kiumbe kisichohai (akiwa nje ya seli hai).

Unapoambiwa uoshe mikono au utumie sanitizers lengo ni kuwazuia hao virusi wasiingie mwilini (kwa kunawa) au kuwaua (kwa kutumia sanitizers).

Kwahiyo lengo ni kumzuia asipate access ya kuingia kwenye seli za mwili. Akishaingia hakuna namna.
 
Bado sijapata jibu kwa nini dawa zinashindwa kabisa kuua Virus badala yake unapewa dawa tu ya kuimarisha human cell za ulinzi yaani antibodies...
Virus na magonjwa yanayosababishwa na virus hayana dawa, sababu imeshatolewa huko juu, wana-undergo mutation, au kwa Lugha nyepesi wanabadilika.

Kwahiyo; unaweza kutumia gharama kubwa kugundua dawa fulani ila baada ya muda ikawa haina kazi baada ya kirusi kubadili structure yake following mutation.

Kwahiyo, kama mtu ni mgonjwa; atapewa dawa za kutibu tu complications. Kama kirusi fulani atakuwa anasababisha homa, huyo mtu atafanyiwa management ya homa; kama kirusi anasababisha muwasho, mgonjwa atafanyiwa management ya muwasho; kama anasababisha shida ya kupumua, mgonjwa atafanyiwa management ya upumuaji, n.k.

Kwa magonjwa kama HIV, zile dawa huwa zinafubaza wale virusi na kuwazuia wasiongezeke. Halafu seli za mwili zinazohusika na ulinzi zinakuja kuwaua (clear out). Shida wale virusi huwa wanajificha kwenye organs nyingine ambazo hizo dawa haziwezi kwenda maana zinaweza kuua.

Virusi hupambana na chembechembe nyeupe za damu (white blood cells). Kwahiyo virusi huuliwa na at the same time white blood cells hufa. Shida hawa virusi ni wajanja huingia kwa haohao white blood cells a kujizalisha kwa wingi halafu wanaua hizo host white blood cells.

Nimejitahidi kufupisha. 😉
 
Virusi wenye uwezo wa kufanya hivyo mara nyingi huwa ni retroviruses kama ilivyo HIV ambaye huwa na latency period ya karibia miaka mitano, katika kipindi hiki chote data zote za kirusi zinakuwa kwenye helper t cell zako na kila cell inapo gawanyika nacho pia kinafanya hivyo
Baada ya miaka mitano cell zako za ulinzi au HT zinakufa na kupungua sana

Sasa corona sidhani kama ina latency period na ndio maana baada ya siku kumi na kadhaa shughuli inaanza

You sound like Papa Mobimba.
Asante kwa elimu.
 
Ni kiumbe hai ndani ya host(vinahitaji host ili vizaliane)
Nje ya host, virusi wengi wanaishi kwa muda, halafu wanapoteza uhai(hawawezi kuzaliana wakiwa nje ya kiumbe hai)

Mfano juu ya mwili anaweza kuishi kwa dakika kadhaa, na hii ndio maana ya kunawa na sanitizer, ili kuondoa uhai wake mapema zaidi kabla hawajapata route ya kuingia ndani ya host.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sikusoma ila nimekuelewa.Akiwa nje ya mwili anapoteza sifa za non living things.Anakua ni kiumbe kamili so ni rahisi kufa.Ama?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
PutinV,

Sasa huyu Corona mbabe wa super power USA na dunia nzima chanzo chake ni nini? Yaani ametokana na nini? Ameingiaje kwa binadamu?
 
Sky Eclat,

Kuna vitu vingi ambavyo binadamu hatuna majibu yake mpaka leo, naamini kimoja wapo ni "virus".
Maelezo yako yameweka hilo wazi.

Kwenye hizi nyanja uko vizuri mkuu.
 
Back
Top Bottom