Je, kirusi 'Virus' ni kiumbe hai au la?

Je, kirusi 'Virus' ni kiumbe hai au la?

Kupitia post za wadau hapa nimeelewa kwanini wanaoathirika na kufa zaidi ni wazee sana ni simple tu kuwa kirusi kinashambulia mfumo wa hewa so kushindwa kupumua+kikohozi+kubanwa mbavu ni wazi kuwa ni ngumu kusarvive kama umri umeenda sana na hasa ukute una maradhi mengine,,
 
Viruses have got both characters of living and non living things

Sent using Jamii Forums mobile app
Na hii characteristic ya kuwa non living thing ndio inaleta shida kubwa ya ku deal na virus akiwa katika mazingira rafiki kwake(host cell) anakuwa active na akiwa katika mazingira ambayo si rafiki anakuwa dormant then akirudishwa kwenye host cell anadunda Kama kawa

Ndio maana Ni ngumu sana kumuua virus

Ila mwili una uwezo wa kutengeneza antibodies ambazo Zina fight against viruses
Viruses can't die (madaktari watanisahihisha)



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jhounne,
Nimekuelewa !! Ina maana ili mwili uweze kutengeneza hizo 'antibodies' za kupambana na virusi vipo vyakula maalum vya kula?
 
Kirusi ni kweli kina tabia za viumbe hai na visivyo hai.

Lakini kwenye upande wa tabia za viumbe hai hakikamilishi sifa zote kama excretion, growth na reproduction

Kina act kama kiumbe hai kikiwa ndani ya host cell na kinatumia protein machinery ya cell kupitia control room ya cell ambayo ni nucleus ambamo kuna DNA na kuunda copy zake nyingi nyingi kisha seli hufa na kuachia virusi wengine wengi.

Lakini kikiwa nje ya host cell kinakuwa ni kama molecule kama ilivyo molecule ya chumvi au hydrocarbon yaa protein coat yenye nucleic acid ndani yake
Ni ngumu ku deal na virus kwa sababu kudeal na virus kunahitaji udeal na means yake ya kujiunda kupitia host cell
Kumaanisha utahitajika ku deal na genetic material yake ili kumdhibiti lakini shida ni kuwa hawa virusi wana fanya mutation ili kukwepa vipingamizi.
Asante sana. Umeandika vizuri nimekupa na like moja kubwa mno!

Lakini shida yangu ni hii lugha unayotumia! Viingereza viingiiiii. Haueleweki unaandika Kiingereza au Kiswahili!

Andika Kiingereza chote, au andika Kiswahili chote kama umeamua kutumia lugha kwa malengo ya kuelewesha watu!

Hizi lugha za slay queens wenye makucha marefu ni kichefuchefu mno!

Ohhhh you know, go that, this that.. unajua you know.... damn!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa !! Ina maana ili mwili uweze kutengeneza hizo 'antibodies' za kupambana na virusi vipo vyakula maalum vya kula?
Uzalishaji wa antibodies Ni Moja ya kazi za immune system ( mfumo wa Kinga) ya mwili wa binadamu

Vyakula vinavyoweza kusaidia kuongeza kinga ya mwili Ni matunda na mbogamboga pia maziwa, mafuta ya samaki , garlic, ginger nk


Sent using Jamii Forums mobile app
 
FUSO, Dawa za kuua virusi zipo siku nyingi tu, tatizo ni kwamba ni kali mno hata zinamuua na kiumbe pia. Tiba salama ni kumuua asababishae ugonjwa na kumwacha salama mgonjwa. Kwa virusi imeshindikana kwa dawa laini kutokana na sifa zao za kuwa kama jiwe tu lisiloishi baadhi ya nyakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kirusi cha korona watafiti wanatujuza kuwa kinakaa mikononi kwa dakika chache, na kwenye nguo masaa 9 then kinakufa na ardhini masaa 12. Hii ni dhahiri kuwa kirusi ni kiumbe hai.
 
Nipo na wewe ila kwasababu ni lugha ya kisayansi ambayo kupata Kiswahili chake kuna changamoto, akitokea mwingine ataanzia alipoishia mdau.

GODZILLA,
 
Back
Top Bottom