Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 373
....Mbowe aligoma kulipa kiasi kilichotajwa, na wakati wote aliweka bayana kiasi ambacho alikuwa tayari kulipa wakati wowote kama mahakama ingeelekeza. Na alikilipa, the rest ni yada yada ya Rostam Aziz na Balille. Tusubirini Mbowe ajitokeze na kuanika nyaraka zote ndipo Rostam atakapoaibika
Kana Kansungu
Wewe ni kati ya watu wanaoheshimika humu kwa kuchambua kabla ya kusema. Hebu kasome kidogo mtiririko wa matukio kuhusu suala hili utaelewa kwa nini Mbowe aligoma kulipa kiasi kilichotajwa, na wakati wote aliweka bayana kiasi ambacho alikuwa tayari kulipa wakati wowote kama mahakama ingeelekeza. Na alikilipa, the rest ni yada yada ya Rostam Aziz na Balille. Tusubirini Mbowe ajitokeze na kuanika nyaraka zote ndipo Rostam atakapoaibika. We unadhani kwani nini NSSF kama taasisi miaka yote hiyo wameuchuna? Wanajua kinachoendelea
Asha
Dada Asha,
Huu ni mkopo ambao ulitolewa kwa mkataba na naamini Mheshimiwa na timu yake walipitia kila kipengele na kukielewa kwa undani.Interest rate ya 30% ni kubwa lakini aliikubali na kama angekuwa mjanja kwa rate hiyo angemaliza kulipa hilo deni within the 6 years agreed terms but hadi sasa ni miaka 18, unategemea hilo deni lisikue? Na kwani Mbowe ni ani hadi awe na uwezo wa ku dictate kiasi ambacho anataka kulipa?
For the sake of Chadema, wanachama wenye uchungu hapa mngetakiwa sasa hivi mumshinikize Mwenyekiti wenu atoe tamko kuhusu hili suala au aachie ngazi mapema, its going to be a shame kama CCM itaendelea kuwa madarakani in 2010 and more shame kama hili litatokea kwa kuwa tu watu wanamuone haya Mbowe( au sijui ni kumuogopa? )
Jamani alipe tu.kama hili la miaka kumi na nane halipi vipi madeni ya helikopter?
ina maana Mbowe akimkopa mtu leo hii analipa baada ya miaka kumi na nane?au alinyuti baada ya kuona shirika limebadilika jina toka AKIBA KWENDA NSSF?
.......
Binafsi sijasoma article inayozunguzia suala zima la mikopo ya Bwana Mbowe. Lakini sioni kosa kwa mtanzania yeyote kukopa kutoka kwenye vyombo vyetu vya kifedha. Isitoshe hayo ndio maendeleo yenyewe. Hususan, watanzania watakapojua umuhimu wa kutumia rasilimali walizo nazo kama rehani dhidi ya mikopo ya benki.
Hata kama Mbowe hajalipa, au, ana matatizo katika ulipaji, hilo ni suala kati yake na vyombo vya kifedha vinavyomdai.
Kuwa na Range,Jumba la kifahari n.k huo ni uamuzi wake yeye na familia yake!
Binafsi sijasoma article inayozunguzia suala zima la mikopo ya Bwana Mbowe. Lakini sioni kosa kwa mtanzania yeyote kukopa kutoka kwenye vyombo vyetu vya kifedha. Isitoshe hayo ndio maendeleo yenyewe. Hususan, watanzania watakapojua umuhimu wa kutumia rasilimali walizo nazo kama rehani dhidi ya mikopo ya benki.
Hata kama Mbowe hajalipa, au, ana matatizo katika ulipaji, hilo ni suala kati yake na vyombo vya kifedha vinavyomdai.
Kuwa na Range,Jumba la kifahari n.k huo ni uamuzi wake yeye na familia yake!
halafu hii thread si ilishaanzishwa
hebu cheki hii http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10852
Mod merge hizi threads
Nitake radhi, Rostam hana uwezo wa kunilipa.
huku wamekimbia hawa mafisadi wa Chama cha wachagga (CHADEMA)
NJOONI MJIBU HAPA.
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=10807&page=23
Unda tume huru ya bunge kuchunguza hili kama bosi wako Rostam na wezi wenzake kina Mkullo wana ubavu huu. zaidi ya hapo nenda kachezee makopo maana naona vilio vyako havijaisha
unafikiri kila mtu ananunuliwa kama wewe? MBOWE KATUPA DOLA ELFU MBILI ZA KUFUNGUA KLH WEBSITE UNAMUONA KAMA MUNGU?
MWANAKIJIJI UNAJIABISHA SANA UKO NCHI ZA WATU UNAWEZA KUJIKUTA UKO TIMU YA ELTON JOHN KWA KUOMBAOMBA.
You will know their true colours soon as they open their mouths.
unafikiri kila mtu ananunuliwa kama wewe? MBOWE KATUPA DOLA ELFU MBILI ZA KUFUNGUA KLH WEBSITE UNAMUONA KAMA MUNGU?
MWANAKIJIJI UNAJIABISHA SANA UKO NCHI ZA WATU UNAWEZA KUJIKUTA UKO TIMU YA ELTON JOHN KWA KUOMBAOMBA.
unafikiri kila mtu ananunuliwa kama wewe? MBOWE KATUPA DOLA ELFU MBILI ZA KUFUNGUA KLH WEBSITE UNAMUONA KAMA MUNGU?
MWANAKIJIJI UNAJIABISHA SANA UKO NCHI ZA WATU UNAWEZA KUJIKUTA UKO TIMU YA ELTON JOHN KWA KUOMBAOMBA.