Asha Abdala
JF-Expert Member
- Mar 21, 2007
- 1,130
- 44
Du kaazi yaani kweli kweli!
Dawa ya deni ni kulipa tu!
hata bosi wako Rostam Azizi naye anajiita mtanzania
Huwezi kulipa deni ambalo kiasi unachodaiwa kimekosewa. Lazima kusubiri mahakama iamue kwanza kwa haki. Lakini alikopa milioni 15 na ameshalipa zaidi ya milioni 50. Sasa angalia sheria, kesi ikienda mahakamani riba ni asilimia ngapi? Halafu utajaza kwamba hata kama akishindwa kesi anawajibika kulipa bei gani. Na ni fedha ambazo kwa mtu kama yeye sidhani kama anashindwa kuzilipa. Ila kiongozi wa upinzani anayesimamia haki hawezi kukubali haki yake mwenyewe ikaporwa.
Asha
Huwezi kulipa deni ambalo kiasi unachodaiwa kimekosewa. Lazima kusubiri mahakama iamue kwanza kwa haki. Lakini alikopa milioni 15 na ameshalipa zaidi ya milioni 50. Sasa angalia sheria, kesi ikienda mahakamani riba ni asilimia ngapi? Halafu utajaza kwamba hata kama akishindwa kesi anawajibika kulipa bei gani. Na ni fedha ambazo kwa mtu kama yeye sidhani kama anashindwa kuzilipa. Ila kiongozi wa upinzani anayesimamia haki hawezi kukubali haki yake mwenyewe ikaporwa.
Asha
Huwezi kulipa deni ambalo kiasi unachodaiwa kimekosewa. Lazima kusubiri mahakama iamue kwanza kwa haki. Lakini alikopa milioni 15 na ameshalipa zaidi ya milioni 50. Sasa angalia sheria, kesi ikienda mahakamani riba ni asilimia ngapi? Halafu utajaza kwamba hata kama akishindwa kesi anawajibika kulipa bei gani. Na ni fedha ambazo kwa mtu kama yeye sidhani kama anashindwa kuzilipa. Ila kiongozi wa upinzani anayesimamia haki hawezi kukubali haki yake mwenyewe ikaporwa.
Asha
Mada Ya Mbowe Kufeli Chuo Kikuu-hull Mmeifunga Wakati Nina Ushahidi Wote Hapa. Rudisheni Niweke Vitu Vya Huyu Kilaza.
Mwanaume Mzima Kakimbia Shule Yuko Kwenye Kitchen Party.
NAONA DENI HILI NDILO LILILOMFANYA AFELI MASOMO YAKE-HULL.
ASHA UTETEZI HUU SIKUKUONA KUMPA KASUSURA ALIPOIBA DOLA MILLIONI MBILI.
MBOWE NA KASUSURA NI SAWA SAWA.WANAJULIKANA WENZITU WA KILIMANJARO KWA KUTAFUTA HATA ROHO WATU KUZITOA SI TABU.
Hivi kumbe wewe mjadala ulikua unaufuatilia tukataka ulete uthibitisho ukaenda missing,Ujasiri wako wa kuanzisha mada uko wapi.
Unakuja na majibu shalow kwenye hoja kali,wewe ni shule ipi uliyosoma inakulea unakua coward namna hiyo.Wee ndio wale wa kukimbia mitihani kwani kama umeweza kukimbia hoja zetu kwenye mjadala ulioufungua mwenyewe ni kipimo ufinyu wa mawazo.Rudi darasani tena,acha kuwadhalilisha walimu wako waliokufunza.Ni shule gani ulisoma ya kukimbia hoja? Unamkashifu Mbowe as if wewe ni jasiri sana wa kujibu hoja.Nenda kwanza kwenye ile thread uliyoanzisha nakusubiri uje na majibu ya kutosha
Hivi kumbe wewe mjadala ulikua unaufuatilia tukataka ulete uthibitisho ukaenda missing,Ujasiri wako wa kuanzisha mada uko wapi.
Unakuja na majibu shalow kwenye hoja kali,wewe ni shule ipi uliyosoma inakulea unakua coward namna hiyo.Wee ndio wale wa kukimbia mitihani kwani kama umeweza kukimbia hoja zetu kwenye mjadala ulioufungua mwenyewe ni kipimo ufinyu wa mawazo.Rudi darasani tena,acha kuwadhalilisha walimu wako waliokufunza.Ni shule gani ulisoma ya kukimbia hoja? Unamkashifu Mbowe as if wewe ni jasiri sana wa kujibu hoja.Nenda kwanza kwenye ile thread uliyoanzisha nakusubiri uje na majibu ya kutosha
.....
MBOWE NA KASUSURA NI SAWA SAWA.WANAJULIKANA WENZITU WA KILIMANJARO KWA KUTAFUTA HATA ROHO WATU KUZITOA SI TABU.
NAONA DENI HILI NDILO LILILOMFANYA AFELI MASOMO YAKE-HULL.
ASHA UTETEZI HUU SIKUKUONA KUMPA KASUSURA ALIPOIBA DOLA MILLIONI MBILI.
MBOWE NA KASUSURA NI SAWA SAWA.WANAJULIKANA WENZITU WA KILIMANJARO KWA KUTAFUTA HATA ROHO WATU KUZITOA SI TABU.
Hehee heeeeeeeeeee
Angalia habari yako ya kishabiki- NSSF imekopesha milioni 15 kwa Mbowe, vipi ifilisike kwa kiasi hicho tu kuchelewa kulipwa tena kutokana na kesi? Tena ukweli ni kuwa tayari Mbowe ameshatoa zaidi ya milioni 50.
Asha
Rudisha mada kwenye siasa nina dozi zote. unajua kuwa kuna deportation order inamsubiri Mbowe kwa kutokuwa bonafide student? ili uwe mwanafunzi unatakiwa kuhudhuria darsani kwa asilimia 86.kinyume na hapo ni dodge.
Nimewashauri wamletea Kingunge maana yeye anaweza kufanya kazi nzuri kuliko hawa.... au waende kivukoni kwanza wakasomee diploma sijui za nini vile maana so far ni pumba tupu hapa na wameumia sana walivyoona ile thread (kama hii) ikiachwa hapa JF ili kuwaumbua!
Kidali po,kidali po,kidali po,
Chinga umeingia shift eeh,naona umemreplace kada,well,hivi unashindwa kumtofautisha Jambazi na mjasiriamali? Kweli IQ ndogo inakusumbua dogo,no wonder mmekua comfused na mabosi wako mkaamua kugeuza wizi wa BOT kuwa deni lililorejeshwa.Yaani CCM na watu kama Chinga ni viumbe wa ajabu sana.Kucomfuse mwizi na mjasiriamali? Duh,that's why we will remain poor for years to come
Watu wanaoota kupata ubunge wa kuteuliwa kwenye viti maalum siku ndoto za Mbowe kuingia Ikulu zikitimia utawajua tu! Keep on dreaming! It is not that bad!
Masaki achana na chizi huyu ni Mwanakijiji kashindwa mjadala anatumia majina ya kike.
Naona Dada yangu Asha hapa vidole vilipishana na ubongo kidogo eti? Kakopa 15m kalipa 50m?
Masaki achana na chizi huyu ni Mwanakijiji kashindwa mjadala anatumia majina ya kike.
Watu wanaoota kupata ubunge wa kuteuliwa kwenye viti maalum siku ndoto za Mbowe kuingia Ikulu zikitimia utawajua tu! Keep on dreaming! It is not that bad!