vladimir fuschs
Member
- Aug 10, 2016
- 37
- 48
ya kwangu inawakilisha neno siri la account yangu ya mawasiliano
Mimi ni wakawaida sana kwa watu ambao ni standardized tuuh, hapa jukwaani my best friend naamini ni misschagga, sababu life yake ni natural.
I love those people wanajua to be themselves. I hate pretenders and much knowing kind of people.
Mimi kwako mbwembwe naficha uvunguni akili naficha kabatini kwa matumizi ya badae tunashare akili yako tuu.
Kaka yangu alisoma huko pia!Mkwawa Comlex.HILI JINA NIMELITUMIA KAMA KUMBUKUMBU YANGU KWA HIGH SCHOOL NILIYOSOMA HUKO IRINGA MIAKA YA LATE 1980's HADI EARLY 1990's SISI NA AKINA PRESDENT DR.JOHN MAGUFULI.SHULE YENYEWE REAL NAME YAKE NI MKWAWA HIGH SCHOOL(NICK NAME YAKE NI MKWAWA COMPLEX).TULIITA COMPLEX KWA KUWA,ILIKUWA NI HIGH SCHOOL,AT THE SAME TIME NI CHUO CHA UALIMU-DIPLOMA NA CERTIFICATES.MCHANGANYIKO HUO IKABIDI TUIITE HIYO EDUCATION CENTRE KUWA NI "COMPLEX" KWA UTUNDU WA VIJANA ENZI HIZO ZA SEC SCHOOL.
Kandokeze kule makutano paprika maana yake nini?? Waiting u zea.
Mbona nimesema huku!!!Kandokeze kule makutano paprika maana yake nini?? Waiting u zea.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
ya kwangu inawakilisha neno siri la account yangu ya mawasiliano
daudi???Ndio lina maana kwa kuwa jina langu halisi linaanza na herufi D.
Hapa jukwaani ni paprika tu ndiyo ananiwezea wengine holaaa.
Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app