Je, inawezekana mtu akasoma degree au diploma mbili tofauti (course) kwa wakati mmoja au tofauti?

Winga dalali

Senior Member
Jul 20, 2021
192
263
Habari, wana JF ninaomba kupata ufahamu wa kuhusu elimu ya vyuo tanzania kuanzia vyuo vya kati na vyuo vikuu.

Je, inawezekana mtu akasoma degree au diploma mbili tofauti (course) kwa wakati mmoja au tofauti. Kwa mfumo rasmi kabisa wa TCU au NACTE

Mfano. Mr Frank anasoma degree ya sheria UDSM akamaliza akaaply degree ya HR TIA?

Pia je anaweza akasoma maybe degree ya engineering DIT na diploma ya uhasibu CBE at the same time?
 
Ndio inawezekana kuna jamaa ana degree 7 I think ni mtanzania niliwahi msikiliza alisimulia alisoma degree mbili kwa wakati mmoja moja ya biashara na nyingine ya sheria I think Ila alikua analipiwa na Bank na Serikali pia na akamaliza kote na kutunukiwa vyeti, jina simkumbuki Ila inawezekana
 
Ndio inawezekana kuna jamaa ana degree 7 I think ni mtanzania niliwahi msikiliza alisimulia alisoma degree mbili kwa wakati mmoja moja ya biashara na nyingine ya sheria I think Ila alikua analipiwa na Bank na Serikali pia na akamaliza kote na kutunukiwa vyeti, jina simkumbuki Ila inawezekana
Edward Jones savimbi
 
Inawezekana, kipindi nipo chuo kuna rafiki tangu alikua anasoma diploma ya computer science na hapohapo tunasoma nae degree. Shida ilikua kwenye mitihani, asubuhi anafanya mtihani wa diploma mchana tunafanya mtihani wa degree.

Mwaka wa pili ali graduate diploma, mwaka uliofatia tuka graduate nae degree
 
Inawezekana, kipindi nipo chuo kuna rafiki tangu alikua anasoma diploma ya computer science na hapohapo tunasoma nae degree. Shida ilikua kwenye mitihani, asubuhi anafanya mtihani wa diploma mchana tunafanya mtihani wa degree.

Mwaka wa pili ali graduate diploma, mwaka uliofatia tuka graduate nae degree
Kumbe inawezekana kabisa, bila tatizo lolote
 
Back
Top Bottom