Kwa wanaosoma Diploma za Afya njooni tujadiliane hapa siri ya kwenda degree vyuo vya serikali tu

zink

JF-Expert Member
Sep 18, 2021
924
1,477
Natumai muwazima wa afya wana JF.

Asikudanganye mtu yoyote siri kubwa ya kwenda degree ya afya ukitokea diploma ni kupata G.P.A KUBWA (KUANZIA 4.5 MPAKA 5.O) Ukipata hiyo G.P.A Hakuna chuo chochote kwa hapa Tanzania utachokosa mkuu haijalishi Umeipatia wapi hiyo GPA yako kubwa maana hawaangalii ulipatia wapi hiyo GPA yako cha Muhimu iwe kubwa tu.

Pili Tupeane pole wale tunaosoma au waliosoma diploma katika vyuo vya serikali kwani wengi wetu uishia kupata GPA za ajabu ajabu mwisho wa siku kwenda kusoma degree inakua ngumu, hivyo inabidi kusoma sana ilikutoboa kwenda bachelor bila hivyo utaenda kusoma degree kozi usizozitegemea na kutarajia.

Tatu, Niwapongeze wanaosoma diploma za afya katika vyuo vya Private kwani wengi upata GPA kubwa na hivyo uapata nafasi kusoma katika vyuo vikuu vya serikali kama MUHAS, UDOM na UDSM (mbeya campus).

Nne, Nawasii wazazi kama uwezo upo ni kheri ukampeleka mwanao vyuo vya private akasome na afaulu vizuri ili apate degree yake kiulaini.

Tano Nampongeza jamaa yangu mmoja amepata admission MUHAS kwa GPA yake nzuri lakini alikua na ufaulu wa kawaida tu Olevel, hongera sana mkuu.
 
Hizo gpa za private niza michongo ili kuvutia wateja..ila vijana kichwani wanakuwa empty sana.

Gpa ya vyuo ya serikali ni real mana kule hakunaga michongo kama ipo basi ni kidogo sana.

Vijana wajiathidi wawe na contents na gpa iwe kubwa ila waweze kusonga mbele kwwnye gurudumu la kielimu.

Vyuo vikuu vya serikali ni vichache na competition ni kubwa sana hivyo gpa kubwa ndio msaada mkubwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Hizo gpa za private niza michongo ili kuvutia wateja..ila vijana kichwani wanakuwa empty sana.

Gpa ya vyuo ya serikali ni real mana kule hakunaga michongo kama ipo basi ni kidogo sana.

Vijana wajiathidi wawe na contents na gpa iwe kubwa ila waweze kusonga mbele kwwnye gurudumu la kielimu.

Vyuo vikuu vya serikali ni vichache na competition ni kubwa sana hivyo gpa kubwa ndio msaada mkubwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wivu tu
 
Hizo gpa za private niza michongo ili kuvutia wateja..ila vijana kichwani wanakuwa empty sana.

Gpa ya vyuo ya serikali ni real mana kule hakunaga michongo kama ipo basi ni kidogo sana.

Vijana wajiathidi wawe na contents na gpa iwe kubwa ila waweze kusonga mbele kwwnye gurudumu la kielimu.

Vyuo vikuu vya serikali ni vichache na competition ni kubwa sana hivyo gpa kubwa ndio msaada mkubwa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Watu wengi hawajui hili mkuu ila Mambo ndivyo yalivyo huko private watu wanapata GPA Ambazo hazina Uhalisia mwisho wa siku ndio wanaonda kusoma degree huko, Huku watu walosoma Government wengi Uishia diploma tu
 
Kwa Tanzania udaktari ni dili kwasababu vyuo vinavyotoa hiyo taaluma ni vichache na vina uwezo mdogo wa kudahili katika fani hiyo. Otherwise nchi ingeweza kuwa na madaktari wengi kama walimu tu. Nchi ya india wana train ma nurses wenye uzoefu ili kuwa madaktari, wanasema udaktari sio kitu special, kila mtu anaweza kuwa daktari akiamua na akiwa katika mazingira sahihi. Tunakokwenda Serikali ifanye mageuzi kwa kuwekeza kwenye vyuo vya tiba kwa kujenga vyuo vipya angalau hata vitano vyenye uwezo wa kudahili wanafunzi wengi ili tuwe na madaktari wengi hadi wengine wakafanya kazi nje kwenye nchi zenye upungufu. Vyuo binafsi vipo, tatizo gharama ni kubwa mno kiasi kwamba wanaoweza kusoma huko ni wenye uwezo wa kifedha tu, kama huna uwezo chagua fani nyingine chuo cha serikali kasome.
 
Kwa Tanzania udaktari ni dili kwasababu vyuo vinavyotoa hiyo taaluma ni vichache na vina uwezo mdogo wa kudahili katika fani hiyo. Otherwise nchi ingeweza kuwa na madaktari wengi kama walimu tu. Nchi ya india wana train ma nurses wenye uzoefu ili kuwa madaktari, wanasema udaktari sio kitu special, kila mtu anaweza kuwa daktari akiamua na akiwa katika mazingira sahihi. Tunakokwenda Serikali ifanye mageuzi kwa kuwekeza kwenye vyuo vya tiba kwa kujenga vyuo vipya angalau hata vitano vyenye uwezo wa kudahili wanafunzi wengi ili tuwe na madaktari wengi hadi wengine wakafanya kazi nje kwenye nchi zenye upungufu. Vyuo binafsi vipo, tatizo gharama ni kubwa mno kiasi kwamba wanaoweza kusoma huko ni wenye uwezo wa kifedha tu, kama huna uwezo chagua fani nyingine chuo cha serikali kasome.
Aisee ni kweli mkuu hapa suluhisho ni serikali kujenga vyuo vingine kama usemavyo au kuviongezea uwezo wa kudahili hivi vilivyopo maana bila hivyo mambo yataendelea kuwa magumu hivi hivi mkuu.
 
Sio wivu mkuu watu walosoma government ni wachache wanatoboa na kubahatika kuendelea na elimu ya vyuo vikuu vya government fatilia utagundua hilo.
Unaweza kuwa point lakini ni muhimu kujua private kuna ufundishiji wa nguvu Sana na ufutiliaji mkubwa.

Serikalini watumishi ni wengi tena waandamizi lakink wana tabia ya kutojali na wanaburuza tu watoto wetu.

Wakati mwingine unakuta mtoto ana uwezo ila ufaulu uko chini. That is unfair kabisa.
 
Unaweza kuwa point lakini ni lazima private kuna ufundishiji wa nguvu Sana.

Serikalini watumishi ni wengi tena waandamizi lakink wana tabia ya kutojali na wanaburuza tu watoto wetu.
Ni kweli mkuu huku serikali kwa kua hakuna ufatiliaji uwenda ikawa sababu na walimu wake wengi hawana muda na wanafunzi wao yani wao bora liende tu nahisi kuna shida sana mkuu
 
Ni kweli mkuu huku serikali kwa kua hakuna ufatiliaji uwenda ikawa sababu na walimu wake wengi hawana muda na wanafunzi wao yani wao bora liende tu nahisi kuna shida sana mkuu
Yeah iko hivyo kabisa.

Tabia ya kutojali ni kubwa sana serikalini.

You can imagine walimu hao hao wengi wao ndo wanaofundisha Private
 
Yeah iko hivyo kabisa.

Tabia ya kutojali ni kubwa sana serikalini.

You can imagine walimu hao hao wengi wao ndo wanaofundisha Private
Very true mkuu ila ndio hivyo mambo ya kiserikali ni ovyo sana na hao walimu wanalipwa pesa nzuri huko private ndio maana wanajitoa sana.
 
Kambi popote mzee, msikremu degree lazima iwe Muhas, Bugando au vyuo vingine vya Afya....

kama mambo yamebuma kwenda degree ukitokea Diploma kisa average GPA angalie njia mbadala utakayoweza kutoboa ktk degree hiyo hiyo ya ndoto yako.

Nawapa kazi moja nendeni mkaangalie
Mkeka wa matokeo ya leseni wanaofanya kada za Afya baada ya kumaliza internship, pitia vyuo walivyotoka baadhi ya wahitimu hao, ndipo utaelewa naongelea nn!

If there is a Will, There is a way...!
 
Kambi popote mzee, msikremu degree lazima iwe Muhas, Bugando au vyuo vingine vya Afya....

kama mambo yamebuma kwenda degree ukitokea Diploma kisa average GPA angalie njia mbadala utakayoweza kutoboa ktk degree hiyo hiyo ya ndoto yako.

Nawapa kazi moja nendeni mkaangalie
Mkeka wa matokeo ya leseni wanaofanya kada za Afya baada ya kumaliza internship, pitia vyuo walivyotoka baadhi ya wahitimu hao, ndipo utaelewa naongelea nn!

If there is a Will, There is a way...!
Sikatai mkuu ila serikalini sio pa kutegemea kama pesa ipo peleka private au nje ya nchi kabisa
 
Kambi popote mzee, msikremu degree lazima iwe Muhas, Bugando au vyuo vingine vya Afya....

kama mambo yamebuma kwenda degree ukitokea Diploma kisa average GPA angalie njia mbadala utakayoweza kutoboa ktk degree hiyo hiyo ya ndoto yako.

Nawapa kazi moja nendeni mkaangalie
Mkeka wa matokeo ya leseni wanaofanya kada za Afya baada ya kumaliza internship, pitia vyuo walivyotoka baadhi ya wahitimu hao, ndipo utaelewa naongelea nn!

If there is a Will, There is a way...!
Kaka huo mkeka naupataje
 
Yeah iko hivyo kabisa.

Tabia ya kutojali ni kubwa sana serikalini.

You can imagine walimu hao hao wengi wao ndo wanaofundisha Private
Kabisa mkuu vyuo vya private vinachukua waalimu wengi kutoka serikalini na wenye uzoefu pia.

Private watu hawana kinyongo wanatoa mitihani hawakukomoi,kama unasoma utafaulu kama hausomi utafeli,thats it.
 
Back
Top Bottom