KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
You have totally lost it!Undoubtedly, your parents would either teach insults or you would hear them speaking insults during your childhood.
That's the reason why you are keen on foulmouth.π now the world, I being one of them, is reproving you in this way to make you conscious. π»
You have totally lost it!
Can't you even see how incoherent your writing has become?
Hivi na nyerere alikuwa anakua kingereza. Sema tu hakuna msomi kipindi kile aliyekuwepo zaidi yake kwa hiyo hata akisema give me water tayari watu wanamshangaa na kumtamani kwamba anajua kingereza kam nzunguNatamani sana nami GENTAMYCINE nijue Kuongea Kiingereza kizuri kama cha akina Nyerere na Mkapa na siyo nije nikijue vizuri baada ya Kustaafu Majukumu yangu au niwe nakiongea kwa kutegemea Kuandikiwa kisha kila nikiwa nahutubia niwe 'nazuga' kwa Kukiongea kwa Sekunde Tano, nakunywa Maji na nakohoa ili kuwaonyesha wanaonisikiliza kuwa nakijua kisha narejea tena Kusoma huku nikiwa natetemeka na kila mara.
ANGALIZO
Kujua Kiingereza si lazima kwani Kiswahili, Kizanaki na Kinyarwanda kinatosha na wala kujua Kiingereza si kipimo cha ama Mtu kuwa Msomi (Intellectual) au Mwerevu (Brainiac) katika Jamii ila katka Uga wa Kimataifa na kwa Heshima ya Lugha ya Kiingereza tokea enzi na enzi kutokujua Kiingereza (Kiswahili cha duniani kama alivyowahi kusema Mwalimu Nyerere) wakati hata 'Mitaala' yetu ya Elimu ni ya Kiingereza kunaweza Kutafsiriwa ni Uwendawazimu na Unafiki usiovumilika.
Hivi na nyerere alikuwa anakua kingereza. Sema tu hakuna msomi kipindi kile aliyekuwepo zaidi yake kwa hiyo hata akisema give me water tayari watu wanamshangaa na kumtamani kwamba anajua kingereza kam nzungu
"Kiazi" toka mwanzo hadi mwisho!At least this time around your mind is restored as--- in your writtings-- I
now don't see any insults.
Keep it up lad, I'm a pyschology professor and healer, by not insulting this time then you are done and you are OK.
I hereby discharge you from my hospital for free charge.
Your discharge condition is; never ever repeat obscene language, God will love you.
Kwaheri
Aurevoire.
Adios
Ω Ψ§Ψ³ΩΨ§Ω .
Ni nani "anayemkuza", na kwa "jinsi" gani?Alikuwa anajua kiingereza lakini sio kwa jinsi wanavyo mkuza.
He is overrated and highly hyped in this case., hotuba zake nyingi za kiingereza kwenye international forums alikuwa anaandikiwa na Ben Mkapa.
Angalia, huyu ndiye mtu anayesema "Mwalimu Nyerere was overated, hyped; his english was "poor"!Alas, You are breaking the condition !!π€, wewe, hiyo ni hatari kwani Wazimu this time will overtake you with full force. I' m not joking you poor lad.π€£
Ni nani "anayemkuza", na kwa "jinsi" gani?
Unajiandikia tu maneno bila kupima mizani yake, ambayo wewe kiuhakika huna, kama ulivyokwishajitambulisha humu.
I certainly will keep on encouraging you to display your stupidity in public for everyone to see!I publicly, declare to readmit you in the hospital, this time We have to operate on your head to see inside whether your grey matter is real or something else like Corona is engulfing it.
Angalia, huyu ndiye mtu anayesema "Mwalimu Nyerere was overated, hyped; his english was "poor"!
Uchizi wa namna hii unakuhitaji uwe mitaani ukiokota makopo, siyo kuja hapa JF.
And that is according to you, a deranged individual as you have proved yourself to be!Was highly hyped and overrated in the case of English. β
I certainly will keep on encouraging you to display your stupidity in public for everyone to see!
Mkuu 'ikitotanzila', mtu aliyekuwa amehitimu darasa la nane enzi hizo za Nyerere, huwezi kumlinganisha na aliyehitimu Form six wakati huu kwa kujuwa lugha ya kiingereza.Hivi na nyerere alikuwa anakua kingereza. Sema tu hakuna msomi kipindi kile aliyekuwepo zaidi yake kwa hiyo hata akisema give me water tayari watu wanamshangaa na kumtamani kwamba anajua kingereza kam nzungu
Ukichaa sasa umepanda hadi utosini!No matter what, under no circumstance I will forcibly readmit to the hospital or We are planning to padlock your neuseous foulmouth.---- shut up you poor page. don't you hear meeee??!π€£
Ukichaa sasa umepanda hadi utosini!
Kwisha kazi yako, chizi wewe!
I am only refuting your lunatic claims. But I know your mind has no ability to differentiate.π€£π€£π€£π€£πππ You highly hype and overrate him like a demigod!!
Kwisha kazi yangu ya kukutibu wewe mgonjwa wa kichwa usiye na shukurani.
I am only refuting your lunatic claims. But I know your mind has no ability to differentiate.
Hiki ndio kiingereza unachoweza kumsema "Mwalimu Nyerere's english was poor", na bado ukategemea watu wakuamini kuwa unasema ukweli?Wewe nenda ule, ukakojoe na ulale ili kesho uwahi shule.
I suppose your senses resemble those of a sec, school student, thus I infere you are one of them.
Hiki ndio kiingereza unachoweza kumsema "Mwalimu Nyerere's english was poor", na bado ukategemea watu wakuamini kuwa unasema ukweli?