GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Jana Pole pole ameingia sehemu ya tatu ya mafunuo yake ya ccm kwa wananchi wa Tanganyika.. Ni wazi kabisa anainyonga ccm kikatili mno... Na hii ndio faraja ya Watanganyika...

Kisu kimekaribia kabisa mfupa .. Na katika hatua hii muhimu ametoa muda ajibiwe kwa weledi na viongozi wa kaliba yake na si "ma laymen" na watu wasiohusika na siasa.

Hizi ndio hoja zake kwa ufupi. Ambazo kama zitafanyiwa kazi vema.. Hatatoa sehemu ya mwisho ya funuo lake ambalo linaweza kuwa kata funua na pigo la mwisho kwa CCM.

1. Wahuni bado wapo( Sana mtandao waliofanikisha ushindi wa JK)

2. Taratibu za kuwapata wagombea katika ngazi zote zimekiukwa (kwa nguvu ya mtandao/wahuni)

3. Rais anahujumiwa.. Pengine hajui na kama anajua kwanini hachukui hatua. Wanaomhujumu ni wana mtandao

4. Rais amezungukwa na wahuni (Sana mtandao)

5. Rais amekuwa "mpole Sana" kuchukua hatua (kwa tafsiri nyingine amekuwa dhaifu) mbele ya wanamtandao (wahuni)

Sehemu hii ya tatu imegusa zaidi kuufahamisha uma wa Tanganyika wahuni ni akina nani.. Kwamba aliowaita wahuni siku zote ni kundi la wanamtandao wa 2010.

Hilo sio kundi la kubeza hata kidogo maana lina ukwasi wa kueleweka
Lina connection ya biashara kubwakubwa kitaifa na kimataifa.

Limeshikilia sehemu muhimu za rasilimali za Tanganyika. Ndio linahusika/limehusika kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika. Lina mitandao ya watu kila eneo nyeti na muhimu nknk

Sasa; je, ukiachana na malengo ya muda mrefu ya kundi hili la kuiteka mazima Tanganyika na kuwa mikononi mwao.. Je, mkandarasi mkuu ni nani? Wajumbe ni akina nani? Wafaidikaji ni akina nani?
Ukisoma riwaya ya Nick Carter ya SLAVE MASTER utaona wazi mbinu zilizotumiwa na makundi ya kimafia kuwaweka viongozi madarakani kwa faida zao binafsi ndio ambazo zinatumiwa na wanamtanfao/wahuni Tanganyika
Wanakuwezesha tangu chini mpaka juu unashika madaraka muhimu ama nafasi nyeti kisha wanaanza kukutumia. Ukijaribu kuwapinga wanakuletea sehemu tu ya mafaili yako tenge unaufyata.

Pole pole anawajua vema na bila backup kubwa na yenye nguvu nyuma yake asingeweza kufika jana!

Kuutaja mtandao (wahuni) na kutoa rai ya kujibiwa ni maandalizi ya kuufumua mtandao wote sasa.. Maana kuna majina ameshaanza kuyagusia.

Jana Mara baada tu ya hotuba yake kuna anayetajwa kama mkandarasi mkuu wa wana mtandao akajitokeza "kumjibu" Polepole kwa vijembe! Alishindwa kabisa kuvumilia .. Sasa ni rasmi keshaingia kwenye mfumo wa Half ray!

Key players wanaoweza kusikika sana wiki hii:

Mzee Butiku
JK
Mzee Warioba
RA

Je hoja zitajibiwa kwa weledi? Before it is too late!? Its a race against time!


View: https://youtube.com/shorts/iTyWE1OqHlI?si=QAZxzBoPopbbIqGc

Hoja za Jana za Polepole ni nzito kupita Maelezo zinampa tahadhari Samia kuachia ngazi vita asiyoiweza dhidi ya mtandao badala yake aurudishe mchakato mzima kwa WanaCCM ambapo ana uhakika kambi ya Polepole inanguvu mbele ya Wanachama, Endapo Samia atashupaza akila basi itabidi akubali kuwa yuko hatarini kutoka kwa wana mtandao na watu wengine wanaotaka mabadiliko.

Jambo baya ninaloliona kwa CCM kwa sasa inawezekana hawa akina Warioba wataungana na Akina heche na matokeo yao hii Elimu itahamia Jeshini
 
Ili kufanyike mageuzi makubwa kisiasa na kimfumo yatakayoipumzisha ccm, lalima kwanza kutokee chama mbadala wa CCM, ndipo CCM, ipumzishwe kwa amani, mahesabu yangu ni Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
Mwl. Nyerere alisema mpinzani wa kweli atatoka CCM. Polepole azibezwe eti size yake doto magari,really. CCM ilikosea sana kumfanya ponjoro kuwa mweka hazina wa chama. Salome Mbatua yuko wapi?
 
Pascal Pole pole kwa hali ilivyo si wa kubeza hata kidogo.. Mambo anayoyafunua ni elimu inayopandikiza uasi utakaodai actions na mabadiliko ndani ya ccm.. Mafunuo yake si ya kubeza hata kidogo! Hii August itakuwa ya moto sana chamani
Watanzania si unawajua lakini, ni maneno mengi, but when its time to take action.... Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
p
 
NRNE haijapoa bali shughuli za kichama zimepigwa kitanzi na mamlaka kwa kuhofia moto wake.. Wamwachie mwenyekiti na waruhusu CHADEMA kiendelee na harakati zake muone
Hapa napata picha, Lissu alivyochaguliwa tu alianza kwenda kwa mzee Warioba, kwanini mzee Warioba na waliongea nini zaidi?
 
Polepole amekua ni Kigogo anaeonekana na ndio sababu kuu ya kuacha kazi maana hawezi kusema haya akiwa kazini.

Kwa Nchi zenye weredi ilitakiwa Tume iundwe tena kwa kupitia Bunge wanateuliwa watu wanafanyia kazi hoja za jamaa maana anaweka pia Usalama wa Nchi rehani kwa maneno yake na si ya kuyabeza sema ndio hivyo hakuna mtu anaeweza kutoa mawazo mazuri kwa hao jamaa wakaeleweka vizuri.

Gwajima wasizwa wakaamua kumtoa kwenye reli wakiaminisha Umma kuwa hatakiwi kusema lolote hata huyo Msizwa mwingine ambae yupo Jela ni kwa mapendekezo ya hao hao wasizwa wenye nguvu sasa wanajaribu kuwanyamazisha wapinzani wasiseme kitu kumbe lipo kundi kubwa ndani yake hawapendezewi na jinsi mambo yanavyokwenda maana haya alitaka kuyaongea Gwajima ikaonekana atafutwe mtu mwingine ndio huyo Mzalendo akaona amwage ugali na mboga wacha sisi tuendelee kuwasikiliza wasizwa tu.

Mkuu wa Jeshi la Puerto Rico aliwahi kusema wapo wageni wengi tena wameshika zile nafasi za maamuzi hakuna kitu Wasizwa walifanya zaidi ya kujikita na Uchaguzi kwanza Nchi baadae ndio maana unaona yote haya yanatokea.
Tuhuma nzito kama hizi tunategemea majibu kutoka kwa Manara na Lucas Mwashambwa si utani huo.
Na akina chuembe waje wajibu
 
Hoja za Jana za Polepole ni nzito kupita Maelezo zinampa tahadhari Samia kuachia ngazi vita asiyoiweza dhidi ya mtandao badala yake aurudishe mchakato mzima kwa WanaCCM ambapo ana uhakika kambi ya Polepole inanguvu mbele ya Wanachama, Endapo Samia atashupaza akila basi itabidi akubali kuwa yuko hatarini kutoka kwa wana mtandao na watu wengine wanaotaka mabadiliko.

Jambo baya ninaloliona kwa CCM kwa sasa inawezekana hawa akina Warioba wataungana na Akina heche na matokeo yao hii Elimu itahamia Jeshini
Jambo baya ninaloliona kwa CCM kwa sasa inawezekana hawa akina Warioba wataungana na Akina heche na matokeo yao hii Elimu itahamia Jeshini📌🔨
 
Hapa napata picha, Lissu alivyochaguliwa tu alianza kwenda kwa mzee Warioba, kwanini mzee Warioba na waliongea nini zaidi?
Ukimsikiliza Pole pole vizuri Mzee Warioba kuna codes anazo lakini anachezesha low profile na kwa umakini mkubwa sana
 
Mwl. Nyerere alisema mpinzani wa kweli atatoka CCM. Polepole azibezwe eti size yake doto magari,really. CCM ilikosea sana kumfanya ponjoro kuwa mweka hazina wa chama. Salome Mbatua yuko wapi?
Salome "alikufa kwa ajali" akitokea Dodoma akiwa kwenye Nissan patrol..
 
Duh。。。!, ,hoja zote zitajibiwa,tuamuaanda Stivu, Mwijaku na Baba Levo wanamtosha,viongozi wetu wako bize na jambo letu lile,hawana time ya kujibishana na watu wa mitandaoni!, ila kwa hadhi yako na heshima humu,hoja ni za sana,ila picha ondoa!watu wengine tuko very sensitive,ukiangalia picha za vitu fulani,unasikia mpaka harufu!,tutashindwa kupiga Breakfast。
Nakuomba please!
P
Agreed, zinajibika, pengine si hoja na nukta za maongezi yake
 
Jana Pole pole ameingia sehemu ya tatu ya mafunuo yake ya ccm kwa wananchi wa Tanganyika.. Ni wazi kabisa anainyonga ccm kikatili mno... Na hii ndio faraja ya Watanganyika...

Kisu kimekaribia kabisa mfupa .. Na katika hatua hii muhimu ametoa muda ajibiwe kwa weledi na viongozi wa kaliba yake na si "ma laymen" na watu wasiohusika na siasa.

Hizi ndio hoja zake kwa ufupi. Ambazo kama zitafanyiwa kazi vema.. Hatatoa sehemu ya mwisho ya funuo lake ambalo linaweza kuwa kata funua na pigo la mwisho kwa CCM.

1. Wahuni bado wapo( Sana mtandao waliofanikisha ushindi wa JK)

2. Taratibu za kuwapata wagombea katika ngazi zote zimekiukwa (kwa nguvu ya mtandao/wahuni)

3. Rais anahujumiwa.. Pengine hajui na kama anajua kwanini hachukui hatua. Wanaomhujumu ni wana mtandao

4. Rais amezungukwa na wahuni (Sana mtandao)

5. Rais amekuwa "mpole Sana" kuchukua hatua (kwa tafsiri nyingine amekuwa dhaifu) mbele ya wanamtandao (wahuni)

Sehemu hii ya tatu imegusa zaidi kuufahamisha uma wa Tanganyika wahuni ni akina nani.. Kwamba aliowaita wahuni siku zote ni kundi la wanamtandao wa 2010.

Hilo sio kundi la kubeza hata kidogo maana lina ukwasi wa kueleweka
Lina connection ya biashara kubwakubwa kitaifa na kimataifa.

Limeshikilia sehemu muhimu za rasilimali za Tanganyika. Ndio linahusika/limehusika kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika. Lina mitandao ya watu kila eneo nyeti na muhimu nknk

Sasa; je, ukiachana na malengo ya muda mrefu ya kundi hili la kuiteka mazima Tanganyika na kuwa mikononi mwao.. Je, mkandarasi mkuu ni nani? Wajumbe ni akina nani? Wafaidikaji ni akina nani?
Ukisoma riwaya ya Nick Carter ya SLAVE MASTER utaona wazi mbinu zilizotumiwa na makundi ya kimafia kuwaweka viongozi madarakani kwa faida zao binafsi ndio ambazo zinatumiwa na wanamtanfao/wahuni Tanganyika
Wanakuwezesha tangu chini mpaka juu unashika madaraka muhimu ama nafasi nyeti kisha wanaanza kukutumia. Ukijaribu kuwapinga wanakuletea sehemu tu ya mafaili yako tenge unaufyata.

Pole pole anawajua vema na bila backup kubwa na yenye nguvu nyuma yake asingeweza kufika jana!

Kuutaja mtandao (wahuni) na kutoa rai ya kujibiwa ni maandalizi ya kuufumua mtandao wote sasa.. Maana kuna majina ameshaanza kuyagusia.

Jana Mara baada tu ya hotuba yake kuna anayetajwa kama mkandarasi mkuu wa wana mtandao akajitokeza "kumjibu" Polepole kwa vijembe! Alishindwa kabisa kuvumilia .. Sasa ni rasmi keshaingia kwenye mfumo wa Half ray!

Key players wanaoweza kusikika sana wiki hii:

Mzee Butiku
JK
Mzee Warioba
RA

Je hoja zitajibiwa kwa weledi? Before it is too late!? Its a race against time!


View: https://youtube.com/shorts/iTyWE1OqHlI?si=QAZxzBoPopbbIqGc

Polepole amelonga.
Hoja zake hazijibiki kwa vijembe vya MACHAWA.
Rostam Azizi hawezi kughani mashairi ya polepole hadharani
 
Jana Pole pole ameingia sehemu ya tatu ya mafunuo yake ya ccm kwa wananchi wa Tanganyika.. Ni wazi kabisa anainyonga ccm kikatili mno... Na hii ndio faraja ya Watanganyika...

Kisu kimekaribia kabisa mfupa .. Na katika hatua hii muhimu ametoa muda ajibiwe kwa weledi na viongozi wa kaliba yake na si "ma laymen" na watu wasiohusika na siasa.

Hizi ndio hoja zake kwa ufupi. Ambazo kama zitafanyiwa kazi vema.. Hatatoa sehemu ya mwisho ya funuo lake ambalo linaweza kuwa kata funua na pigo la mwisho kwa CCM.

1. Wahuni bado wapo( Sana mtandao waliofanikisha ushindi wa JK)

2. Taratibu za kuwapata wagombea katika ngazi zote zimekiukwa (kwa nguvu ya mtandao/wahuni)

3. Rais anahujumiwa.. Pengine hajui na kama anajua kwanini hachukui hatua. Wanaomhujumu ni wana mtandao

4. Rais amezungukwa na wahuni (Sana mtandao)

5. Rais amekuwa "mpole Sana" kuchukua hatua (kwa tafsiri nyingine amekuwa dhaifu) mbele ya wanamtandao (wahuni)

Sehemu hii ya tatu imegusa zaidi kuufahamisha uma wa Tanganyika wahuni ni akina nani.. Kwamba aliowaita wahuni siku zote ni kundi la wanamtandao wa 2010.

Hilo sio kundi la kubeza hata kidogo maana lina ukwasi wa kueleweka
Lina connection ya biashara kubwakubwa kitaifa na kimataifa.

Limeshikilia sehemu muhimu za rasilimali za Tanganyika. Ndio linahusika/limehusika kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika. Lina mitandao ya watu kila eneo nyeti na muhimu nknk

Sasa; je, ukiachana na malengo ya muda mrefu ya kundi hili la kuiteka mazima Tanganyika na kuwa mikononi mwao.. Je, mkandarasi mkuu ni nani? Wajumbe ni akina nani? Wafaidikaji ni akina nani?
Ukisoma riwaya ya Nick Carter ya SLAVE MASTER utaona wazi mbinu zilizotumiwa na makundi ya kimafia kuwaweka viongozi madarakani kwa faida zao binafsi ndio ambazo zinatumiwa na wanamtanfao/wahuni Tanganyika
Wanakuwezesha tangu chini mpaka juu unashika madaraka muhimu ama nafasi nyeti kisha wanaanza kukutumia. Ukijaribu kuwapinga wanakuletea sehemu tu ya mafaili yako tenge unaufyata.

Pole pole anawajua vema na bila backup kubwa na yenye nguvu nyuma yake asingeweza kufika jana!

Kuutaja mtandao (wahuni) na kutoa rai ya kujibiwa ni maandalizi ya kuufumua mtandao wote sasa.. Maana kuna majina ameshaanza kuyagusia.

Jana Mara baada tu ya hotuba yake kuna anayetajwa kama mkandarasi mkuu wa wana mtandao akajitokeza "kumjibu" Polepole kwa vijembe! Alishindwa kabisa kuvumilia .. Sasa ni rasmi keshaingia kwenye mfumo wa Half ray!

Key players wanaoweza kusikika sana wiki hii:

Mzee Butiku
JK
Mzee Warioba
RA

Je hoja zitajibiwa kwa weledi? Before it is too late!? Its a race against time!


View: https://youtube.com/shorts/iTyWE1OqHlI?si=QAZxzBoPopbbIqGc

Ngoja Tusubiri tuone !
 
Hivi kibajaji baada ya kujitoa mhanga kule Dom ndo kaamua kuufyata kabisa asije akawa mfunga paka kengele?ila nauhakika ingekuwa si muelekeo wa uchaguzi Polepole angepambana na missiles toka pande zote lkn kwa kuwa wako kwenye foleni ndefu ya kusaka tonge wame mute!
 
Hapa umetizama vibaya, kanuni nyingine ni kwamba sio lazima mbuyu ukatwe bali uoze uanguke wenyewe tu. Afanyalo ni kuufanya uoze wenyewe. Only God remains forever
I think,its a bit too little too late,hana Impact yoyote on the ground zaidi ya mitandaoni!

Huwezi kukata tawi la mti uliokalia,likikatika linakwenda na wewe,shuka chini,simama kwa pembeni,ndipo upige hilo shoka moja mbuyu chini.
P
 
waTanzania hatujawahi kujaribiwa kiwango chetu cha Ujinga miaka ya karibuni.
Huu mwaka ,ghafla, tunapewa mtihani mkubwa kiasi hiki.Aliyekuwa Muenezi wa chama Leo ,kirahisi kibisa, Ndugu Rostam anasema kuwa aliokotwa,haijui CCM,...duh ...hata waliokuwa wamelala kule kijijini watataka kujua kulikoni.
 
Mkuu usiongee kirahisi hivyo nakumbuka wewe uliwahi kukata mbuyu ukiwa chini kwa pembeni tukakuombea sana ulivyoitwa kwenye Kamati ya Bunge la wakati huo na ulipewa muda mchache sana kufika Dodoma kwa usafiri wako viatu ulivua huku ukijhojiwa tusiwe wepesi wa kusahau kwa matukio yanayotuhusu.
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom