GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Duh。。。!, ,hoja zote zitajibiwa,tuamuaanda Stivu, Mwijaku na Baba Levo wanamtosha,viongozi wetu wako bize na jambo letu lile,hawana time ya kujibishana na watu wa mitandaoni!, ila kwa hadhi yako na heshima humu,hoja ni za sana,ila picha ondoa!watu wengine tuko very sensitive,ukiangalia picha za vitu fulani,unasikia mpaka harufu!,tutashindwa kupiga Breakfast。
Nakuomba please!
P
Mada imesema wajibu watu wenye Kaliba ya pole pole , Sasa mbona unapendekeza mavitu ya Kina Mwijaku na Stivu hopeless hao na ni watu wasiokuwa na future yoyote wala purppse?

Sijajua your age but currently I am almost 37 , I can see how the future of our generation is being ruined under CCM for the interest of the few.

Under your age , you should have seen that the country needs a major reforms kwenye political Perspective and utawala wa katiba na sheria ili kulinda Maslahi ya nchi na resources na sio indivuduals , only then , you should have no mercy or try to fantasize na mfumo wa kidhalimu wa CCM unaolifanya taifa liwe la HOVYO and stagnant just tu ili uende washroom kwa sasa, what about your kids,?

in your absence, will they live standards life ? Standard education, standard healtcare , etc …. ? Niambie katika Level ya chini kabisa ya uongozi kama ukuu wa wilaya. Ni nani aliyechagua mtoto wake Aende shule za kata,? au health centers
Etc etc, ? viôngozi wanaosimamia mfumo wa elimu, watoto zao wanasoma wapi ?

Mfumo wa elimu umebakwa mbele na nyuma kiasi kwamba hata hizo St Kayumba zilizochangamka ( English Médium) zinazotumia Necta system hazifai tena. Kama huna hela za Cambridege au International Schools , it is the worst part to enroll your kids in the NECTA based system ! Tulifikaje hapa ?

We had the best system kwenye elimu Back then…. Kuanzia primary hadi Universities ! Currently, Matoto yana graduate and are not Even able to compete kwenye basics ! Yote haya ni mfumo wa hovyo chini ya CCM. Survival of the fittest

it is high Time now kuacha hulka za kichawa chawa comrade and lets live the truth , lets live our age , our mental and so forth ….specifically the current situation of our country under the system ambayo ime loose control.

Niliwahi kukwambia Paskali, NEUTRALITY yako ndio setback yako, na upo hivyo kwa sababu upo hivyo, dunia ya sasa inahitaji watu wanao take side , ni either YES/NO…

POLEPOLE ni one of the Genius and he express his trueself of the rotten system , hizi efforts mnazozichukulia poa, ndio zitakazokuja kuleta uasi wa kweli na taifa litaenda kupata REFORM yake.

Baadhi ya nchi zilipata ukombozi kupitia mitandao…. Mitandao ni advocacy and raise awareness kwenye community,


Dr MNM
Canada
 
Ili kufanyike mageuzi makubwa kisiasa na kimfumo yatakayoipumzisha ccm, lazima kwanza kutokee chama mbadala wa CCM, ndipo CCM, ipumzishwe kwa amani, mahesabu yangu ni Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Ili kufanyike mageuzi makubwa kisiasa na kimfumo yatakayoipumzisha ccm, lazima kwanza kutokee chama mbadala wa CCM, ndipo CCM, ipumzishwe kwa amani, mahesabu yangu ni Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P

Hizi ni Limitation ndani ya akili yako ambayo umeamua kujiwekea. Think big, hatuhitaji kuwa na chama mbadala wa CCM , nchi inahitaji kuwa na mfumo wa Katiba na sheria isiyowezwa kubakwa then wananchi ndio wataamua ni nani mbadala wa CCM….. is that clear ? Mbona kama unataka kuwaamulia wananchi ?


…wewe una run too fast bila ya kuangalia shida ipo wapi. Weka mifumo sawa uone wananchi wakikuletea mbadala wa CCM Just kufumba na kufumbua !

You still have mawazo ya 60s , kwamba unaamini CCM ndio ina uwezo wa kuongoza nchi, hata akija doto magari… I know you would say CCM mbelembele……., matokeo yake nchi inaongozwa na watu wasio na uwezo…. Hii ni namna mnavoelekeza mawazo yenu. It is bad , really bad
Kama mtu anaweza ku breach katiba ya nchi, katiba ya chama na hakuna anaeweza ku raise voice and you would still say anaupiga mwingi…… unawezaje ku DEMAND mbadala wa CCM kwenye hali kama hiyo, are we mad ?

At your age , you should have known kuwa tuna mmbadala everywhere ya CCM lakini hatuna Katiba inayojielekeza, hatuna mahakama, hatuna bunge na wala hatuna Intelligence thabiti ya nchi

De. MNM
 
Duh。。。!, ,hoja zote zitajibiwa,tuamuaanda Stivu, Mwijaku na Baba Levo wanamtosha,viongozi wetu wako bize na jambo letu lile,hawana time ya kujibishana na watu wa mitandaoni!, ila kwa hadhi yako na heshima humu,hoja ni za sana,ila picha ondoa!watu wengine tuko very sensitive,ukiangalia picha za vitu fulani,unasikia mpaka harufu!,tutashindwa kupiga Breakfast。
Nakuomba please!nime

Duh。。。!, ,hoja zote zitajibiwa,tuamuaanda Stivu, Mwijaku na Baba Levo wanamtosha,viongozi wetu wako bize na jambo letu lile,hawana time ya kujibishana na watu wa mitandaoni!, ila kwa hadhi yako na heshima humu,hoja ni za sana,ila picha ondoa!watu wengine tuko very sensitive,ukiangalia picha za vitu fulani,unasikia mpaka harufu!,tutashindwa kupiga Breakfast。
Nakuomba please!
P
Nimebubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kusikia eti ukiona sura ya polepole utashindwa kunywa chai nikuulize Mzee wangu kwa kauli hii hivi

UNA MARINDA KWELI?
 
Nimebubujikwa na machozi ya huzuni baada ya kusikia eti ukiona sura ya polepole utashindwa kunywa chai nikuulize Mzee wangu kwa kauli hii hivi

HUNA MARINDA KWELI?
Huyu ni Kada mwenzio and a respeful Guy
Mbona unamtusi, I expected u msapoti
 
Huyu ni Kada mwenzio and a respeful Guy
Mbona unamtusi, I expected u msapoti
Pole pole yupo kwa maslahi ya watanzania wote huyu yupo kutetea tumbo lake


Muda mwingine tusimame na ukweli nadhani we mwenyewe unanifahamu jinsi Gani nimevyokuwa nakipambania chama humu jukwaani lakini ndo hivyo nimesalitiwa na wajumbe na chama kwa ujumla
Huyu ni Kada mwenzio and a respeful Guy
Mbona unamtusi, I expected u msapoti
 
Pole pole yupo kwa maslahi ya watanzania wote huyu yupo kutetea tumbo lake


Muda mwingine tusimame na ukweli nadhani we mwenyewe unanifahamu jinsi Gani nimevyokuwa nakipambania chama humu jukwaani lakini ndo hivyo nimesalitiwa na wajumbe na chama kwa ujumla
Dah is this LUCAS or hacked ? Mmmh lucas H Mwashambwa nimesoma your name two times, isije kuwa mtu anatumia jina lako fake

Kama ni wewe basi sawa ; tumpambe Bi mkubwa ila kwenye ukweli tusimame sawa kwa pamoja. Mchakato na katiba imebakwa…. Hofu ni Bibi yetu Samia amekaribisha hilo kwa maslahi ya nàni, ?

mwingîne anaweza kuja kufanya more damage ya katiba kama hatutosimama pamoja , kama wakosoaji wanaitwa maadui. Je tunajenga taifa gani ?

Also. Nakumbuka JPM aliingia kwenye Kashfa ya kutaka kuongeza muda…… it is Polepole who went ndani ya State kuongea na JPM kisha akaja ku clarify kuwa JPM hana huo mpango na hayo ni manéno ya mtaani , bashiru alimwambia JPM wazi wazi….. wewe sio King ‘a ng’anizi na tuna imani katiba itaheshimiwa

That is why I have much respect na polepole, Lucas , watu walisimama na Katiba Bibi Samia akawa Rais , so how come the same person ana breach katiba na tunapiga makofi….. je kwa maslahi ya nani ? Polepole ni mtu makini

Angalia, MWALIM kafa anamtoto cake gani kwenye system’, Mkapa ? JPM ?


Ila hii jamii nyingine Ina low IQ Sana , mwinyi ni Rais baba yake ni Rais ….JK ni Rais Familia nzima ipo Jikoni and trust me Mungu atupe pumzi…. JK anapika Ugal wa mwanae dogo aje kuwa Rais ….. kama msipo haribu huo mfumo…..JK hajawahi kuwa vema upstairs… ni
Mdomo mdomo tu wa kizaramo that is all , but hana MAONO

Then Samia familia nzima imeingia kwenye public offices high postions . NÉPOTISME Always ni sumu kwa taifa.

Mtu kama Paskali anakosa what it takes…….paskali hawezi kusimama na ukweli , he is weak
 
Jana Pole pole ameingia sehemu ya tatu ya mafunuo yake ya ccm kwa wananchi wa Tanganyika.. Ni wazi kabisa anainyonga ccm kikatili mno... Na hii ndio faraja ya Watanganyika...

Kisu kimekaribia kabisa mfupa .. Na katika hatua hii muhimu ametoa muda ajibiwe kwa weledi na viongozi wa kaliba yake na si "ma laymen" na watu wasiohusika na siasa.

Hizi ndio hoja zake kwa ufupi. Ambazo kama zitafanyiwa kazi vema.. Hatatoa sehemu ya mwisho ya funuo lake ambalo linaweza kuwa kata funua na pigo la mwisho kwa CCM.

1. Wahuni bado wapo( Sana mtandao waliofanikisha ushindi wa JK)

2. Taratibu za kuwapata wagombea katika ngazi zote zimekiukwa (kwa nguvu ya mtandao/wahuni)

3. Rais anahujumiwa.. Pengine hajui na kama anajua kwanini hachukui hatua. Wanaomhujumu ni wana mtandao

4. Rais amezungukwa na wahuni (Sana mtandao)

5. Rais amekuwa "mpole Sana" kuchukua hatua (kwa tafsiri nyingine amekuwa dhaifu) mbele ya wanamtandao (wahuni)

Sehemu hii ya tatu imegusa zaidi kuufahamisha uma wa Tanganyika wahuni ni akina nani.. Kwamba aliowaita wahuni siku zote ni kundi la wanamtandao wa 2010.

Hilo sio kundi la kubeza hata kidogo maana lina ukwasi wa kueleweka
Lina connection ya biashara kubwakubwa kitaifa na kimataifa.

Limeshikilia sehemu muhimu za rasilimali za Tanganyika. Ndio linahusika/limehusika kuuza/kugawa rasilimali za Tanganyika. Lina mitandao ya watu kila eneo nyeti na muhimu nknk

Sasa; je, ukiachana na malengo ya muda mrefu ya kundi hili la kuiteka mazima Tanganyika na kuwa mikononi mwao.. Je, mkandarasi mkuu ni nani? Wajumbe ni akina nani? Wafaidikaji ni akina nani?
Ukisoma riwaya ya Nick Carter ya SLAVE MASTER utaona wazi mbinu zilizotumiwa na makundi ya kimafia kuwaweka viongozi madarakani kwa faida zao binafsi ndio ambazo zinatumiwa na wanamtanfao/wahuni Tanganyika
Wanakuwezesha tangu chini mpaka juu unashika madaraka muhimu ama nafasi nyeti kisha wanaanza kukutumia. Ukijaribu kuwapinga wanakuletea sehemu tu ya mafaili yako tenge unaufyata.

Pole pole anawajua vema na bila backup kubwa na yenye nguvu nyuma yake asingeweza kufika jana!

Kuutaja mtandao (wahuni) na kutoa rai ya kujibiwa ni maandalizi ya kuufumua mtandao wote sasa.. Maana kuna majina ameshaanza kuyagusia.

Jana Mara baada tu ya hotuba yake kuna anayetajwa kama mkandarasi mkuu wa wana mtandao akajitokeza "kumjibu" Polepole kwa vijembe! Alishindwa kabisa kuvumilia .. Sasa ni rasmi keshaingia kwenye mfumo wa Half ray!

Key players wanaoweza kusikika sana wiki hii:

Mzee Butiku
JK
Mzee Warioba
RA

Je hoja zitajibiwa kwa weledi? Before it is too late!? Its a race against time!


View: https://youtube.com/shorts/iTyWE1OqHlI?si=QAZxzBoPopbbIqGc

🤔
 
Back
Top Bottom