GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

GE2025 Je, hoja za Polepole zinajibika?

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
I think,its a bit too little too late,hana Impact yoyote on the ground zaidi ya mitandaoni!

Huwezi kukata tawi la mti uliokalia,likikatika linakwenda na wewe,shuka chini, kwa kwa pembeni,ndipo upige hilo shoka moja mbuyu chini.
P
Pascal Pole pole kwa hali ilivyo si wa kubeza hata kidogo.. Mambo anayoyafunua ni elimu inayopandikiza uasi utakaodai actions na mabadiliko ndani ya ccm.. Mafunuo yake si ya kubeza hata kidogo! Hii August itakuwa ya moto sana chamani
 
Slowslow, kusema kuwa "state imekamatwa" ni kosa kuliko la jamaa Mhe. Tobo la kusema atakinukisha kweli kweli.
Kwa maneno mengine ni kuwa Slowslow na, Gwajiboy wanapaswa kuwa chumba kimoja na Mhe. Tobo huko Ukonga au Segerea kama kweli mnaamini kuwa wanaisema mamlaka bila hiana.

Nawaona Mr. Slowslow na Gwajiboy ni project ya mamlaka ili kuwahadaa ninyi wadanganyika ili Oktoba iende kama ilivyopangwa.

Ukiangalia hata upepo wa NRNE umepoa sana mitandaoni na site kadli tunavyoelekea Okotba lakini kinachosikika sana ni press conferences za Mr. Slowslow.
Na kipindi cha kampeni kikifika kila wiki hizo press conferences za Gwajiboy, Mazishi wa Bunda, Slowslow na wengine wengi zitakuja ili kuendelea kuwapoteza wadanganyika.

Mkijakuzinduka mtamkuta Mr. Slowslow anakunywa juice akiwa na dada poa akijipaka KYJelly huku Gwajiboy akirekodi kitu cha Dume na mkono wa baunsa halafu Mr. Mazishi , akila viazi na samaki mkubwa wa kuchemshwa naye akijirekodi video ili apate content ya kupositi mitandaoni.

Hao wote ni majasusi wapo kazini kuhalalisha uchaguzi hivyo msiwe wajinga.
NRNE haijapoa bali shughuli za kichama zimepigwa kitanzi na mamlaka kwa kuhofia moto wake.. Wamwachie mwenyekiti na waruhusu CHADEMA kiendelee na harakati zake muone
 
....kwa kwa pembeni...
Kwamba arudishe electronic card ya Chama ? Sasa atafanye majaribio ya kuona katiba, kanuni na desturi za Chama zinafanya kazi sawa sawa ama ni maandishi tu?

Kiukweli Hiki kinachoendelea kimevuruga modeli zangu nyingi za uchambuzi wa masuala ya siasa nchini. Ndiyo maana siku hizi natumia sana emoji ya kushangaza!
 
Yule ponjolo anasema slow slow hana mizizi ya chama, wala hakijui chama. Alipata tuu u e
nezai ghafla bini vuuu aisee kweli mgambo wanaruka na kukanyagana.
 
Slowslow, kusema kuwa "state imekamatwa" ni kosa kuliko la jamaa Mhe. Tobo la kusema atakinukisha kweli kweli.
Kwa maneno mengine ni kuwa Slowslow na, Gwajiboy wanapaswa kuwa chumba kimoja na Mhe. Tobo huko Ukonga au Segerea kama kweli mnaamini kuwa wanaisema mamlaka bila hiana.

Nawaona Mr. Slowslow na Gwajiboy ni project ya mamlaka ili kuwahadaa ninyi wadanganyika ili Oktoba iende kama ilivyopangwa.

Ukiangalia hata upepo wa NRNE umepoa sana mitandaoni na site kadli tunavyoelekea Okotba lakini kinachosikika sana ni press conferences za Mr. Slowslow.
Na kipindi cha kampeni kikifika kila wiki hizo press conferences za Gwajiboy, Mazishi wa Bunda, Slowslow na wengine wengi zitakuja ili kuendelea kuwapoteza wadanganyika.

Mkijakuzinduka mtamkuta Mr. Slowslow anakunywa juice akiwa na dada poa akijipaka KYJelly huku Gwajiboy akirekodi kitu cha Dume na mkono wa baunsa halafu Mr. Mazishi , akila viazi na samaki mkubwa wa kuchemshwa naye akijirekodi video ili apate content ya kupositi mitandaoni.

Hao wote ni majasusi wapo kazini kuhalalisha uchaguzi hivyo msiwe wajinga.

Hata Polepole asiposema CCM itashinda tu na imesha shinda uchaguzi no reform sijui nini hizo ni nyimbo tu.
Polepole anazungumzia nchi kushikwa na wahuni sio uchaguzi mkuu, hajapinga namna uchaguzi mkuu unavyofanyika.shida yake ni Chama na uchaguzi ndani ya CCM
 
Duh。。。!, ,hoja zote zitajibiwa,tuamuaanda Stivu, Mwijaku na Baba Levo wanamtosha,viongozi wetu wako bize na jambo letu lile,hawana time ya kujibishana na watu wa mitandaoni!, ila kwa hadhi yako na heshima humu,hoja ni za sana,ila picha ondoa!watu wengine tuko very sensitive,ukiangalia picha za vitu fulani,unasikia mpaka harufu!,tutashindwa kupiga Breakfast。
Nakuomba please!
P
Nyakati kama hizi wangemuachia japo kidogo lisimba la Kizimkazi.
Tanganyika inahitaji UHURU wa pili!
 
Hizi mila na desturi anazoeleza Kiroboto ni kwanini hazikutungiwa sheria na kuwa katika maandishi. Jamii zetu za ki Afrika zilipoteza mila na desturi nzuri za zamani kwakua utaratibu wa kukabidhiana mila hizi uliharibiwa na biashara ya watumwa .karne hii bado tunategemea kukabidhi kizazi kinachofuata desturi za sumulizi.
Jana, Polepole amesema hayo mambo ya maadili, Mila na desturi yaliwekwa kwenye katiba ya warioba na ndio maana viongozi hawayataki na wakaichakachua katiba ya warioba - ikawa haina maana tena. Katiba hiyo ilitaka kuwaadabisha viongozi Kama wananchi walivyotaka, but viongozi wakaipindua na kuichakachua na kuondoa hayo mambo ya kuadabishwa.

Kumbe ni viongozi ndio walikwamisha mchakato Halafu wanawasingizia ukawa… taabu tupu…
Sasa mchakato ukianza upya, inabidi katiba ya warioba irudi…Viongozi wanawachezea sana wananchi- imetosha.
 
NRNE haijapoa bali shughuli za kichama zimepigwa kitanzi na mamlaka kwa kuhofia moto wake.. Wamwachie mwenyekiti na waruhusu CHADEMA kiendelee na harakati zake muone
Kwa jinsi Polepole anavyo uwasha, itapelekea wamnganganie Lissu hadi uchaguzi upite. Jana, Musiba naye kalalamika kwamba wajumbe walimfyekelea mbali Kwa sababu tu ya ukaribu wake na Polepole… sijui Kama ni kweli, sasa hao wawili ni moto wa ndani ya ccm, lazima wataudhibiti kabla ya kusambaa huko nje.
Lissu akiachiwa kabla ya uchaguzi, nchi italipuka…
 
Trust me hawawezi kujibu kama anavyotaka kwakuwa
1. Itakuwa kuthibitisha tuhuma za muda mrefu
2. Kumpa ushindi utakaompa mileage kubwa.. Then what next? End of era ya wanamtandao... Impact yake ninini? Mapinduzi ama mageuzi makubwa kisiasa na kimfumo yatakayoipumzisha ccm na mwanzo mpya wa mapambano wa kuirudishia Tanganyika kilichoporwa na wahuni
Hakuna cha kujibizana becquse majibu yote yapo public

Tuliwaambia hii ni filmee-manyati, na huyo ni decoy tu

Sasa mnaona wenyewe, sensitive matters z imeshakuja diverted

Na mtamchoka jamaa kwenye episode 4 and by then it will be too late kwenu
 
Back
Top Bottom