Slowslow, kusema kuwa "state imekamatwa" ni kosa kuliko la jamaa Mhe. Tobo la kusema atakinukisha kweli kweli.
Kwa maneno mengine ni kuwa Slowslow na, Gwajiboy wanapaswa kuwa chumba kimoja na Mhe. Tobo huko Ukonga au Segerea kama kweli mnaamini kuwa wanaisema mamlaka bila hiana.
Nawaona Mr. Slowslow na Gwajiboy ni project ya mamlaka ili kuwahadaa ninyi wadanganyika ili Oktoba iende kama ilivyopangwa.
Ukiangalia hata upepo wa NRNE umepoa sana mitandaoni na site kadli tunavyoelekea Okotba lakini kinachosikika sana ni press conferences za Mr. Slowslow.
Na kipindi cha kampeni kikifika kila wiki hizo press conferences za Gwajiboy, Mazishi wa Bunda, Slowslow na wengine wengi zitakuja ili kuendelea kuwapoteza wadanganyika.
Mkijakuzinduka mtamkuta Mr. Slowslow anakunywa juice akiwa na dada poa akijipaka KYJelly huku Gwajiboy akirekodi kitu cha Dume na mkono wa baunsa halafu Mr. Mazishi , akila viazi na samaki mkubwa wa kuchemshwa naye akijirekodi video ili apate content ya kupositi mitandaoni.
Hao wote ni majasusi wapo kazini kuhalalisha uchaguzi hivyo msiwe wajinga.