Ms Billionaire
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 2,470
- 4,971
Umewahi mpenda mtu humu Jamii Forums ukaona huyu kakupenda kweli na ukampenda kweli halafu mlipoachana ikakuuma roho? Mimi ndiyo.
Niliwahi kumpenda mwanaume humu na hakuniacha, ila nilishindwa masharti, ila waleo namkumbuka sana. Ila yeye ndiyo basi tena, hajali tena, kipindi cha 2019 nilipofungua Unique Flower.
Je, wewe iliwahi kukutokea hali hii?
Oooh O EQ hahahahaSifungui code zote ila ntataja mojawapo ya herufi za jina lake..
"O"
Hahahahaaaaaaaaa.....eti kinini cha mwamba?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] You see!!! Yani kisimmi cha mwamba kiwe topic??? Hapana
Wewe haijawahi kukutokea dakitare?Narudia tena humu JF kuna watu wana stress sana na hilo utaliona kwenye nyuzi zao tu...
Jf ni kama kichaka aise!Nakumbuka mwaka 2016 kuna mdau mmoja wa JF nilikuwa napenda sana uchangiaji wake kiasi cha kumfuata privately. Tukawa tunachat dhamira ikiwa ni kuja kutongozana hii yote kwa taswira tu niliomjengea kichwani mwangu kama pisikali fulani maana hatukuwa tumeshea picha. Ila kwa story zake alikuwa ni corporate lady umri wa makamo. Na michango yake yote ilikuwa anatoa kama binti.
Siku moja kulikuwa na tafrija Bank ya Diamond Trust wateja walialikwa tawi la Masaki. Kuna msela tulikuwa sehemu moja tunapiga stori kama wawakilishi wa kampuni zetu za ajira. Ikiwa tunachezea simu zetu huku tukiongea ghafla akanionyesha article JF huku akisema subiri a log in ili acomment. Si ndio kuona yule demu wangu wa inbox ndio msela kupitia log in details maana hakuficha.
Sikusema chochote ila baada ya hapo nilimblock kabisa. ID yake nikiangalia sasa hivi ilikuwa active mara ya mwisho 2018.
Nimetaja jina la eneo tulikokutana ili mwamba kama yupo humu kwa ID nyingine ajue kuwa nilimshtukia kuwa ni dume na hata mpaka leo sijui alikuwa na nia gani. Maana wasifu wake wa kazi aliotumia nikiwa na chat nae unashabihiana na ule wa uhalisia katika udume wake na hili nilijua tulipokuwa tunapiga story bank.
Toka siku hiyo nachukulia ma member wote humu kuwa ni madume kama mimi tu.
Jamani poleNiliwah kumpenda mkaka wa kule selfika lkn mambo yalikua sio mambo kila mtu akapita hivi.
Hahaa, inaweza tokea watu mkafahamiana kuanzia pm mpaka maisha ya nje ya JF. Mapenzi yakazaliwa mkiwa tayari mnafahamiana ila mlianzia humu.Muda wa kupenda watu nisiowajua sin mimi
Wewe haijawahi kukutokea dakitare?
Kwamba hamkupeana utamu jamani [emoji848]Hongera walau ulipiga hatua moja mbele.
Mie mdau wangu niliyemuongelea akili yake ina uwezo mkubwa wa kupambanua mambo haraka mno, imebidi niandike kwa tahadhari kubwa na nitumie ID mbadala. Hapa nikithubutu kutaja tukio moja tu, lazima agundue namuongelea yeye. Sijui ingekuwaje kama tungepata fursa ku-consume lile penzi!
J jamani, so romantic, so briliant. Mwanadamu anayejitambua nafsi yake. Hatimaye imebaki stori.
[emoji23][emoji23][emoji23]kwa comment yako hii umenifanya nighairi mpangoWe kula tu mbususu humu, siku ikitokea ile thread ya mtu kutapeliwa humu hadi pumbbu zako zinawekwa mezani tuzidiscuss [emoji16], mtu anaejilipua kutombanna humu ni wa kumpa heshima
Ilikuaje mrembo?Eroni, wapo mbona wengi tu humu. Mimi mwenyewe nilijichanganya sitokaa nikarudia yasije yakanikuta na mimi. Kiufupi humu kuna watu bado hawajielewi.
DaahNi kitambo kidogo, kuna jamaa mmoja alichafua hali ya hewa mbaya zaidi akaanika hadi picha chafu.
Mhusika alitoweka jf hatujawahi muona tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera aise[emoji28]Mimj sina stress Vale...