Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,264
- 105,429
Biblia ni kitabu chenye makosa, kujipinga chenyewe na mengi sana kama hayo na hivyo hakiwezi kuchukuliwa kama kitabu cha authority.
Stories nyingi zimeungwa ungwa tu,hakuna ushahidi kwamba hata haowatu walikuwepokweli au nihadithi tu.
Na habari nzima ya Adamu kuwa mtu wa kwanza aliyeumbwa na Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote haiyumkiniki kimantiki.
Soma Cheikh Anta Dip, soma Imhotep.
Soma The Epic of Gilgamesh.
Utaona Biblia ilikopata habari zake na kuzirudia tu.
Stories nyingi zimeungwa ungwa tu,hakuna ushahidi kwamba hata haowatu walikuwepokweli au nihadithi tu.
Na habari nzima ya Adamu kuwa mtu wa kwanza aliyeumbwa na Mungu mwenye uwezo wote,ujuzi wote na upendo wote haiyumkiniki kimantiki.
Soma Cheikh Anta Dip, soma Imhotep.
Soma The Epic of Gilgamesh.
Utaona Biblia ilikopata habari zake na kuzirudia tu.