Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,339
- 1,493
Habari Tanzania !..
Habari yako EWURA, TRA, TPDC, mko poa !?..
Naomba kuwauliza na nyie wadau; eti naweza kupata kibali cha kuwa muuzaji wa Gesi kwa kutumia mfumo wa usambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya mabomba kuelekea majumbani (Piped Gas System).
Natamani kuwa muwekezaji kijana hapa Bongo maana hii njia wananchi mtaweza kununua Gesi kwa Tsh.5,000/= kwa mwezi. Au nyinyi mnasemaje wananchi !?.
Faida za Mfumo wa Mabomba Mitaani
1. Gharama nafuu: Kununua gesi kwa wingi (bulk) kwenye tanki kubwa ni rahisi kuliko kununua mitungi midogo midogo. Hapa wateja mtafurahia huduma vizuri.
2. Urahisi: Huna haja ya kubeba mtungi kwenda kujaza; gesi inapatikana saa 24 kama maji ya bomba. Yaani ni mwendo wa kulipia kwa simu au Bank mambo yanakuwa mepesi.
3. Nafasi: Huokoa nafasi jikoni kwani huna haja ya kuwa na mtungi ndani ya nyumba. Sasa hii kwanini uingie magharama makubwa ya mafenicha mara machuma kisa upate gesi. Oya nipeni moto niwe mwekezaji chaap kwa haraka.
Karibu kwa maoni yako. Nitazingatia kila hatua; lazima mnunue Gesi chini ya buku tano (Tsh.5,000/=).
NB
Jamani kwasasa mitungi ya gesi imekuwa kama uchafu hivi. Na haifanyi mazingira yetu yavutie mwe.
Habari yako EWURA, TRA, TPDC, mko poa !?..
Naomba kuwauliza na nyie wadau; eti naweza kupata kibali cha kuwa muuzaji wa Gesi kwa kutumia mfumo wa usambazaji wa gesi ya kupikia (LPG - Liquefied Petroleum Gas) mitaani kwa njia ya mabomba kuelekea majumbani (Piped Gas System).
Natamani kuwa muwekezaji kijana hapa Bongo maana hii njia wananchi mtaweza kununua Gesi kwa Tsh.5,000/= kwa mwezi. Au nyinyi mnasemaje wananchi !?.
Faida za Mfumo wa Mabomba Mitaani
1. Gharama nafuu: Kununua gesi kwa wingi (bulk) kwenye tanki kubwa ni rahisi kuliko kununua mitungi midogo midogo. Hapa wateja mtafurahia huduma vizuri.
2. Urahisi: Huna haja ya kubeba mtungi kwenda kujaza; gesi inapatikana saa 24 kama maji ya bomba. Yaani ni mwendo wa kulipia kwa simu au Bank mambo yanakuwa mepesi.
3. Nafasi: Huokoa nafasi jikoni kwani huna haja ya kuwa na mtungi ndani ya nyumba. Sasa hii kwanini uingie magharama makubwa ya mafenicha mara machuma kisa upate gesi. Oya nipeni moto niwe mwekezaji chaap kwa haraka.
Karibu kwa maoni yako. Nitazingatia kila hatua; lazima mnunue Gesi chini ya buku tano (Tsh.5,000/=).
NB
Jamani kwasasa mitungi ya gesi imekuwa kama uchafu hivi. Na haifanyi mazingira yetu yavutie mwe.