Hapana sio kila kinazunguka na Flat Bense Earth haizungukia bali baadhi ya vitu ndivyo uzunguka.
-
Hali ya Hewa
Kiuhalisia JUA linalokuwa zamu linapozima (huzima kwa kififia/kupungua) kuna nyakati huzima na kutonesha dalili na mara nyingine hubakiza dalili ya kuwaka. 'Unaweza kuona nyakati mbingu hubakia na hali ya uwekundu au mwanga jua'
Hivyo endapo halitozima moja kwa moja joto lazima hutokea. Je kwanini kuna maeneo joto uwepo siku zote/mara nyingi mfano Dar? Hapa ikumbukwe linapozima huanza safari ya kurudi makao makuu na wakati huo makao makuu kuna Jua hutumwa kuja, hivyo jua hili linalokuwa linarudi makao makuu hujikuta kila wakati lipo katika eneo hilo (ukanda huo) mfano Dar na Middle East.
-
Mvua
Ikumbukwe Flat Bense Earth ina boundary iliyochongwa kama rainbow inazuia pembe na pembe huku imeninginia angani, mvuke na moshi huenda na kujikusanya hapo juu na inafika wakati hulainika na kuwa maji na kurudi ardhini.
-
Upepo
Hapa bado nafanya tafiti. Lakini uchunguzi wa awali unaonyesha kuna kitu kimepewa jukumu la kutoa/puliza upepo, na inaonyesha kinavyopata nguvu ndivyo upepo huwa wa Kasi na mkubwa na endapo huchoka basi upepo upungua.