Je, Hezbolah yuko wapi kumsaidia Boss wake Iran?

Je, Hezbolah yuko wapi kumsaidia Boss wake Iran?

View attachment 3369573
wenzeko hao na misile zao washapelekwa kuzimu long time ago, hizo zilikua tambo tuu
Hezbullah wako very strong nyie subirini kama mambo yakiendekea hivi hamjikutu kaizunguka Tela Aviv yote

Hezbullah hawezi ingia vita sababu ya politics kule Lebanon lakini si ajabu wakaingia vitani wakati Iran akiwambia waingie.
 
Israel haijaanza kupiga Iran kwa kukurupuka, ilishajipanga muda mrefu na ilihakikisha hamna kajamba yeyote huko pembeni ataipa tabu, usichokijua hata waarabu wenye dini yao wanatamani Iran ikalishwe kwa kutulia.
Waarabu licha ya wao kujua dini yao ina uzombi fulani ila huwa wanahisi Iran ilipitiliza kwenye huo uzombi.
 
Kipigo anacho pelejewa Israel moaa USA kamua kuingia kwenye vita pia UK wako njiani kuingia kwenye vita.

Iran piga hao kondoo walio potea.
Wanaficha hawa ,wasukume kete ya mwisho wajaribu habati yao ...Hao wanasubiria misaada ya USA😅
 
Israel ni hatari sana Mzee Baba, chukulia kabla hajaenda kuipiga Iran alishaitahadharisha wiki 1 kabla kuwa Iran ikae mkao wa kichapo lakini Iran haikumzuia Israel na ilitekeleza ahadi yake ya vita vile vile ilivyopanga duuuh!...?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Mbona naskia israel nae kapokea kichapo kizur tu
 
View attachment 3369642
Hamtorudi tena ,wathenge nyie sukumeni kete tena 😀😀😀hao ni shia kufa kwao ni kawaida
Kama kufa ni kawaida mnalilia nini? Op Rising Lion hiyo inaishi ktk anga la Iran, na wanachagua target as they wish, mpaka kieleweke, leo Ayatollah ameshaikimbia nchi, Israel wamemwambia yeye ni moja ya legitimate target kokote atakakoenda except awe amejiwahisha akhera willingly
 
Nan analia zaidi ya weqe unalia ,hii ni jihad unakufa shahidi....😅😅kila na imani yakw hakuna intelijensia ya kuvizia ... Mnashambulia sasa uwanja wa ndege wa kimataifa sasa ngonjea muone.
Kama kufa ni kawaida mnalilia nini? Op Rising Lion hiyo inaishi ktk anga la Iran, na wanachagua target as they wish, mpaka kieleweke, leo Ayatollah ameshaikimbia nchi, Israel wamemwambia yeye ni moja ya legitimate target kokote atakakoenda except awe amejiwahisha akhera willingly
,
 
Nan analia zaidi ya weqe unalia ,hii ni jihad unakufa shahidi....😅😅kila na imani yakw hakuna intelijensia ya kuvizia ... Mnashambulia sasa uwanja wa ndege wa kimataifa sasa ngonjea muone.

,

Supreme leader mwenyewe kanusurika na amesepa nje ya nchi
 
Nan analia zaidi ya weqe unalia ,hii ni jihad unakufa shahidi....😅😅kila na imani yakw hakuna intelijensia ya kuvizia ... Mnashambulia sasa uwanja wa ndege wa kimataifa sasa ngonjea muone.

,
Viongozi wa Iran wameanza kuihama nchi, lkn Israel watawafuta anywhere on this planet 🌏
 
Viongozi wa Iran wameanza kuihama nchi, lkn Israel watawafuta anywhere on this planet 🌏


Mnaokoa huko mnapigwa na wazee wa mirungi😅😅...kufa ni njia ya ukombozi, assume kamanda mpya yuko kazini anaexecute order ....Taifa watu wengi tu ,akipigwa Netanyhulu lazima mbadilishe mpaka biblia..



1000096196.png
 
Mnaokoa huko mnapigwa na wazee wa mirungi😅😅...kufa ni njia ya ukombozi, assume kamanda mpya yuko kazini anaexecute order ....Taifa watu wengi tu ,akipigwa Netanyhulu lazima mbadilishe mpaka biblia..



View attachment 3369665
Sasa hivi Isarel inaishi ktk anga ya Irani na Yemen simultaneously, na wananchi wa Iran wameanza kushangilia mapigo dhidi ya watawala, wanataaka revolution
View attachment 3369672
 
Mnaokoa huko mnapigwa na wazee wa mirungi😅😅...kufa ni njia ya ukombozi, assume kamanda mpya yuko kazini anaexecute order ....Taifa watu wengi tu ,akipigwa Netanyhulu lazima mbadilishe mpaka biblia..



View attachment 3369665
Sasa hivi Isarel inaishi ktk anga ya Irani na Yemen simultaneously, na wananchi wa Iran wameanza kushangilia mapigo dhidi ya watawala, wanataaka revolution
View attachment 3369672
Mnaokoa huko mnapigwa na wazee wa mirungi😅😅...kufa ni njia ya ukombozi, assume kamanda mpya yuko kazini anaexecute order ....Taifa watu wengi tu ,akipigwa Netanyhulu lazima mbadilishe mpaka biblia..



View attachment 3369665
 
View attachment 3369690


Kafa shahidi kwani kuna tatizo upande wao..Ni sehemu ya imani yao ...Jihad forever
:BanHammer:Jihad ndyo umewarudia wao sasa mabosi wa nchi wanahamia mafichoni sasa, Israel wanishi anga ya Iran na kuchagua target as they wish "OP Rising Lion🦁" hii ni Darby ya kuheshimiana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom