29Oct2025
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,978
- 8,267
View: https://youtu.be/ujitfodCTdc?si=tuHvkdY38L1a1wav
Niliwambia Hezbullah sa zozote ataishambulia Israel. Mnao sema Hezbullah imekwisha huwa mnaota.
Iran anasema kunauwezekano mkubwa pia Hezbullah akaingia vitani.
Kama walivyo ingia Jordan, USA. UK. France, Germany. Italy kumsaidia Israel.
Sasa hio oil depot ndo unashangaa, fungua bbc huko wanaelezea misiba ya wayahudi
Subiri kuna msiba mkuu wa ayatollah unakuja muda si mrefu watakimbiana humuView attachment 3370197
nimefungua haya ebu nambie kati ya israel na iran wapi kuna misiba?
Waaambie hao hawaijui IranMarekani yuko wapi kumsaidia shoga yake Israel?
Maana michuma chuma ya Iron Dome na THAAD aliyompa haimsaidii Myahudi kwa lolote
Vinu vya Mwajemi vinashuka tu kufanya maangamizi kila kona ya Israel
Hesbula kachomoa waya hataki shida tena
😆
View: https://x.com/Osint613/status/1934275123286016470?t=Bi3BFNUfPGVr4kZgghsXsw&s=19
.pia usiku ni kama mchana, wako kwa anga ya Iran 24/7Israel anapiga mchana kweupeee hasubiri Giza
View: https://youtube.com/shorts/AD47GqV9EgQ?si=Y_cKw_BwNkb4Nebd
Mkuu wa upepelezaji jwenye jeshi la Israel na wasaudizi wake wamelambishwa mchanga
Wewe ishi maana wapo wanaishi humo miaka na miaka ila unachokitafuta utakipata

Supreme leader ( mungu mtu wa Iran) ameshakimbia, ameji-exile bila shuruti, Israel wanasema we will get u anyway 😄View attachment 3370197
nimefungua haya ebu nambie kati ya israel na iran wapi kuna misiba?
Kwa hio tweeter ndio habari zako za kuziamini sio hahahahaha
View: https://youtube.com/shorts/AObGtCzSdFI?si=lAvqr2khb8V4zApA
OP RISING LION 🦁 nindugu zako wanachapika asubuhi mchana usiku
Wewe uko bize jf kutema mate
Viongozi wa Iran wameanza kuji-exile, na wanainchi wa Iran wameanza kushangilia angamizk.la utawala wa "Suprime leader" ambaye ame kimbia nchi