Je, Hezbolah yuko wapi kumsaidia Boss wake Iran?

Je, Hezbolah yuko wapi kumsaidia Boss wake Iran?

Jihadists hao kwa imani yao ,unaumia wewe mgalatia wa bonyokwa ,hao ni mashahidi ni njia yao wa ushindi ..


Yule asiyepiga mswaki na meno yake ya njano kama nguruwe anakimbia nchi ...zile kombora zikipigwa kwa pamoja nchi nzima inafutika ,jitafakari acheni sarakasi za kuvizia 😀😀
View attachment 3369571
ayatolah unajua kwa sasa anaishi wapi?
 
Wameingia cha kike awa Israel🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 4_5940786424386164775.mp4
    493.5 KB
Eliminated🥺
 

Attachments

  • Screenshot_20250615-134621.jpg
    Screenshot_20250615-134621.jpg
    140.7 KB · Views: 6
ayatolah unajua kwa sasa anaishi wapi?

Mashoga mpaka mmesogeza Tamasha lenu mbele ,hapo hamna jinsi mpaka jamaa yenu aingie😅😅😅

Mnakopa tu kama Africa ,lazima mpewe sapot na jamaa .. Iran ni kina kirefu
1000096154.jpg

1000096156.png

1000096155.jpg
 
Tumeona kwamba Syria alipovamiwa basi hezbolah hawakusita kuingia vitani kumsaidia swahiba wao Assad. vivo hivo Hamas walipoanza kupokea kichapo Hezbolah nao hawakubaki nyuma walianza kufyatua makombora kuendelea miji ya Israel wakisema kwamba hadi Israel atakapoacha kushambulia palestina na wao ndo wataacha.

Hivo kwa vyovyote vile wasingekaa kimya baada ya kuona "BOSS" wao iran akichezea kichapo kutoka IDF. Nashangaa hadi sasa sijasikia wakisema wamerusha kombora lolote kuelekea Isrel.

Nauliza Je? Hezbolah kwa sasa wako wapi? naombeni wadau mnisaidie kwa hilo

Asante
Iran hahitaji msaada wa mtu anashusha kipigo cha mbwa koko
 
sasa vikombora vingine vinaangukia jangwani mara vingine misituni ni vikombora gani
Eti eeeh, vikombora vinaangukia misituni?


View: https://x.com/iran_Military_0/status/1934088809395650832
kama wana makombora haswa kwa nini wasipige ndege za israel ambazo kwa sasa si zinazunguka anga lote la iran?
Kama unazunguka kwenye anga langu lakini hakuna cha maana unafanya kwanini nikuzuie!?
Unazunguka kwenye anga langu lakini uwezo wangu wa kukushambulia upo palepale, si bora nikuache tu unendelee kumaliza mafuta?
Au wewe unaona hili suala limekaaje Fran-puru?
 
Marekani yuko wapi kumsaidia shoga yake Israel?

Maana michuma chuma ya Iron Dome na THAAD aliyompa haimsaidii Myahudi kwa lolote

Vinu vya Mwajemi vinashuka tu kufanya maangamizi kila kona ya Israel
Unataka kuniambia mpaka sasa myahudi kapoteza makanda na top scientist wangapi?
 
Tumeona kwamba Syria alipovamiwa basi hezbolah hawakusita kuingia vitani kumsaidia swahiba wao Assad. vivo hivo Hamas walipoanza kupokea kichapo Hezbolah nao hawakubaki nyuma walianza kufyatua makombora kuendelea miji ya Israel wakisema kwamba hadi Israel atakapoacha kushambulia palestina na wao ndo wataacha.

Hivo kwa vyovyote vile wasingekaa kimya baada ya kuona "BOSS" wao iran akichezea kichapo kutoka IDF. Nashangaa hadi sasa sijasikia wakisema wamerusha kombora lolote kuelekea Isrel.

Nauliza Je? Hezbolah kwa sasa wako wapi? naombeni wadau mnisaidie kwa hilo

Asante
Mtu kakatwa mikono na miguu kabaki kiwiliwili tu atapigana vipi?
 
Nyie ingieni mpaka ndani ila mtaishi kweny mashimo kama panya, usicheze na shia mbwa nyie ...Taifa la Mungu mpaka Mungu wao anaogopa shia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom