- Thread starter
- #21
Ayatolah kwani anaishi wapi mzee? sasa yeye si ndie panya mkubwa?Nyie ingieni mpaka ndani ila mtaishi kweny mashimo kama panya, usicheze na shia mbwa nyie ...Taifa la Mungu mpaka Mungu wao anaogopa shia.
Ayatolah kwani anaishi wapi mzee? sasa yeye si ndie panya mkubwa?Nyie ingieni mpaka ndani ila mtaishi kweny mashimo kama panya, usicheze na shia mbwa nyie ...Taifa la Mungu mpaka Mungu wao anaogopa shia.
hakuna airdefence ambayo iko perfect 100% kama tuu drone zinapenya kwenye airdefense za urusi ambazo ndizo bora duniani je iron dome ni nini hadi misile zisiweze kupenya?
Sisi furaha yetu vinu vya Mwajemi vikipenya Israel, a terrorist state. Cheki vyuma hivyo
View: https://x.com/iamtrending05/status/1934063456808034410?t=1YU2P2NxaMQhhGVNJnxATg&s=19
Ayatolah kwani anaishi wapi mzee? sasa yeye si ndie panya mkubwa?
shia mwenyewe ameishia tuu kurusha makombora kama hamas, mwenzake yupo ndani ya ardhi yake anashusha kichapo na ameshindwa kumdhibiti sasa jeuri yake iko wapi mtu anaingia kwako anakupiga na huwezi kumfanya chochote zaidi ya kurusha vikombora uchwara?Nyie ingieni mpaka ndani ila mtaishi kweny mashimo kama panya, usicheze na shia mbwa nyie ...Taifa la Mungu mpaka Mungu wao anaogopa shia.
Dogo hujielewi fuatilia huko watu wanalia 😅😅😅Ni kifiro tu kwenda mbele ,na jamaa anasubiri msukume kete ya mwisho amalize mchezo ...shia mwenyewe ameishia tuu kurusha makombora kama hamas, mwenzake yupo ndani ya ardhi yake anashusha kichapo na ameshindwa kumdhibiti sasa jeuri yake iko wapi mtu anaingia kwako anakupiga na huwezi kumfanya chochote zaidi ya kurusha vikombora uchwara?
Ooooh, sasa wanafanya nini kwenye anga la Iran kama bado Iran anaendelea kuwatembezea mkong'oto?ndege sa israel zinajaza mafuta kwenye anga la iran yani sasa hivi wameshapafanya iran kama sebuleni kwao je iran si alikua hapa anajitapa anazo airdefense bora zaidi duniani sasa ziko wapi?
kwa tambo alizokua anazionyesha iran na viongozi wake kuuliwa kama kuku ni hamnazo kabisaWairan wana maisha yao ,mbwa mnatumia muda kuwaongelea wairan ..Sukuma keta ya mwisho kama ukishindwa kuwamaliza hiyo nchi haitakuwepo maana hata Mung wao kashindwa kuzuia zile chuma za masafa marefu.😅
View attachment 3369558
hizo misile zote zimeshachabangwa kumbe hujui mkuu? ayatola mwenyewe sa ivi yuko shimoniDogo hujielewi fuatilia huko watu wanalia 😅😅😅Ni kifiro tu kwenda mbele ,na jamaa anasubiri msukume kete ya mwisho amalize mchezo ...
Hana ujasusi wa umbea yeye anapiga head-to-head ,nyie majungu mengi na umbea ,kazi fitna sio kwa shia hawana fitna ni jihadi.
View attachment 3369564View attachment 3369566
Jihadists hao kwa imani yao ,unaumia wewe mgalatia wa bonyokwa ,hao ni mashahidi ni njia yao wa ushindi ..kwa tambo alizokua anazionyesha iran na viongozi wake kuuliwa kama kuku ni hamnazo kabisa
Naona unaleta taarabu hapa ,wenzio wanaziba media huku familia zinaenda na mziki bado ,kanchi kadogo watakimbia wapi 😀😀hizo misile zote zimeshachabangwa kumbe hujui mkuu? ayatola mwenyewe sa ivi yuko shimoni
mzee anaetembezewa kichapo kati ya iran na israel ni nani? tuletee takwimu hapa hadi sasa iran washakufa wangapi na israel washakufa wangapi?Ooooh, sasa wanafanya nini kwenye anga la Iran kama bado Iran anaendelea kuwatembezea mkong'oto?
Haya ni matumizi mabaya ya pesa za Mmarekani!
Kama una uwezo wa kuzurura na fighter jets kwenye anga la adui unatakiwa uimalize vita mapema, unazurura unavyotaka kwenye anga la adui halafu bado unatembezewa kichapo!?
😂😂😂😂
Acha porojo wewe, unafikiri unaongea na familia yako humu.shia mwenyewe ameishia tuu kurusha makombora kama hamas, mwenzake yupo ndani ya ardhi yake anashusha kichapo na ameshindwa kumdhibiti sasa jeuri yake iko wapi mtu anaingia kwako anakupiga na huwezi kumfanya chochote zaidi ya kurusha vikombora uchwara?
Naona unaleta taarabu hapa ,wenzio wanaziba media huku familia zinaenda na mziki bado ,kanchi kadogo watakimbia wapi 😀😀
View attachment 3369573
wenzeko hao na misile zao washapelekwa kuzimu long time ago, hizo zilikua tambo tuu
Acha porojo wewe, unafikiri unaongea na familia yako humu.
Eti vikombora uchwara!
😂😂😂😂
View: https://x.com/iran_Military_0/status/1934088809395650832
View: https://x.com/iran_Military_0/status/1934089172651753629
View: https://x.com/iran_Military_0/status/1934092049990521112
Mimi wala sitaki takwimu!mzee anaetembezewa kichapo kati ya iran na israel ni nani? tuletee takwimu hapa hadi sasa iran washakufa wangapi na israel washakufa wangapi?
unajua kwamba internet imezimwa iran?Naona unaleta taarabu hapa ,wenzio wanaziba media huku familia zinaenda na mziki bado ,kanchi kadogo watakimbia wapi 😀😀
Naona unaleta taarabu hapa ,wenzio wanaziba media huku familia zinaenda na mziki bado ,kanchi kadogo watakimbia wapi 😀😀
Sogeza keta hapa baba tuoneunajua kwamba internet imezimwa iran?