Hapo kwenye red pamenifurahisha sana huna wasiwasi Comrade we si msafi bwana unakatiza kifua mbele vaa jembe na nyundo uone kama hujatiririsha ka mwizi vileNaomba msaada ndugu zangu je kuna mahali popote wanauza gwanda za chadema au ukitaka unajishonea tu mwenyewe???nataka niwe member kamili maana ntajickia furaha sana kama nkipita road nimezivaa, au ni za viongozi tuu??
duuuh...hakyanan tena.....lol!!Hapo kwenye red pamenifurahisha sana huna wasiwasi Comrade we si msafi bwana unakatiza kifua mbele vaa jembe na nyundo uone kama hujatiririsha ka mwizi vile
Naomba msaada ndugu zangu je kuna mahali popote wanauza gwanda za chadema au ukitaka unajishonea tu mwenyewe???nataka niwe member kamili maana ntajickia furaha sana kama nkipita road nimezivaa, au ni za viongozi tuu??
Mimi ninalo jeusi natafuta la kaki ili niwe kamili gado kwa mapambano popote pale!!
Naomba msaada ndugu zangu je kuna mahali popote wanauza gwanda za chadema au ukitaka unajishonea tu mwenyewe???nataka niwe member kamili maana ntajickia furaha sana kama nkipita road nimezivaa, au ni za viongozi tuu??
Kuna kitu kimoja tu ambacho makamanda hawanifurahishi. Hivi kwa nini hawavai zile za mabaka mabaka? Manake hizi khaki wanakuwa kama mgambo vile! Zile nyeusi wanakuwa kama security guard flan hivi. Nawashauri watinge zile za mabakamabaka au mnaonaje?
Hilo jeusi ni la kuzikia makamanda. Naomba utafute gwanda la uhai mkuu