Je, George Floyd ni mtume?

Je, George Floyd ni mtume?

abdoool nafahamu kwanini unapinga na kwanini umeandika ulichokiandika!


Mungu haitaji kutoa kafara kutimiza jambo lake kama jinsi binadamu anavyotoa kafara kuua mwanadamu mwenzake ili eti apate utajiri nk,,

Mungu anasema;; Usiue nafsi isiyokuwa na hatia, sasa iweje Mungu aamuru G. Floyd auawe bila hatia??
 
Au Ni trick ya hao "IILUMINATI NA FREEMASON"?

Kwamba wameona watu hawafi sana hasa blacks Kama walivyopanga walivyocheza karata ya Covid-19.....

Wakajiuliza tufanyeje???

Jibu Ni kill a black person to incite chaos ambapo watu watatoka tu nje hasa blacks kuandamana then maambukizi yatakuwa makubwa..

Hapa duniani hasa America hakuna kitu kinatokea randomly......hii inaweza kuwa iko planned..

Let us wait and see baada ya haya Maandamano...level ya infection kwa black Americans itakuaje....
 
Acheni kumchosha Mungu na mambo yasiyomuhusu.

Mitume wanaletwa ili kuwapa wanadamu ujumbe wa kumrudia Mungu, pale sehemu kubwa ya watu wanapokua wamemuhasi Mungu,

Ubaguzi wa rangi, mauaji, dhuluma, utumwa, chuki, fitina na madhila mengine yapo siku zote kama changamoto kwetu wanadamu ili tuinue macho yetu mbinguni,

Hitimisho, acheni kufananisha mitume wa Mungu na vitu vya kijinga
 
Ujumbe kwa Dunia kuwa ubaguzi sio kitu kuzuri,na sio kila mzungu mbaguzi

Wazungu wamejumuika wengi katika haya maandamano kuliko watu weusi
Amufikishaje huo ujumbe ? Kwa ufupi umekosea kumlinganisha na mtume na hii imetokana na kutokuwa na maarifa ya kutosha juu ya utumd na mitume.
 
Acheni kumchosha Mungu na mambo yasiyomuhusu.

Mitume wanaletwa ili kuwapa wanadamu ujumbe wa kumrudia Mungu, pale sehemu kubwa ya watu wanapokua wamemuhasi Mungu,

Ubaguzi wa rangi, mauaji, dhuluma, utumwa, chuki, fitina na madhila mengine yapo siku zote kama changamoto kwetu wanadamu ili tuinue macho yetu mbinguni,

Hitimisho, acheni kufananisha mitume wa Mungu na vitu vya kijinga
 
Au Ni trick ya hao "IILUMINATI NA FREEMASON"?

Kwamba wameona watu hawafi sana hasa blacks Kama walivyopanga walivyocheza karata ya Covid-19.....

Wakajiuliza tufanyeje???

Jibu Ni kill a black person to incite chaos ambapo watu watatoka tu nje hasa blacks kuandamana then maambukizi yatakuwa makubwa..

Hapa duniani hasa America hakuna kitu kinatokea randomly......hii inaweza kuwa iko planned..

Let us wait and see baada ya haya Maandamano...level ya infection kwa black Americans itakuaje....
umeanza vizuri sana ila kati umeharibu
hiyo kitu ni kweli itakuwa iko planed

lakini naamini imekuwa planed baada ya mabeberu kuona kuwa lengo la covid 19 lime fail wanataka kurudi katika maisha ya kawaida kama ilivyo siku zote. .sasa walikuwa wanajiuliza watarudi vipi katika maisha hayo wakati walisha iaminisha dunia nzima Kuwa corona inaua sana nahaina kinga wala dawa. . wakiamua kuvunja lockdown wakati dawa wala kinga hazijapatikana kama walivyo aminisha watu wataonekana kuwa walikuwa ni waongo
so wameamua kuja na hili la kifo cha George ili kuuzima upepo wa corona..

imagine kama corona ingekuwepo kweli kama tulivyo kuwa tuna aminishwa,kwanini hatuoni watu wakianguka mabarabarani
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Mungu haitaji kutoa kafara kutimiza jambo lake kama jinsi binadamu anavyotoa kafara kuua mwanadamu mwenzake ili eti apate utajiri nk,,
Kweli?
Sasa Ibrahim mbona aliambiwa amtoe Isaka kafara?
mbona wana wa Israel walikuwa wakichinja wanyama kama kafara ili wapate damu?
.
la Kristo naliacha tuanze na hayo!


Mungu anasema;; Usiue nafsi isiyokuwa na hatia, sasa iweje Mungu aamuru G. Floyd auawe bila hatia??
George Katumika kiungu
 
umeanza vizuri sana ila kati umeharibu
hiyo kitu ni kweli itakuwa iko planed

lakini naamini imekuwa planed baada ya mabeberu kuona kuwa lengo la covid 19 lime fail wanataka kurudi katika maisha ya kawaida kama ilivyo siku zote. .sasa walikuwa wanajiuliza watarudi vipi katika maisha hayo wakati walisha iaminisha dunia nzima Kuwa corona inaua sana nahaina kinga wala dawa. . wakiamua kuvunja lockdown wakati dawa wala kinga hazijapatikana kama walivyo aminisha watu wataonekana kuwa walikuwa ni waongo
so wameamua kuja na hili la kifo cha George ili kuuzima upepo wa corona..

imagine kama corona ingekuwepo kweli kama tulivyo kuwa tuna aminishwa,kwanini hatuoni watu wakianguka mabarabarani
Yaani apo tu kwenye kuwaita hao jamaa mabeberu sasa nani jike?
 
Mtume wa mwisho ni Muhammad (SW) hakutakuwa na mtume baada yake
Habari za mitandaoni Dunia nzima Ni kuhusu kifo cha Mmarekani Mweusi George Floyd.

Katika dini ya Kiislam Mitume iko mingi wengine wanajulikana na wengine hawajulikani. Kuna Mitume Kama 123 ambayo inajulikana, kuna Mitume inaliyopewa vitabu na isiyopewa vitabu.

Mitume inafanya kazi ya Mungu katika jamii iliyomzunguka au hata kuleta mabadiliko Dunia nzima. Yesu aka Issa aka Jesus kabadilisha Dunia, Muhamad kabadilisha Dunia, kuna akina Musa, Sulemani nk ambao wamebadilisha jamii zao.

Uonevu kwa watu weusi unaofanywa na Polisi katika nchi ya Marekani haujaanza leo. Kifo cha George Floyd kimeleta mtazamo mwengine katika vitendo vya uonevu vinavyofanywa na Polisi kwa watu weusi.

Hivi sasa dunia nzima, nchi za Ulaya, Marekani, Australia nk watu wanaandamna mbele ya balozi za Marekani kupinga unyanyasaji wa Polisi kwa watu weusi.

Katika Jimbo la California Polisi leo wameungana na waandamanaji kupinga vitendo vya unyanyasaji wa watu weusi. Cha kushangaza, wengi wa waandamanaji ni watu weupe; cha kushangaza zaidi, nchi za Kiafrika ambazo ni chimbuko la watu weusi hamna hata nchi moja watu wameandamana kupinga uonevu huo.

Donald Trump leo kalazimika kupelekwa kwenye handaki chini ya White House kwa usalama wake baada ya waandamanaji kuandamana mbele ya White House.

Jeshi limeingia mitaani kuungana na Polisi, kafuu ya kukataaa watu wasitoke majumbani mwao imewekwa nchi Marekani. Haijawahi kutokea, Marekani kama vile kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe.

Je, George Floyd ni Mtume asiejulikana alietumwa na Mungu kuibadilisha mitazamo ya watu kuhusu mtu Mweusi nchini Marekani?
 
Mwamba alikuwa ana act "PONO" au TIRAMPU (Wazungu) wanaleta propaganda kushusha mizuka ya blacks kuandamana?
 
Mtume wa mwisho ni Muhammad (SW) hakutakuwa na mtume baada yake
Kwa majibu wa nani ? Una uhakika gani na hicho unacho kuongea kama kina ukweli au la ...!? Maana isije ikawa ume karilishwa tu hivyo then na wewe ukaamini moja kwa moja
 
Back
Top Bottom