Je, George Floyd ni mtume?

Je, George Floyd ni mtume?

Je, George Floyd ni Mtume asiejulikana alietumwa na Mungu kuibadilisha mitazamo ya watu kuhusu mtu Mweusi nchini Marekani?
Huyu sio mtume bali ni binadamu kama wewe, na hakuna mtume ambaye hakuwahi kujulikana.

Utume ushakoma kitambo sana.
 
Tukiachana na historia kwenye vitabu vitakatifu kulikuwa na biashara ya utumwa? Ilikuwa ktk namna gani? Na ni watu gani walitumikishwa?
 
Tundu Lisu sio mtume ni mropokaji tu.
Kwanza anatakiwa yeye na dereva wake waje tz watoe maelezo
Wewe achana na kile kichwa, tatizo la waafrica ni wivu na gere, huwa hamtaki kabisa kukubali kuna watu mungu kawapa kipawa Fulani. Mimi si maana siasa hata ila jamaa ni kichwa aisee, najua utabisha maana ndo unachotakiwa kufanya ila mshikaji sheria anaijua, labda ka kuna makosa kidogo aliyafanya ambayo ni lazima kufanya makosa ili kukamilisha ubinaadamu, maana hakuna ambaye hakosei labda malaika, ila jamaa ni kichwa kile, utake usitake na kuendelea kubishana na nafsi yako ni kujitesa mkuu
 
Unaweza kututhibitishia hili ?

Nini maana ya mitume kwa mujibu wa dini hii ?
Mtume Ni mjumbe wa Mwenyeenzi Mungu,Mungu anatumia Mitume kupeleka kumbe zske kwa jamii.
 
Hao mitume ni kwa wapuuzi wasiojitambua na kwa kweli nimewazarau hao mitume na wafuasi wao mpka wanakanyagana kwa ajili ya damn it oil.
Kila Mtume anakuja kwa wakati wake na sababu zake
 
G. Floyd, Mtume wa Mungu aliyetolewa "kafara na Mungu" ili kubadilisha mtazamo wa watu (weupe) kuhusu mtu mweusi nchini Marekani?

Hii haiingii akilini hata kidogo, kama yeye ni kafara kutoka kwa Mungu, je wale askari waliomuua hawana makosa?
abdoool nafahamu kwanini unapinga na kwanini umeandika ulichokiandika!
 
Ila kusema ukweli ubaguzi unaofanyika huko majuu umenifanya niichukie hii tittle ya kujiita 'diaspora'. Bora tu kunyuti huku huku 'nyumbani' Africa, madiaspora mnisamehe.
So unahisi kila diaspora au kila mtu mweusi anabaguliwa?
ahahaha
 
Jamaa anawagonga sana IN and OUT huko kwenye movie za pilau.
Ila wameuua kikatili sana.
 
Mtume Ni mjumbe wa Mwenyeenzi Mungu,Mungu anatumia Mitume kupeleka kumbe zske kwa jamii.
Maana hii inahitaji maelezo, unaweza kutuambia Mwenyeenzi Mungu anatumiaje Mitume kupeleka ujumbe wake kwa jamii ? Yaani utajuaje kama huu ni ujumbe toka kwa Mwenyeenzi Mungu na huu siyo ?
 
Aliyechukua ile video nae apewe pongezi yule kafikisha kwa wananchi ushahidi usio na shaka nini polisi wanafanya kwa raia
 
mi najiuliza kuna je askari mweusi angemuua nigga mwenzie kungekuwa na strike ya aina yoyote??!!
Na isingewezekana kutokea kutokana na hana kinyongo na weusi wenzake ila hizi nguruwe mtu nyeupe zina kinyongo cha asili na ngozi nyeusi.

Waarabu,Wachina,wazungu ngozi yoyote nyeupe include Indians hawatupendi weusi wanatuchukia sana pumbavu wale watakupenda kinafiki pale una faida nao huna faida nao ni mbwa tu wanakuona na mimi huwa nawaambia sana Kariakoo pale kwamba nyinyi ni wajinga tu aliyewaita hapa nani mkitaka tufanye biashara msipotaka kafieni mbali.
 
Back
Top Bottom