chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,379
- 5,887
- Thread starter
- #141
Sikumbuki,nilikuwa siko katika sehenu ya tukio,..Yesu alikufa na kufufuka. Huyo issa alifufuka?
Katika Biblia Isa aka Yesu aliomba Sana wakati anapekwa kusulubiwa..
Waislam wanaamini Yesu hakufa siku Ile Mungu alimnusuru,Dini ya PAULO wanaamini alikufa ,akazikwa ,akafufuka..
Amini unavyoamini,Ni haki yako